Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
Yani kuna bandari , mahoteli ya kifahari ila watu wanasumbuliwa na njaa daahHuko lamu ndugu zangu kabisa,nishafika huko,dhiki ya huko uisikie tu!sasa kama lamu ndio namna turkana si ndio balaa kabisa!

