Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi



MY TAKE
Wahenga walisema kutangulia si kufika japokuwa Wakunya walianza ujenzi wa SGR ilipofika phase II ikagota! Saahii electric SGR Tanzania ipo phase ya nne (the longest in the whole of Africa) na phase mbili zaidi zinatarajiwa mwaka huu!

CC: Tony254 na Wakunya wote wengine!

Kwa pesa gani mliyonayo? Hii itabidi tu mkope sio?
 
sisi tuna GDP nye nye nye [emoji1787][emoji1787][emoji1787] chakula hamkiwezi mafuta mutayawezea wapi??


[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]maeneo muhimu kuona ndinga zao, Nina uhakika hiyo Toyota corola ni tolea la kwanza la miaka hiyoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
sasa domo langu liko wapo broo kusema ukweli ndio kosa langu [emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2184441








kosa langu mm liko wapi bro au nisiseme ukweli basi ok basi haipo singapore iko kipevu mombasa sorry bro [emoji23][emoji23][emoji120][emoji120][emoji120]
View attachment 2184443










na hii iko singapore sio kipevu mombasa basi usikasirike bro nisharekebisha nilikosea mm
sipendi kukuona ukiwa na hasira bro [emoji120][emoji120][emoji23]View attachment 2184446

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
camel oil
View attachment 2184456



oilcom
View attachment 2184457




oryx
View attachment 2184458


puma
View attachment 2184460



total
View attachment 2184462





world oil, lake oil etc
View attachment 2184463





GBP
View attachment 2184464





na hzi sikui ni kampuni gani hapo kurasini
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] watanisaidia wanaojua
View attachment 2184467View attachment 2184468







haya sasa fananisha na kipevu oil terminal mavi ya bata [emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2184465

Hiyo Kipevu kama matank ya maji Ya Guest Uswahilini Manzese [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hizi conoetitions zako za ufala, do you even see the utter size?? Capacity hamuwezi kufikia...
Stop living in oblivion...

View attachment 2184504View attachment 2184505View attachment 2184506View attachment 2184507View attachment 2184508View attachment 2184509View attachment 2184510View attachment 2184511


View attachment 2184503

Hizi ni kama nusu, na ni Mombasa tu hatujaenda Nairobi...KPC
Nakuru, Kisumu...
Najua wameshangaa Sana,hawakujua most of the oil deports hapo Mombasa ziko Main island,sasa ona zao venye ni kiduchu compared na za Mombasa😁

Haya chukueni za Nairobi 😍
Screenshot_20220412-052201.png
 
Where is it....Ushawai kuona auditorium kenya yenye quality kama hio ? naongelea quality...
Iko Thika. Sioni quality ya udsm it looks just like a normal auditorium. The MKU one is better and bigger
1-images-22.jpg
 

Attachments

  • images-22.jpg
    images-22.jpg
    39.3 KB · Views: 35
  • 1-images-23.jpg
    1-images-23.jpg
    46.6 KB · Views: 35
Sijui nani alieturoga waAfrica. Wawakilishi wetu kwenye umoja wa mataifa wamekaza mikundu wakipiga makelele kuisupport Ukraine ilhali watoto wa majirani zetu wanatumikishwa kwa faida ya wazungu



Hata Putin alivyosema wakenya wasolve janga la njaa badala ya kuipigia kelele Russia. Message ya Putin imebeba jumbe nyingi za msingi sana, Just a few to mention;
1. Watoto wa nchini kwako wanakufa njaa ilhali ardhi yenu mnalima maua kuwauzia hao Ukraine
2. Unajinadi kusupport Ukraine kwenye vita ilhali ndugu zako nyumbani wanauwawa na Al-Shabaab + Njaa ambapo Ukraine hajawahipaza sauti kuhusu hao ndugu zako wanaoteseka
3. Unataka kuzima moto kari linalopita barabarani wakati nyumba yako inaungua!
.
.
.
 
Hizi conoetitions zako za ufala, do you even see the utter size?? Capacity hamuwezi kufikia...
Stop living in oblivion...

View attachment 2184504View attachment 2184505View attachment 2184506View attachment 2184507View attachment 2184508View attachment 2184509View attachment 2184510View attachment 2184511


View attachment 2184503

Hizi ni kama nusu, na ni Mombasa tu hatujaenda Nairobi...KPC
Nakuru, Kisumu...
Hata Tanzania bado za Tanga, Mtwara, Mwanza, Mbeya etc
 
The sooner you accept, the earlier you start working, otherwise mtabisha hata ile tutakuwa na triple your economy...tafakari hayo ichoboi kijana mwarabu,


ila usiku mwema na nawatakia Ramadhan Kareem ndungu Wote Waislamu katika Forum hii
Gdp inasaidia nini wakati uchumi wenu 70% ni wa umasikini? 😒
 
camel oil
View attachment 2184456



oilcom
View attachment 2184457




oryx
View attachment 2184458


puma
View attachment 2184460



total
View attachment 2184462





world oil, lake oil etc
View attachment 2184463





GBP
View attachment 2184464





na hzi sikui ni kampuni gani hapo kurasini
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] watanisaidia wanaojua
View attachment 2184467View attachment 2184468







haya sasa fananisha na kipevu oil terminal mavi ya bata [emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2184465
Bado Tipper, Engen etc
 
Phase zote 5 zina kandarasi next ssa ni kigoma gitenga burundi mpaka çongo hela imeshatoka tayari na pia a branch to rwanda kagame inabidi achangamke kdg
Bado Isaka to makutupora tho wamesema soon watatoa tender

Pia phase 2 itaanza tabora to kigoma via uvinza
 
Kwa pesa gani mliyonayo? Hii itabidi tu mkope sio?
Kutoka kuuliza 1 km, hadi 100 km, hadi kwa umeme upi, hadi kwa treni gan, etc.. saiz bila aibu tena kwa chuki kubwa mnahoji kwa pesa zipi?😂.. hata kama ni kwa mkopo.. na nyie jaribu kukopa muone kama mtapewa hio mikopo..

Huna tofauti unamwambia mtu anaringa kisa anaendesha gari ya baba'ke.. na wew si muombe baba yako ilo gari lake uiringie ..it is either hana au huwezi kupewa😁
 
Na hao watakuwa ni wakunya wanaoishi mpakani mpakani na Tanzania maana sisi tabia hizo hatuna huku kwetu.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Maana yake wa kwao sio [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom