Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Usituletee ignorance yako hapa, Kenya is East African superpower for a reason

View attachment 2192414
Superpower while you die of hunger, are you not stupid enough?. Ethiopia wamejenga bwawa kubwa la umeme lenye kuzalisha umeme mara tatu ya mahitaji ya umeme wanaohitaji, umeme wa ziada watauzia nchi za jirani ikiwemo Kenya, Sasa hiyo Geotherm ni kwajili gani?.Tatizo hamna akili ya kufikiria kwa undani, ukiona kitu kimeandikwa kwenye gazeti hamuwezi kufanya "Critical thinking", hovyo Sana ninyi

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Superpower while you die of hunger, are you not stupid enough?. Ethiopia wamejenga bwawa kubwa la umeme lenye kuzalisha umeme mara tatu ya mahitaji ya umeme wanaohitaji, umeme wa ziada watauzia nchi za jirani ikiwemo Kenya, Sasa hiyo Geotherm ni kwajili gani?.Tatizo hamna akili ya kufikiria kwa undani, ukiona kitu kimeandikwa kwenye gazeti hamuwezi kufanya "Critical thinking", hovyo Sana ninyi

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Which critical thinking do you have?🤣🤣 Kwani those Ethiopians that contracted KenGen to drill geothermal well for them ni wajinga? Ukiendelea kulia, KenGen is doing the same in Djibouti 😂😂🤣

Screenshot_20220419-000607.png
 
Which critical thinking do you have? Kwani those Ethiopians that contracted KenGen to drill geothermal well for them ni wajinga? Ukiendelea kulia, KenGen is doing the same in Djibouti

View attachment 2192426
Geotherm ni kwa ajili ya nchi zenye mahitaji makubwa ya umeme na hawana umeme wa kutosha wa maji, Hilo bwawa la Ethiopia likizalisha umeme "full capacity" hizo Geotherm sources wataachana nazo

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
..hapa, yani watanganyika wametulia.. tuli.!!

hivi hakuna hata moja ambaye ameweza ipongeza kenya kwa kazi nzuri tunayo wafanyia kwenye viwanda zetu za nbi na msa.

kumbe hizi mabasi zao wanayo tulingia hapa kilasiku, yani ni vitu vimepikwa tu humu nchini...🤔 mzuri sana kujua vile
Every motor vehicle in Tanzania is either imported from Asia, America and Europe or assembled in Kenya.🤣😂😂 It's only those two options.
 
By the way [mention]Teargas [/mention] apart from JF do you have any other bussiness , yaani what do you do for living, maana kila nikichungulia you are always on JF 24/7
are you jobless ? Naweza kukupa kazi shambani kwangu.
mwanzo wee gameover ndo una angaika zaidi hauna kazi mle iringa mashambani..

hivi hauna kazi yoyote na Teargas anayo kazi ya afisini mwanzo

hivi nani anakaa officer/sonko, na nani anakaa kupigwa mswaki na ulimwengu huu kati ya wewe na Teargas, chek hizi picha mbili.?

cc: jiwe la moto, The best 007, Ichoboy na Lwiva

@gameover👇🏽
Screenshot_20220419-011109_Photos.jpg

vs

@teargas👇🏽
Screenshot_20220419-010530_Chrome.jpg
 
Kuna mtu humu alikuwa anasema kwamba remittances ni utopolo mtupu. Anadharau dollars ambayo immigrants wanatuma nyumbani kwamba haina umuhimu wowote katika uchumi wa Kenya. Anasema kwamba yaya wanaofanya kazi Dubai, pesa wanaotuma haina umuhimu wowote. Sasa Tazama Sri Lanka imeshindwa kulipa madeni yake. Imeshindwa kununua madawa na mafuta ya petrol na diesel kwa kukosa dollars. Lakini kulingana na huyu genius wa huku, remittances ni utopolo mtupu na hauna umuhimu wowote katika uchumi wa Kenya.
 
..hapa, yani watanganyika wametulia.. tuli.!!

hivi hakuna hata moja ambaye ameweza kuipongeza kenya kwa kazi nzuri tunayo wafanyia kwenye viwanda zetu za nbi na msa.

kumbe hizi mabasi zao wanayo tulingia hapa kilasiku, yani ni vitu vimepikwa tu humu nchini... mzuri sana kujua vile
Kila siku nauliza hpa hayo mabus mnayotengeneza halafu mnapeleka wap kwasabab barabara yamejaa maisuzu chakavu tu.

Hay nionyeshe bus linalotoka kilifi kwenda Kwale

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Kibaki used the slogan "Kazi iendelee" in 2007. Ama hiyo time Magufuli was your president na alishaanza kutumia "hapa Kazi tu" slogan?😂😂😂 Again "Uhuru na Kazi" slogan was coined by Mzee Jomo Kenyatta.
We taahira kweli, Uhuru na Kazi ni series ya Mwalimu Nyerere baada ya slogan ya Siasa ni Kazi

Ninyi Mivivu na neno kazi wapi na wapi? Mngekua mnakufa njaa?

 
Kuna mtu humu alikuwa anasema kwamba remittances ni utopolo mtupu. Anadharau dollars ambayo immigrants wanatuma nyumbani kwamba haina umuhimu wowote katika uchumi wa Kenya. Anasema kwamba yaya wanaofanya kazi Dubai, pesa wanaotuma haina umuhimu wowote. Sasa Tazama Sri Lanka imeshindwa kulipa madeni yake. Imeshindwa kununua madawa na mafuta ya petrol na diesel kwa kukosa dollars. Lakini kulingana na huyu genius wa huku, remittances ni utopolo mtupu na hauna umuhimu wowote katika uchumi wa Kenya.
Wacha kubishabisha vitu usivyovijua utazidi kulimbikiza ujinga, soma faida na hasara za "remittances"
Kwahiyo point yako kwamba ya mwanzo kwamba "remittance" ni capital inflow" ya nchi na kwamba hata benki kuu zinaweka "remittances" Kama "capital inflow" umeachana nayo Sasa hivi umegeukia kwengine sio?.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom