😀 Huyo dogo anawezakua alikua anaota au alipata kashkash lakini sio serious kama alivyoiunda, kuna sehemu anasema jamaa akamwambia nitarudi na condom ilhali jamaa hajui kiingereza na huyo dogo hajui kiswahiliNilisoma, imenisikitisha sana.
Umeonae, wanatuletea maneno tu lakini hatuoni watu wakiwajibishwa. Pia tunajua kabisa now kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake, bila shaka ukila urefu ya kamba yako CAG hana haja ya kukureport. CAG anakaza msuli kukagua report za kipindi ambacho alishatoa report yake, Hivi leo alitakiwa kureport 2020/2021 au 2021/2022?Umeona sasa umeshaniweka kwenye kundi la majizi, sasa ninazipigia wapi mie mkuu hata kwenye chain ya uongozi siko huko ?
Watafutwe wote wakamatwe na kushitakiwa kama ni kweli wameiba. Wakiwajibishwa wenye mpango wa kuiba hawataiba tena ndio maana tuko hapa kukemea uovu.
Uovu ni uovu tu hata kama ulitokea awamu ya 3 wote wawajibishwe,hakuna kulaumiana hapa.
Ila kwa tabia za zenji usikute imemtokea kweli kudadeki na, siajabu ilizama kabisa anaua soo 🤣Si mara yangu ya kwanza kusikia mtalii anabakwa Zanzibar. Kuna shida huko.
these are things that are only synonymous with SA, egypt and kenya.!Huwezi pata supermarket kama hii bongo.
Acha tu ndugu, huko Zanzibar mhmmm.... nishie hapa.Ila kwa tabia za zenji usikute imemtokea kweli kudadeki na, siajabu ilizama kabisa anaua soo 🤣
Congratulations👏 Good job.i played a major role in this project.!
how is godoro tunaloeka maji a ngono thing? shouldn't ur poor swahili to be questioned overhear or lets say lack grasp n comprehesion on lyrics? an art that requires one to work his brain and get the msg? peleka ukunya Nairobi!diamond platnumz ni msanii aliye na kipaji cha kipekee.. ana ueledi na tajriba tosha.....
ila tu mtoto huyu nyimbo zake zote inakosa content hata.!. kilauchao kusifia to ngono ngono ngono... wimbo kama, 'Ayo' inaaza vizuri sana ila the very first words inaku hit ni "Godoro tunaloeka maji........"
realy Diamond.! of all the pple.!?.. a whole 35yrs old celebrated celebrity with all those awards and accolades still singing like an adolescent.!! think diamond needs an advisor, a cansellor, a psychiatrists, and a good manager.. ni hayo tu
View attachment 2190289
New hospital coming up in kisumu
View attachment 2190192
View attachment 2190193
View attachment 2190194
View attachment 2190195
View attachment 2190196
View attachment 2190214
Wanigeria ndo walivyo halafu kakaa mwaka mzima ndo anaongea saahii!😀 Huyo dogo anawezakua alikua anaota au alipata kashkash lakini sio serious kama alivyoiunda, kuna sehemu anasema jamaa akamwambia nitarudi na condom ilhali jamaa hajui kiingereza na huyo dogo hajui kiswahili
Hakuna mwenye wivu na Mustang, it's just a Ford.UWIVU😝
![]()
Wewe unaona Ford ni gari ya ajabu?Porsche Nairobi ni gari ya kawaida bana.
🙏🏽🙏🏽 humbled bruh.!Congratulations👏 Good job.