Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Basi bhn kwa hapa inatosha nisije kuonekana nakufuru, basi tuendelee na issue zingine Dr Teargas
Yes our only watchman 🤣🤣🤣, we can proceed with other things 🤣😂

Screenshot_20220419-221304.jpg


images (72).jpeg
 
Hatuna bifu na kazi ya watchman ila huyu mtoto awache kujigamba wakati hana mbele wala nyuma. Eti aviation, nimecheka sana
 
Asanteni kwa kuniheshimu, cku njema, alafu ujue mm naona kawaida tu ila wakunya wameogopa ghafla
Ulijipiga risasi kwa mguu Man Useless, mko na vituko lakini, mshahara unapataga tarehe ngapi nikuje tule bata ama uko na loans kibao unakatwa?😂😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Ulijipiga risasi kwa mguu Man Useless, mko na vituko lakini, mshahara unapataga tarehe ngapi nikuje tule bata ama uko na loans kibao unakatwa?😂😂 😂 😂 😂 😂 😂
Kuna mizigo ilipotea muhindi amesema atamkata mshahara Nusu kwahio subiri kidogo apate afueni. So unajua tena wahindi walivyo.
 
I'm proud of myself and that's why I'm posting full pictures tofauti na wewe mwenye anapost tu top ya watchman na shingo alafu anadelete

View attachment 2193966

nsona leo umenunua mtumba mpya wa tai baada ya kupewa makavu sana jana umeamua kuchange ,
ila kuongea na mshamba kama wewe,tunajishusha sana hiyo shirt uliiokota mtumbani ama unaendaje kazini huku shirt likiwa rafu limejikunja kunja halijapata pasi au unaishi kwenye kiza hakuna stima,

shindana nawakina Collomz huku kwenye maisha hatuwezani,
20220420_130322.jpg
20220420_130017.jpg
20220420_125752.jpg


Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 

nsona leo umenunua mtumba mpya wa tai baada ya kupewa makavu sana jana umeamua kuchange ,
ila kuongea na mshamba kama wewe,tunajishusha sana hiyo shirt uliiokota mtumbani ama unaendaje kazini huku shirt likiwa rafu limejikunja kunja halijapata pasi au unaishi kwenye kiza hakuna stima,

shindana nawakina Collomz huku kwenye maisha hatuwezani,View attachment 2194034View attachment 2194035View attachment 2194038

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Kukosa nyama ni kitu mbaya sana, picha zako zote ni mifupa tu🤣🤣😂
 
Kama korogocho panakaa hivo basi I'm sorry for you 😂😂😂. Again that's a private not residential building but an hospital.😂
hospitali inakaa chafu namna hiyo? na rangi za ukuta namna hiyo? hilo jengo lenyewe si incurbator wa bacteria na virus?
 
Lusematic it's either you don't get enough food or you are just suffering from a disease that you need to cure? It's called TOFI - (Thin Outside and Fat Inside)

  • Your gut is inflamed and you can't absorb enough nutrients
  • You also have poor metabolic activity and fat livers.
Those are the reasons why umekonda sana😂🤣😂

20220420_130017.jpg
 
Lusematic it's either you don't get enough food or you are just suffering from a disease that you need to cure? It's called TOFI - (Thin Outside and Fat Inside)

  • Your gut is inflamed and you can't absorb enough nutrients
  • You also have poor metabolic activity and fat livers.
Those are the reasons why umekonda sana😂🤣😂

View attachment 2194077
Imetoshaa 🤣 🤣 🤣
 
Nimekuambia siezijipiga picha Kwa choo kama wewe. Kwanza nilikuambia ununue rubbers zingine sijui kama ulinununua, dreads zako pia zilikuwa chafu. Ushaiziosha kweli tangu hiyo siku?
Kwanini wakenya mnakataa kujisafisha na maji mkienda chooni ,wakenya wengi wananuka mafiii hata ukioanda matatu utasikia harufu ya mafi inavunda
 
Back
Top Bottom