Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Acha ujinga na vitakwimu vyako outdated hapa..

Kwa hiyo wewe unabishana na Bussiness Insider walionakili Takwimu kutoka shirika la Utalii Duniani?

Una akili timamu kweli? Bisha na hizi hapa 👇

View attachment 2202076

View attachment 2202077

View attachment 2202078
Wacha ujinga mzee. Nabisha kwa sababu hata Egypt ambayo ndio nchi inayopokea tourists wengi zaidi Afrika haipo kwenye hio list yako ya upumbavu. Hata Morocco na Tunisia wanapokea tourists wengi na hawapo. Kenya na Zambia ambazo pia zinapokea tourists wengi hazipo kwenye hio list. Punguza bangi. Hio article ya business insider ni takataka.
 
Acha ujinga na vitakwimu vyako outdated hapa..

Kwa hiyo wewe unabishana na Bussiness Insider walionakili Takwimu kutoka shirika la Utalii Duniani?

Una akili timamu kweli? Bisha na hizi hapa 👇

View attachment 2202076

View attachment 2202077

View attachment 2202078
Egypt ilipokea 4.5 million tourists in 2021. Kwa nini hawapo kwenye hio list? Nimekuambia hio article yako ni takataka
Screenshot_20220427-101909.jpg
 
They tried hard to copy the US mode of governance, they ignored the fact that Kenya is a poor third world failed state infested with hunger among others.
Wanakuja kustuka serikali haina hela (broke), gharama za kuendesha serikali ya majimbo na wabunge uchwara wa hivyo viwilaya wanaita counties ni kubwa mno kuliko uwezo wao,
Sasa counties hazina uwezo wa kulipa hata mishahara ya watumishi, serikali ya kunya ni mwendo wa kukopa uchina.
Failed state.View attachment 2202068
Washukuru IMF came to their rescue this week with Ksh 28b. That will offset dollar scarcity in the market.
 
Naswa. Wakenya wanachapwa viboko ili watumie footbridge 😂 😂 . Sijui kwa nini kuna watu hawapendi kutumia footbridge na inaokoa maisha.

Hizo vitu haziko friendly kwa wasio physical fit! Zinahitaji elevators!
 
Sasa unapost mavi hapa kisha unasherehekea. Business Insider sio watu wa kuaminiwa. Mbona Kenya haipo kwenye list? Mbona Seychelles iliopokea 200,000 tourists iko kwenye list ila Kenya iliopokea revenue nyingi from tourism kuwashinda haipo kwenye list? Usiwe unapost [emoji90][emoji90] humu. Tourism sector ya Kenya imezidi yenu.
View attachment 2201986

View attachment 2201985
Tony uwe unasoma basi hyo ni jan to october unasema mmetupita

Data za Tz za hadi dec 2021 tulipiga 930k

Sijali kuhusu ni business insider au la..ila data za Tz ni 930k tourist
 
Back
Top Bottom