Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hauna kende ata kidogo.., unajua ukweli ila unataka kujitia hamnazo, mko hovyo ni domo domo tu.., 😂 😂 😂 😂 😂
🤣🤣🤣🤣🤣Maake hapo ncheke kwanza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣ukweli upi sasa?
 
Aisee mbona mnambwelaa, weka picha au mshaiogopa picha yenyewe, eti mzee wa buti la jeje, kiatu kimevaliwa mpk kimetoka mashavu
JamiiForums-1340197477.jpg
Screenshot_20220419-225931.jpg
 
watu hatuna dhiki ya chakula wala pesa kama wewe,

tumekamilika kila idara,we endelea kujificha na hako kanairobi kako,huna exposer,

upo ligi ndogo bwana mdogo uliyezeeka kimaisha

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Kakubwa hako usikaone kamenyorodoka hivyo ni maisha magumu tu hayo, kana over 30 now na bado kanasoma
 
proud of what? unakaa chumba cha kupanga cha landlord Korokocho!
Kama korogocho panakaa hivo basi I'm sorry for you 😂😂😂. Again that's not a residential building but a private hospital.😂
 
Yani Mchana wewe ni hawker na ikifika usiku unakuwa watchman?
Mshkaji miyeyusho sana wewe, maisha magumu mpk nywele zinakimbia, masikio yametoka kama punda, ndevu hazina ushirikiano kabisa, midomo ina rangi ya ajabu kwa life ngumu unayoishi
Screenshot_20220420-124516.jpg
 
🤣🤣🤣🤣🤣Maake hapo ncheke kwanza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣ukweli upi sasa?
Haya umemaliza kucheka uweke random clips za 2021 na 2022 tuone watu wa kawiada walivyo vaa kwa streets?.., kwanza kwa vijana in East Africa hakuna tofauti kamwe., mavazi ni kama jeans, T-shirts, shorts, loafers, etc., but ukiangalia raiya in total, muonekano wa Tz ni wa ki ufukara sana from Dar to mwanza na from Arusha to Mtwara, am watching youtube kadhaa sioni any fashion unajarabu kijigamba nayo hapa, tafuta topic nyingine ya maana mzee 😂 😂 😂 🤣 😂 😂
 
Back
Top Bottom