Museveni ni mjinga sana aisee. UG bado ni LDC, wao wana gdp takriban ya $40 billion lakini wanatumia $1.2 billion kwenye military yao kila mwaka na ukumbuke hawana navy. Wanajaribu kushindana na Kenya na Gdp ya Kenya ni almost triple ya Uganda??? Wanashindana na ndovu kunya, watapasuka msamba. Wangeinvest kwenye afya, elimu na miundo mbinu ili watoke LDC. Unajua Uganda wamekaribia sana kutoka LDC. Museveni akiweka ujinga kando, watakuwa middle income hata in the next three years kwa maana gni per capita yao imekaribia kufika ya middle income level.