Shida yako unataka kulazimisha namna mnavyofanya biashara kenya na sisi tufanye the same swala ambalo haliwezekani, hili swala lilitokea hata kwenye swala la Safaricom na Vodacom ambapo sisi competition ni kubwa kati ya vodacom, airtel, tigo na halotell.
Vilevile kwenye financial sector kuna banks ndogondogo na microfinance nyingi sana, kuna hadi banks za mashirika mbalimbali mfano Mkombozi Bank for Roman Catholic, Maendeleo for Lutheran, n.k. amabapo haya mashirika yana institutions nyingi sana health, academic, n.k. Mwaka 2022 TZ ina 62 banks ilhali Kenya zipo 42.
Sehemu tuliyofeli na hii ndio sababu hata inaonekana GDP yetu kuwa ndogo ni BOT kuzembea kuwamanage. Na hili swala Magu alilipangia mkakati 2019 likaanza vizuri sema awamu hii ndio imeweka pembeni hilo swala