Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya kama sio mombasa Nairobi kisumu hamna sehemu nyingine yoyote boeing airbus hata embraer inaweza tua kama naongopa weka ushahidi hapa.
hii ni wewe manyoya...

Screenshot_20220502-130155_Chrome.jpg
Screenshot_20220502-130141_Chrome.jpg
 
Umeona Hilo bus linalokwenda? Tunduma ushawahi kupaskia sas nyinyi mnaotuuzia na wenye barabara bora na wenye matajiri wengi mnashindwa nin mana kila kitu mnacho na mazingira yote mnayo..

Kitu gan kinawazuia kuwa na mabus kama hayo kila county? Ebu sas ujibu kama mtu mzma ila ukileta utoto haina shida mgonjwa unayeficha maradhi!

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Ni kwamba unapinga kwamba hilo basi lilikuwa assembled in Kenya au nini? AVA is one of the biggest assembers in Kenya na ipo Mombasa. Unaweza kuona neno AVA limeandikwa kwenye hilo basi.
 
Hamna ndege yoyote ya international passengers ina land hapo eldoret nshafika kwenye icho kiwanja kipo kapsaret
Ni wapi umesoma passengers kwa hio screenshot yake? Mulisema hakuna boeing, airbus au embraer inaland nje Nairobi, Mombasa au Kisumu. Sasa mukipewa evidence munaanza kushift goal post kama kawaida. 🤣
 
Wewe ni wazimu. Unadhani airtz ina destinations nyingi kushinda KQ? Punguzeni konyagi. KQ inafika hata USA na UK maeneo ambayo airtz haitawahi kanyaga hadi yesu arudi..
Nmeomba ramani ya domestic flights za kq we unakuja kuhahisha hapa!!
Kwel nmeamini wakunya wote pumbafu babu alkunya kwa mufuko baba alkunya kwa mufuko wewe na familia yako mnakunya kwa mifuko


20220502_132044.png
aiwezekani kuzaliwa na kukulia hapa👇ukawa na akili
20220502_132024.png

Mtoto wa malaya wewe!
 
Nmeomba ramani ya domestic flights za kq we unakuja kuhahisha hapa!!
Kwel nmeamini wakunya wote pumbafu babu alkunya kwa mufuko baba alkunya kwa mufuko wewe na familia yako mnakunya kwa mifuko


View attachment 2208502aiwezekani kuzaliwa na kukulia hapa👇ukawa na akili View attachment 2208501
Mtoto wa malaya wewe!
Unataka kucompare Newyork na London na Mtwara na Kigoma. 🤣 🤣 🤣
 
Kumbe Fly 540 can compete with your National Carrier.🤣🤣🤣


Fly540 Online Booking - Book Cheap Fly540 Flights - Fly540 Booking - Book  Now %
Ona takataka ingine hiii unajua huwezi kukulia hapa👇
20220502_132024.png
ukawa na akili eee 😂😂 we kweli mkunya
Hizo n domestic flights? Zanzibar na juba😠
 
Heheheee
Lete ya kampuni nyingine inaofanya domestic flights then tuhesabu destination au?
Wacha ushamba Kenya airways sio airline ya kuland kwa vijiji competing with local airlines kama Air Tanzania.
By the way hata airtz ina international flights pia
 
Heheheee
Lete ya kampuni nyingine inaofanya domestic flights then tuhesabu destination au?

By the way hata airtz ina international flights pia
Kenya ina airlines more than 50, Tanzania has less than 15, Kenya has more airports than Tanzania. We can't compare mangoes with oranges.
 
Back
Top Bottom