Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Si ati sitaipenda ..Tatizo unaponda wa kenya ilhali kwenu pia mambo si mazuri...only time will tell wacha tuone kama Mtaja pata faida..
sio naponda shida yenu munahara tope
wanasema bata hata ukimpa kokoto ataharisha tu 🤣🤣🤣👇👇👇👇
😂😂😂😂 kinachowauma nyinyi sisi kununua ndege mulitaka tukodi zenu chakavu?? kq ina miaka 50 inamiliki ndege tatu chakavu serious??

yani shirika limeingiza hasara ya 15.8b ksh(140m usd) na bado kuna pesa imetumika kuliwezesha shirika 50b ksh (450m usd) tena ni loan

hvi mulirogwa na shetani gani🤣🤣

 
😂😂😂😂 kinachowauma nyinyi sisi kununua ndege mulitaka tukodi zenu chakavu?? kq ina miaka 50 inamiliki ndege tatu chakavu serious??

yani shirika limeingiza hasara ya 15.8b ksh na bado kuna pesa imetumika kuliwezesha shirika 50b ksh tena ni loan

hvi mulirogwa na shetani gani🤣🤣


Mimi hakuna kinacho niuma..chenye kinanishangaza unaponda wakenya uku kwenu pia hali si nzuri...loss bado mnapta..hakuna siku mshawai pata faida..
 
Mimi hakuna kinacho niuma..chenye kinanishangaza unaponda wakenya uku kwenu pia hali si nzuri...loss bado mnapta..hakuna siku mshawai pata faida..
hujui kinachokuuma na kukushangaza😂😂

Air tanzania iko kwenye investment period ila bado imepunguza hasara kutoa 60b to 36b

saving 24b within a year sio jambo dogo kabisa bro 🤣🤣🤣🤣
 
here is why Tsh500 is called 'Jero' in tz.
that name actually originated from kenya. from Cyrus Jerongo who "owned" all the ksh500 Notes during the YK'92 political era

Screenshot_20220413-233610_Chrome.jpg
Screenshot_20220413-233655_Chrome.jpg
 
Si ati sitaipenda ..Tatizo unaponda wa kenya ilhali kwenu pia mambo si mazuri...only time will tell wacha tuone kama Mtaja pata faida..
serious ??😂😂😂👇👇👇
 
Mkumbushe kwamba lile deni limeshapunguzwa kwa asilimia 50% kwa kipindi kifupi tu cha miaka isiyozidi mitano ya operation since revival of the national carrier.
Deni gani tena. Si nilifikiri mnanunua ndege zenu kwa pesa ya ndani, kama mlivyokuwa mkisema? Kwani kuna madudu ambayo siyajui?
 
Sisi tunaongelea kuhusu nyinyi..how can you buy more planes and yet you are making losses..Hakuna siku mushawai pata faida..why dont you lease then..ni wapi ulishawai sikia ndege zinanunuliwa cash...Nani kawaroga...
Ninyi ni masikini wa kutupwa hamna pesa tulieni tuwaonyeshe jeuri ya pesa, pambavu kabisa ninyi
 
here is why Tsh500 is called 'Jero' in tz.
that name actually originated from kenya. from Cyrus Jerongo who "owned" all the ksh500 Notes during the YK'92 political era

KView attachment 2186631
Acha uongo, 500 inaitwa Jero sababu ya voucher za 500 kutoka mtandao wa shivacom uliokua unatengeneza voucher za karatasi zinaitwa shivacom Jero-Jero

Kwanini mnapendaga kulazimisha Tanzania recognition? 🤔

Screenshot_20220414-052448.png
 
Sisi tunaongelea kuhusu nyinyi..how can you buy more planes and yet you are making losses..Hakuna siku mushawai pata faida..why dont you lease then..ni wapi ulishawai sikia ndege zinanunuliwa cash...Nani kawaroga...
GDP inaruhusu halafu airline business ni service hence profits come second. Angalia mashirika ya uarabuni Qatar, Emirates, Etihad yanavyokuwa heavily subsidised na serikali zao.
 
hii nchi imerogwa aloo
yani huyo mzungu ndo kachezea uchumi wa mafuta kenya nzima



Messing with France won't be good for kunyans.. there will be consequences... A journey to a very rough road for our neighbors... Worst enough they are heading to general election which already shows signs of hostility and chaos..
 
Back
Top Bottom