Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kila primary school ina stima kwa kuanzia , how many pc do you have per student . Programming inataka mda labda mnataka kufundisha variable declaration, looping , conditions kwa theory . Huwezi mfundisha mtoto python halafu anaenda home ana pc wala internet . Japo wazo ni zuri sana . I hope kuwe na shule maalum haswa kuanzia seconda kwa Tanzania kufundisha programming , networking , A.I and so
Mkuu TZ tumepiga hatua nzuri kwenye ICT Miaka mingi sana kwa O-Level, chukulia mfano hii shule inaitwa Hekima Girls: Hekima Girls Secondary School ipo kijijini huko Bukoba achilia mbali kina st. something lakini inatumia syllabus ya Tanzania: Hekima Girls Secondary School na wanapiga front-end na database query na mambo kibao.

Inshu ni kwamba jirani wakifanya kitu lazima wapige kelele kinyama

1650899053678.jpeg
 
Mkuu TZ tumepiga hatua nzuri kwenye ICT Miaka mingi sana kwa O-Level, chukulia mfano hii shule inaitwa Hekima Girls Hekima Girls Secondary School ipo kijijini huko Bukoba achilia mbali kina st. something lakini inatumia syllabus ya Tanzania Hekima Girls Secondary School na wanapiga front-end na database query na mambo kibao.

Inshu ni kwamba jirani wakifanya kitu lazima wapige kelele kinyama

View attachment 2200200
Tulia, bado munafunzwa microsoft word na kutumia paint. Matters ICT bado mko chini, si unaona hata kwa hii picha hakuna cha maana wanafanya na hizo computer. Waliwekwa tu hapo wapigwe picha. 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Jet ya Russia imepigwa na missile. Inaspin kama mawe wakati inaanguka.
 
Nani amekuambia kwamba lazima hawa watoto wafunzwe programming skills advanced sana? Python ni advanced sana, watoto wa college au university ndio wanasoma hio. Hii ni kuwapatia tu basic foundation in programming ili wakifika high school wawe tayari wana basics. Ukumbuke kabla ya kusoma object oriented programming languages kama Java au python mtu kwanza anaanza na simple structured programs kama C##. Ukielewa c## kisha unaweza kusomea c++ kisha sasa mtu asomee java au python. Halafu most of these programming languges hazihitaji internet connection, uwache kudanganya watu humu.
Kwanza hakuna c## ni c# , halafu hiyo c# na c++ zote ni OOP ( object oriented programming) . Na kuanzia ni rahisi kujifunza python kuliko hiyo c++, mtu akimaster c++ anaweza jifunza programming yoyote maana ndio msingi wa oop . Kuanzia kujifunza labda scratch na python muhimu hilo kumfanya mwanafunzi apende programming c++ ni mziki mwingine budaaaa anaweza poteza interest kama sio passion yake
 
Back
Top Bottom