VIJILIMA BICHI VIDIMBWIUhasibu Flyover progress 👇.. qualityView attachment 2197673View attachment 2197674View attachment 2197676View attachment 2197677View attachment 2197678
VIJILIMA BICHI VIDIMBWIUhasibu Flyover progress 👇.. qualityView attachment 2197673View attachment 2197674View attachment 2197676View attachment 2197677View attachment 2197678
Wakenya wengi ni kelele tu, kichwani hamna kitu kabisathat's typo! not only basic but the core! Sasa uache ujinga kukejel!
We wa kuhara mtaroni, usingilie yasio kuhusu,sikukuliza wala kureply comment yako...pita mbali
Ni kweli hata python ni OOP , point ilikua ni vizuri kujifunza kuanzia python kwa begginer haswa wanafunzi wa secondary kwa sababu ni rahisi kuelewa . Pia inatumika kwenye nyanja nyingi kuanzia desktop application, web application , data science , machine language, kutengeneza game na mobile apps.Hata Python kuna classes, object na method pia! As a matter of fact hata JS. Kiufupi hizi languages zote zinafanya kitu kimoja kwa lugha tofauti! Inategemea nn unataka kufanya katika Backend and Frontend!
Mzee elimu ya Bongo pana saana kwa mtu aliefika high school tena michepuo ya sayansi. Tumesoma vitu viiiingi mzee. Mimi mwenyewe huyo tiagesi wako naweza mchalenji na ka microbiology kake, nyie ni Kiingereza tu cha KijaluoSijasema mimi ni mtaalam wa microbiology. Hebu soma nilochoandika vizuri. Bila mihemko
Hebu tuelezee what does Ms Access do? Kwa ufupi!Wewe pimbi, kumbe huelewi maana ya neno basic. 🤣 🤣 🤣
Why should I tell you the obvious. Kama hujui meaning ya the word basic, DBMS jargon utaelewa aje?Hebu tuelezee what does Ms Access do? Kwa ufupi!
Hizo nchi nyingine zina waasi na magaidi kasoro TzTunajiamin kwenye peace negotiations ama vipama kwasababu hatuna magaidi
Tunajiamin kwenye peace negotiations ama vip😂ama kwasababu hatuna magaidi
Na Jana wamezindua mpango endelevu zaidi kwa Teachers Centres.Mkuu TZ tumepiga hatua nzuri kwenye ICT Miaka mingi sana kwa O-Level, chukulia mfano hii shule inaitwa Hekima Girls: Hekima Girls Secondary School ipo kijijini huko Bukoba achilia mbali kina st. something lakini inatumia syllabus ya Tanzania: Hekima Girls Secondary School na wanapiga front-end na database query na mambo kibao.
Inshu ni kwamba jirani wakifanya kitu lazima wapige kelele kinyama
View attachment 2200200
ukiambiwa ni arusha unakasirika 😂😂😂Roads like these are dreams to Tanzanians. The bad thing is that they are dreams that won't come to pass for them.
View attachment 2200374