Yamungu Athumani
JF-Expert Member
- Apr 23, 2016
- 1,383
- 3,257
Mie leo Najichekea Tu na InfinixVitasa vya leo kwa Nyang'au noma sana , endelezeni kipigo. 😀
Mie leo Najichekea Tu na InfinixVitasa vya leo kwa Nyang'au noma sana , endelezeni kipigo. 😀
Hichi kipovu kina picha hadi za kutoka Indonesia huko . Kwa kuiba picha hamjambo. Hii hadi kucross check pia"Sisi ndio logisticsi habu of Isti Afirika" kwa sauti ya chongchung
Nataka nikupige na uzi mzito wa Kipevu oil terminal. Picha mbili mbili kwa kila post.
Service Building
View attachment 2188514View attachment 2188515
Wazee wa GDP inakuaje tena mpo kwenye list kusaidiwa pamoja na Somalia. Au hii GDP ni kiratasi mnazotumia kwenye flying toilet
Mimi huwa sibahatishi. Hakuna picha ya Indonesia hapo. Hayo maandishi ya Kichina ni kwa sababu picha zenyewe zimetolewa Wechat ambayo ni Social media ya Kichina. Na kampuni inayoijenga ni ya Kichina. Lakini picha zenyewe ni za Kipevu oil terminal. Naona unadhani kwamba Indonesia na nchi zingine za Asia pekee ndio zinaweza kuwa na bonge la dude kama hili. Unatudharau sisi waafrika sana.Hichi kipovu kina picha hadi za kutoka Indonesia huko . Kwa kuiba picha hamjambo. Hii hadi kucross check pia
Anajidanganya huyu Waziri mtanzania gani ataenda Rwanda kuomba hifadhi? Sisi huwa hatutangi tangi kwenye nchi za watu kila kitu kipo tz tuna shida gani.Naona Rwanda kaanza kuota mapembe, Rwanda na Kenya hawajatofautiana kihivyo
Sasa Kuna kampuni kama 2 au 3 kama sijakosea zinatengeneza vifaa vya umeme bongo na mda sio mrefu elswedy nao wataanza kuzalisha vifaa vya umeme hapa bongo , aisee ni bonge la hatua
Hiki ndicho watanzania wanakipigania humu ndani. Mama aendeshe nchi kwa mawazo yake,atoe maamuzi kama Amiri jeshi mkuu wa Tanzania kwa maslahi ya wananchi wake na siyo kupangiwa na mtu mwingine.Anajua kinacho mfwataaa
Kenya ni Nairobi pekee?Nani anekufaa njaa Nairobi?
Alitaja Nairobi na sio Kenya.Kenya ni Nairobi pekee?
Unaona any kenyan bank hapo...??hizo ni net profits 2021Jibu swali kijana, stop beating around the bush
South African company 😂😂😂
Is DTB registered in Tanzania?😂😂Unaona any kenyan bank hapo...??hizo ni net profits 2021View attachment 2188706
Mbona husemi kwamba ni msaada kutoka China.Mimi huwa sibahatishi. Hakuna picha ya Indonesia hapo. Hayo maandishi ya Kichina ni kwa sababu picha zenyewe zimetolewa Wechat ambayo ni Social media ya Kichina. Na kampuni inayoijenga ni ya Kichina. Lakini picha zenyewe ni za Kipevu oil terminal. Naona unadhani kwamba Indonesia na nchi zingine za Asia pekee ndio zinaweza kuwa na bonge la dude kama hili. Unatudharau sisi waafrika sana.
Umesema vyema lakini sidhani kama huyu mama anaweza kuwa na hizo guts za kubadilisha katiba coz hata yeye anabebwa na hiyo katiba mbovu ambayo ina mapungufu mengi (out dated) na viongozi wengi wa CCM na serikali hawatakuwa tayari ku-commit political suicide kwa kuruhusu mabadiliko ya katiba at least kwa sasa.Mama abadilishe kila kitu ndani ya hicho chama kibovu cha CCM. Hata katiba kibovu kibadilishwe. Mnastahili kuwa na katiba mpya. Ila naona kama mama hatachaguliwa tena. Ataondolewa na wakubwa wa CCM ambao hawataki mabadiliko.