Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Prons & cons of remittances
Over 80% of remittances to developing economies is for domestic expenditures, not for investments, pay for school fees, paying for medical treatments, building residential houses, buying Private cars for family and others
The best 007 huyu mtu wako atasaidika vipi? Nimemuwekea article ya kitaalam kabisa inayoonyesha jinsi Eastern Europe ilifaidika kiuchumi kupitia remittances ya watu wao waliokuwa wakifanya kazi katika nchi za Western Europe na America na amekataa kusoma hio article.
Wacha nimuwekee hii article ya pili na ya mwisho ya OECD ambayo ni organisation inayoheshimika sana. Hii ni economic report ya kitaalam ambayo imeandikwa na wachumi wengi sana na kila mchumi ameandika article yake akisupport kauli kwamba remittances zimeisaidia Latin America kukuwa kiuchumi. By 2003 Latin America tayari ilikuwa inapokea remittances ya $50 billion.
Nimeattach report sijui kama jamaa atasoma ama ataendelea kupinga 👇

Cc joto la jiwe
Mimi debate nimefunga. Kila mtu abaki na anachoamini.
 

Attachments

Tony254, unayosema sio kweli hata kidogo, sector nzima ya Agriculture Tanzania ambayo ni kubwa kuliko nchi zote za ukanda huu haina uwezo kuingiza $1.3B, hafadhali ungesema maua ningekubali kwasababu ni "high value products.

Majani chai ni " low value' product, ili kupata $1.3B, lazima ardhi ya nchi nzima ya Kenya igeuzwe kuwa mashamba ya chai.

Kinachotokea ni kwamba, chai yote inayolimwa Malawi, Zambia, Tanzania, Burundi, Rwanda, Uganda, Kenya na Ethiopia inakusanywa kwenye soko kubwa la chai hapo Mombasa, kutoka hapo ndio hiyo chai inakua "branded" Kama "Export from Kenya", lakini Kenya pekee hamuwezi kuzalisha hata chai inayozidi $200M, "prove me wrong"
Debate ya ujinga kama hii ndio siwezi kufanya. Sasa wacha tunyamaziane. Sitapoteza muda na wewe tena.
 
Investment in industries sio magic bullet. Investment in industries sio the only important thing in an economy. In fact hata kulipia watoto school fees pia inaweza kuzingatiwa kama investment. Investment is a broad term and could mean different things. Economic development ni broad sana na inahusu hata hio kulipa school fees mzee, sikiliza ninachokuambia. Hiyo medical treatment unayoidharau pia ni part of economic development. Hio private cars na pia kununua viwanja na kujenga makaazi ya watu pia ni part of economic development. Naomba tuelewane. Tatizo lako ni kwamba wewe ni kichwa ngumu hutaki kusikia. Halafu nimekuwekea mpaka academic article ya kitaalam kabisa na umekataa kusoma na hata hujanieleza kama umeisoma au la. Halafu bado unataka nijadiliane na wewe? The best 007 unaona matatizo jinayodeal nayo? Sio kwamba nimesusia debate, ni kwamba hata nikimwekea hata academic article, na zipo nyingi naweza kuzijaza hapa, jamaa hatazisoma atagandia hio point yake. Kwa nini niendelee kupoteza muda na yeye?
Wewe upo na shida Sana, hiyo article niliyokuwekea hapo pia ni "academic article", wacha kuwa na mawazo mgando, ngoja nikuulize swali, mbona WB inapotoa taarifa kuhusu FDI za hizi nchi hawajumlishi na "remittances?".

Japo Kuna mkanganyiko na "debates" kuhusu "definition' ya Capital investments, lakini ni akili ya kawaida tu bila hata degree ya uchumi kujua kwamba pesa unayotumia kulipia huduma za Afya, ada ya shule na kununua chakula, kugharimia mazishi, sio "capital investment", na asilimia kubwa ya hizo remittances Hutumika katika hayo na mengine ya kifamilia
 
Wewe wacha mambo zako. Kama huelewi jambo sema ujulishwe. Sasa Uganda wanaexport tea worth $71 million per year wakati Kenya ina export tea worth more than $1 billion per year. Narudia tena Kenya ina export tea worth more than $ 1 billion per year. Sasa unless una matatizo ya akili, sielewi ni vipi unaweza kulinganisha 71 million dollars ya Uganda na 1 billion dollars ya Kenya. Akili kichwani. Kenya is the third largest producer of black tea in the world. Majani chai ambayo Uganda wanaproduce kwa mwaka mzima hata haifikii majani chai ambayo Kenya inaproduce kwa mwezi mmoja. Mashamba ya chai yamejaa Kenya na yalianzishwa na the British wakati wa ukoloni. Kericho, Kapsabet, Limuru na kadhalika, haya yote ni maeneo yanayopanda chai hapa Kenya.
Usikaze sasa fuvu

Mombasa tea auction ina deal na nchi zaidi ya 8 na baada ya auctions chai yote inakua branded as Kenya's Tea

Uganda ni mfano tu, hamna ubavu wala mashamba ya kuwa mzalishaji chai number 20 duniani achilia mbali number 3

Screenshot_20220410-083240.png
 
Mnastahili kuwa na a constant development master plan kama Mombasa port. Berth moja ya Mombasa port inapokamilika, nyingine inaanza kujengwa mara moja. Hakuna kungoja miaka kadhaa kama nyinyi mnavyofanya. Hii masterplan ya Mombasa port iliundwa na Japan kupitia JICA. Kwa sasa Mombasa port ina berths zaidi ya ishirini na latest berth+container terminal zitazinduliwa mwezi ujao kisha ujenzi wa next berth+container terminal utaanza immediately. Mnastahili kuwa na continuous development master plan hata nyinyi sio kusitisha ujenzi kwa miaka kadhaa. Kwa sasa Mombasa port inahandle zaidi ya 35 million tonnes of goods wakati Dar es Salaam inahandle 17 million tonnes pekee.

View attachment 2182178

View attachment 2182179

View attachment 2182180
Cc Geza Ulole
chongchung
Amari

Kwa wanaotaka kusoma latest masterplan ya Mombasa port, nimeattach hio masterplan hapa chini
JICA ni wazuri kwa kusaidia ku develop hizi transportation plans...Mombasa ina handle mzgo kubwa sio siri..na nyie mnawekeza nguvu kubwa..

Dar Port imetoka ku undergo massive expansion ya Berth 1 to 7 na kujenga 300m Berth 0

Na kitakchofwatia ni expansion ya berth 8 to 11 ambazo ni container terminals ..

berth 12 ni Oil.Jetty

Berth 13 and 14 ziko on development plan ..kikubwa we need to put in greater force kwenye port hasa kama hatutajenga bagamoyo port ..maana GDP yetu na population zinakua kwa speed

Kuna huu upande wa kigamboni hatujaugusa kabisa bado nafasi ipo
Screenshot_20220410-090622_Chrome.jpg
Screenshot_20220410-085915_Chrome.jpg
 
Usikaze sasa fuvu

Mombasa tea auction ina deal na nchi zaidi ya 8 na baada ya auctions chai yote inakua branded as Kenya's Tea

Uganda ni mfano tu, hamna ubavu wala mashamba ya kuwa mzalishaji chai number 20 duniani achilia mbali number 3

View attachment 2182325
@Tony254
The best 007
Geza Ulole

Tony254 India na Kenya ndio zilikua wauzaji wakubwa wa madini ya Tanzanite duniani, lakini hawakua na hata mgodi mmoja wa Tanzanite nchini mwao.

Kenya mnachofanya ni" re-export", ya chai kutoka nchi zingine, lakini local production yenu haiwezi fika hata $200m per year.
 
@Tony254
The best 007
Geza Ulole

Tony254 India na Kenya ndio zilikua wauzaji wakubwa wa madini ya Tanzanite duniani, lakini hawakua na hata mgodi mmoja wa Tanzanite nchini mwao.

Kenya mnachofanya ni" re-export", ya chai kutoka nchi zingine, lakini local production yenu haiwezi fika hata $200m per year.
Na huu ndio ukweli.
 
Kulikuwa na plan ya kujenga Berth 13 and 14 ambazo zingekuwa kwa ajili ya container terminal tupu..quay length yake ilikuwa 600m kwa zote ..o think its a high time to revive that plan and even add berth 15 if nafasi ipo..

we need to.have various strong holds...my idea with another RoRo its sio kwamba hii haitoshi..hamna it was to make it stronger ..when someone thinks of importing cars thinks of Dar..anyways maybe its so soon..

But we need at least 3 new berth with upto 1.2km long length total
Tukibinafsisha bandari sijui kama kutajengwa chochote
 
Usikaze sasa fuvu

Mombasa tea auction ina deal na nchi zaidi ya 8 na baada ya auctions chai yote inakua branded as Kenya's Tea

Uganda ni mfano tu, hamna ubavu wala mashamba ya kuwa mzalishaji chai number 20 duniani achilia mbali number 3

View attachment 2182325
Wacha kuwa ngombe!
After action Kila chai inauzwa nje as per individual countries,
We have alot of tea Lari na i know the business well,
Next time usisene hakuna mashamba za chai Kenya,
Tembea mguu huku ujione
KisiiRegiin, rift valley, mount Kenya and eastern Western province.Chai tupu hakuna boma.hawana chai
Fala
 
Wacha kuwa ngombe!
After action Kila chai inauzwa nje as per individual countries,
We have alot of tea Lari na i know the business well,
Next time usisene hakuna mashamba za chai Kenya,
Tembea mguu huku ujione
KisiiRegiin, rift valley, mount Kenya and eastern Western province.Chai tupu hakuna boma.hawana chai
Fala
Wewe upo zaidi ya mwaka humu lakini kiswahili bado kitendawili siwezi bishana sababu uelewa wako wa lugha bado finyu 😅
 
@Tony254
The best 007
Geza Ulole

Tony254 India na Kenya ndio zilikua wauzaji wakubwa wa madini ya Tanzanite duniani, lakini hawakua na hata mgodi mmoja wa Tanzanite nchini mwao.

Kenya mnachofanya ni" re-export", ya chai kutoka nchi zingine, lakini local production yenu haiwezi fika hata $200m per year.

Usikaze sasa fuvu

Mombasa tea auction ina deal na nchi zaidi ya 8 na baada ya auctions chai yote inakua branded as Kenya's Tea

Uganda ni mfano tu, hamna ubavu wala mashamba ya kuwa mzalishaji chai number 20 duniani achilia mbali number 3

View attachment 2182325
chongchung Kenya ina kampuni nyingi za kibinafsi zinazopanda na hata kuprocess chai ikiwemo Sasini, Finlays,na kadhalika. Pia kuna association ya wakulima wadogo wadogo wanaomiliki industries za kuprocess chai, inaitwa KTDA. Hawa ni wakulima Wakenya na wanamiliki shamba ndogo ndogo hapa Kenya. Hii KTDA haitoi chai Uganda au Tanzania. Hii ni association ya Wakulima wa chai wa Kenya. It is the biggest tea association in Africa. Mwaka wa 2020 waliuza chai ya $790 million. Sasa kama hawa wakulima wadogo wa Kenya wanauza chai ya $790 million na bado sijajumulisha chai inayouzwa na kampuni za kibinafsi sasa Kenya itashindwa vipi kuzalisha chai ya $1 billion?

Zingatia evidence na usianze tabia ya kupinga evidence kama mwenzako


KTDA-Managed Factories Record KSh79 Billion Revenue in FY19/20

KTDA managed smallholder tea factories recorded a 14 percent jump in revenue in the year ended June 30, 2020. Revenues rose to Ksh79 billion from Ksh69 billion in the previous year driven by increased green leaf production.

Green leaf production increased 29 percent to 1.45 billion kilograms compared to 1.13 billion kilograms over a similar period last year.

However, the price was relatively lower for the year seeing the average price for a kilo of sold tea fell by 8.1 percent to an average 12-year low of $2.38 per kilo compared to $2.59 per kilo in 2019.
For instance, toward the end of June 2020 the average price per kilo of made tea at the Mombasa Auction dropped below $2, a scenario last seen in 2007. KTDA attributes the decline in prices to increase in production, reduced demand for the product across major markets due to disruptions occasioned by COVID19, and an oversupply in the tea markets.

KTDA expects tea factories to meet this week to review and approve the audited accounts ahead of declaring the final payment ‘bonus’ to farmers.


Halafu kabla ukurupuke na kusema kwamba KTDA inatoa majani chai nje ya Kenya, hawa ni Wakulima wadogo wadogo wa Kenya huko vitongojini. Hawa sio mabroker wanaokuja kununua majani Tanzania. Soma statement katika Website yao.


A Global Leader in Quality Teas​


KTDA is a private company owned by about 600,000 smallholder tea farmers spread across 16 tea growing counties in Kenya. The farmers are shareholders to 54 tea companies that own KTDA (H) and its 8 subsidiary companies.
Some of the 54 tea factory companies have expanded by setting up satellite factories in their neighborhoods to accommodate the extra leaf. The satellite factories are 15, adding up to 69 the total number of tea factories owned by smallholder tea farmers.
The eight subsidiary companies owned by KTDA (H) add value to the tea value chain. These companies include Chai Trading Company Limited, KTDA (Management Services), Majani Insurance Brokers, Kenya Tea Packers Limited, Greenland Fedha Limited, KTDA Foundation, Tea Machinery and Engineering Company Ltd, KTDA Power Company Limited and KTDA (MS
 
Back
Top Bottom