The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Pale Airpot na njia panda watu washachukuwa pesa nyumba zishavunjwa aisee ni eneo kubwa zimechukuwa hizi underpasses, tusubiri muonekano mpya wenye kupendeza pia zitapunguza congestion.MD wa TRC anafanya mahojiano saiz na TBC.. anasema hiki kipande cha Dar hadi Pugu.. zitajengwa overpasses tatu ili magar yapite juu na treni chini.. Zitajengwa eneo la kuelekea Airport, Vingunguti na ‘ile njia ya kutokea kinyerezi’ (nimesahau kataja jina gan sijui)..



