Lot 6 kutangazwa hivi karibuni iko kwenye mchakato wa manunuzi.Heheheheeee unafananisha electric car zilizowekwa uwani pale ka Nairobi na electrifitried SGR
Alafu mm nakwambia Tz ndiyo nchi ya kwanza Africa kuwa na the longest railway line as far as the term SGR is concerned, angalia hapa chini alafu nioneshe nchi yoyote Africa yenye SGR ndefu kama hiiView attachment 2185191
Unacheka yet we are two pots ahead of you bongolala!
hii taarifa imekufkia bro??Unacheka yet we are two pots ahead of you bongolala!
Ooliskia wapi!sasa 4 at ago halafu huna storage capacity ni kama kuweka a cart before a donkey!
Lot 6 au Lot 4?Lot 6 kutangazwa hivi karibuni iko kwenye mchakato wa manunuzi.
ni shower ya kuosha magari yanayopita!Nairobi express road drainage system. Ila wachina Mungu anawaonaView attachment 2185522
😅😅😅😅 Hapo sasa, halafu wanahofia Tanzania kuwa EA logistics hub wakati tayari Tanzania ni EA logistics hub, Tanzania inahudumia nchi nyingi ukanda huu kuliko Kenya na inahudumia mzigo mkubwa kuliko Kenya na Tanzania inauza kwenye nchi nyingi na value kubwa kuliko Kenya ukanda huu, sasa sijui anachohofia ni kipi?Sasa wanalalamika nn? Uwezo wa nchi yetu ni mkubwa ndiyo maana tulipoomba mkopo wa kutengeneza electrifitried SGR waligoma but tulipoanza kwa pesa za ndani ndipo walipojua kuwa tuko serious zen wakakubali, ss hawa jamaa uwezo wao mdogo nchi yao ya kimaskini walitegemea wajengewe reli ya umeme? Ili iwalipe faida haraka haraka alafu mchina akose pa kupiga? Walipoomba kujengewa reli ya diesel mchina akakubali mana alijua fika lazima wa default zen mchina achukue Mombasa port, ndivyo ilivyotokea, ss wanalia nn, umaskini mbaya![]()
Nimeona na plate number wanamepata 😂😂😂😂😂punda wa lamu wanamajina ya magari kabisa unaeza sikia punda anaitwa BMW au noah etc
Upumbavu mtupu, render tofauti na actual facility.