Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Penye kazi nzuri ninapongeza, ninapoona panahitaji ushauri nitashauri,penye kukosoa nitakosoa kwa hekima na heshima sitamvunjia mtu heshima yake.


Ukinichukulia hivyo utanielewa maana nakuona unaniona mimi ni mpingaji wa kila jambo kama wewe ambavyo unajibu karibu sms zote humu za Wakenya na Watanzania kusifia tu hata kama ni baya.

Mimi siko hivyo mkuu, usinichukulie nampinga mama kwa kila kitu.Yeye alisema kama ni kukosoa tukosoe na tushauri nini kifanyike. Sidhani kama nimekwenda kinyume na hili.
Nyie ndio mumepiga hizi pesa hapa awamu ya 5 👇

Screenshot_20220416-155333.png


Screenshot_20220416-155519.png


Screenshot_20220416-101843.png


Screenshot_20220416-101719.png


Screenshot_20220415-222639.png
 
Hiki ndicho watanzania wanakipigania humu ndani. Mama aendeshe nchi kwa mawazo yake,atoe maamuzi kama Amiri jeshi mkuu wa Tanzania kwa maslahi ya wananchi wake na siyo kupangiwa na mtu mwingine.

Watanzania hawataki aletewe vimemo vya teua huyu, tangua huyu, fanya hivi na vile kwa mambo asiyoyataka.

Bora afanye akosee kwa maamuzi yake lakini siyo kuelekezwa na mtu mwingine. Wakenya mkiona Watanzania wanapiga kelele humu kuhusu nchi yetu muongee machache maana hamjui kinachoendelea.

Walioko jikoni ndio husikia vizuri harufu ya mapishi kuliko walioandaliwa chakula mezani.
Kuna mtanzania gani hua anajua teuzi.Memo zipo tu mkuu kila mahali duniani.Muhimu ni kuteua mtu mwenye uwezo after all Rais sio kama ndio huteua kila mahali ziko nafasi yeye hupitisha kwa kua katiba inasema Rais atateua.Mfano kwenye position za kisector waziri husika ndio hupeleka majina kwa Rais ili Rais amteue mtu.Muhimu ni kuteua mtu mwenye uwezo na weledi
 
Fika Sinza wewe utoe ushamba, retail stores kalikali brand kubwa kubwa za local Tanzanians.. mshamba wa maporini uko utajua wapi vitu kama hivyo 😂😂
Ebu taja names of those stores or just post for us the pictures tuzione😂😂🤣🤣
 
kubaki tanzania hio sio hoja kwan unajua magari 1000+ kubaki tanzani ni safi kabisa kuna magari yanakwenda mpaka south sudan, mozambique na zimbabwe 👇👇🤣


180m time two na nafasi kubwa imebaki maana yake ina 450m hio roro ndio maana imekua ni mwiba mkubwa sana 🤣🤣🤣👇👇👇
View attachment 2189611View attachment 2189612

Magari za 10 years plus😂😂🤣
 
kubaki tanzania hio sio hoja kwan unajua magari 1000+ kubaki tanzani ni safi kabisa kuna magari yanakwenda mpaka south sudan, mozambique na zimbabwe 👇👇🤣


180m time two na nafasi kubwa imebaki maana yake ina 450m hio roro ndio maana imekua ni mwiba mkubwa sana 🤣🤣🤣👇👇👇
View attachment 2189611

View attachment 2189612

Hiyo 450m ni yako😂😂🤣

Screenshot_20220416-175007.png
 
Back
Top Bottom