Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,111
- 10,547
Angalia ujinga wako ulio anika humu🤣🤣🤣🤣🤣.., kwani electric car ni ya kushangaza? si ni gari tu na inapita kwa barabara kama zingine.., same na SGR train., one is powered by diesel another electricity na zote zinatumia rail ya standard gauge, lishamba😂😂😂😂. Pili my post is about Kenya doing things according to written plan, nyie mliona Kenya wanafanya mkashtukia na kujenga, mkiona flyover na nyie mnataka, competing tu blindly.., sisi hatukimbishani na mtu., tunafata plans zetu..,Xpress way vs electrifitried SGR kipi ni kitu cha kushangaza zaidi kuwepo East and Central Africa
Kama kuna mtu angeliniambia mwaka 2010 kwamba ifikapo 2025 Tanzania itakuwa nchi ya kwanza Africa kuwa na European standard electrifitried SGR ambayo ni ndefu zaidi barani Afrika basi ningelimpiga makofi kwa kuniona zuzu wa kiwango cha SGR iliyosuswa pale Suswa![]()
Alafu kuna nchi za Africa zilizo watangulia kitambo sana nyambaff😂😂😂😂., My mother is the best cook mentality.., kama tu km 200 imewachukua huu muda wote ndio 2025 mtakua mmekamilisha eti?, a simple SGR just electrified🤣🤣😂😂
Dadedki😛😛😂😂😂 (European and Asian standards hizi hapa in Africa) eti nyie wa kwanza..., unavuta nini The best 007 😂😂😂




