Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndio maana biashara za kimataifa zinafeli zote huko bongo kwa sababu ya akili mgando wa aina hii. Ndio maana Uber na Standard Chartered zimeondoka lazyland wiki hii.
Kwanza Uber alishashindwa muda mrefu sana, Bolt kamgaragaza vibaya sana na sasa kuna Linkee na wengineo wanakuja. Hata mimi muda si mrefu natoa ya kwangu kudadadeki 😎
 
😂😂😂 Tz ime record 1 million tourists, sasahiv hakuna kitu mnatukaribia, si kwa namba ya watalii wala mapato, tafadhali weka sawa facts zako
Kwa revenue mnasoma number😂😂

Screenshot_20220415-131116.png


Screenshot_20220415-131035.png
 
Chief, haya mambo tumejifunza kwa wazungu. Haya uliona wapi Raisi wa nchi zinazojielewa mfano China akienda kutangaza utalii kwenye nchi nyingine. Hua wanatoka kwa maswala mazito sana. Gandhi ya ikikuisha ndio utaja nielewa, ila kwa sasa nakuacha tu
China hategemei Utalii
 
Anamsuta Mwendazake sio wananchi,yule alikuwa na tabia za kishenzi Sana.

Asutwe Ili iwe fundisho kwa wengine hakuna cha marehemu wala cha nini.
Ndio tabia za kina mama wasioona mbele, anamshtaki baba kisa kamchapa mtoto alipokosea, sasa baba kafungwa jela mama majukumu yanamzidi anaanza kudanga ili kupunguza mzigo wa majukumu
 
Ndio tabia za kina mama wasioona mbele, anamshtaki baba kisa kamchapa mtoto alipokosea, sasa baba kafungwa jela mama majukumu yanamzidi anaanza kudanga ili kupunguza mzigo wa majukumu
Ndio tabia za kina mama wasioona mbele, anamshtaki baba kisa kamchapa mtoto alipokosea, sasa baba kafungwa jela mama majukumu yanamzidi anaanza kudanga ili kupunguza mzigo wa majukumu
Mbele wapi ambako haoni?

Na huyu ni mama? 👇

Screenshot_20220416-175354_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom