Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Itarudi after one year, alafu three quarters ya hizo vehicles sio zao
Nimependa hii number

Gari almost 3000 zinaenda DRC (nilimuambia Tony254 gari nyingi za DRC zinapita Tanzania akabisha) zinaenda Zambia, Rwanda, Burundi, Uganda, Mozambique, Malawi, South Sudan

Hii ina maana ukiondoa gharama za bandarini watazolipa lakini madereva watakua Watanzania na mafuta watanunua Tanzania, zaidi ya ajira za muda almost 3000 zimezalishwa kwa siku 1 tu.

Mombasa inahudumia 95% ya biashara yote Kenya tu

This makes Tanzania regional logistics hub

 
Nimependa hii number

Gari almost 3000 zinaenda DRC (nilimuambia Tony254 gari nyingi za DRC zinapita Tanzania akabisha) zinaenda Zambia, Rwanda, Burundi, Uganda, Mozambique, Malawi, South Sudan

Hii ina maana ukiondoa gharama za bandarini watazolipa lakini madereva watakua Watanzania na mafuta watanunua Tanzania, zaidi ya ajira za muda almost 3000 zimezalishwa kwa siku 1 tu.

Mombasa inahudumia 95% ya biashara yote Kenya tu

This makes Tanzania regional logistics hub

Na lazima SGR itapata mzgo tu kwa namna hii...

Nngekuwa TPA nngefikiria kujenga Berth nyingne ya Roro ..anyways statistics zinaonesha toka hii roro berth mpya imefunguliwa Meli za Magari zimezidi kuongezeka
 
Nimependa hii number

Gari almost 3000 zinaenda DRC (nilimuambia Tony254 gari nyingi za DRC zinapita Tanzania akabisha) zinaenda Zambia, Rwanda, Burundi, Uganda, Mozambique, Malawi, South Sudan

Hii ina maana ukiondoa gharama za bandarini watazolipa lakini madereva watakua Watanzania na mafuta watanunua Tanzania, zaidi ya ajira za muda almost 3000 zimezalishwa kwa siku 1 tu.

Mombasa inahudumia 95% ya biashara yote Kenya tu

This makes Tanzania regional logistics hub

Na lazima SGR itapata mzgo tu kwa namna hii...

Nngekuwa TPA nngefikiria kujenga Berth nyingne ya Roro ..anyways statistics zinaonesha toka hii roro berth mpya imefunguliwa Meli za Magari zimezidi kuongezeka
 
Na lazima SGR itapata mzgo tu kwa namna hii...

Nngekuwa TPA nngefikiria kujenga Berth nyingne ya Roro ..anyways statistics zinaonesha toka hii roro berth mpya imefunguliwa Meli za Magari zimezidi kuongezeka
Wanasema katika hizi siku 5 gari 8000 zimeshuka na bado kuna meli mbili zipo on queue zote zinaoffload 4000 cars yote hii ni scope ya siku 10 tu wakati kabla ya ro-ro berth mwezi mzima walikua wanaoffload gari 10k tu

Nyingi kati ya behewa TRC wameagiza ni za kubeba gari

images (84).jpeg
 
Na lazima SGR itapata mzgo tu kwa namna hii...

Nngekuwa TPA nngefikiria kujenga Berth nyingne ya Roro ..anyways statistics zinaonesha toka hii roro berth mpya imefunguliwa Meli za Magari zimezidi kuongezeka
Mh ila biashara si magari tu! Hii iliyopo mbona bado kubwa tatizo ni mlundikano ambao hautaisha hata zikiwa tatu! Japokuwa SGR itasaidia. Kiukweli inapaswa gari isikae zaidi ya siku hapo berth 0! Kuna umuhimu kufanyike upanuzi wa berths upande wa Tiper kwa ajili ya more containerized cargo, cruise ships terminal (japo nilishawahi skia itakuwa Kunduchi) na mafuta ikiwemo vimiminika tofauti zaidi ya crude na pia delicate perishable cargo yaani cold rooms e.t.c! SGR itahitaji mzigo mwingi wa makontena!
 
Nimependa hii number

Gari almost 3000 zinaenda DRC (nilimuambia Tony254 gari nyingi za DRC zinapita Tanzania akabisha) zinaenda Zambia, Rwanda, Burundi, Uganda, Mozambique, Malawi, South Sudan

Hii ina maana ukiondoa gharama za bandarini watazolipa lakini madereva watakua Watanzania na mafuta watanunua Tanzania, zaidi ya ajira za muda almost 3000 zimezalishwa kwa siku 1 tu.

Mombasa inahudumia 95% ya biashara yote Kenya tu

This makes Tanzania regional logistics hub


90% ya mizigo ya Uganda inapitia Mombasa port.
 
Michezo ya kisenge senge kama hii hatuna mpango nayo.
my friend rugby 🏉 is the real deal..!🔥 never ever will i compare football with this high-end and classy sport.! in kenya, rugby is associated with the rich and the upper-class..

nb: during apartheid SA, games like, rugby, golf, tennis, swimming, hockey, cricket, snooker, car rally, horse-racing were only reserved for the whites and the-colored.. it was an offence if black africans were found playing these..

whereas games like football, volleyball, athletics, boxing, darts, were open for blacks like u tanganyikans..

in kenya, britons introduced all these games, and we are still playing all of them till date.!!!

see for yourself another high-end game at ngong race-course
blog-daily-dispatches-day-3-8213.jpg
gettyimages-521943312-612x612.jpg
 
Na lazima SGR itapata mzgo tu kwa namna hii...

Nngekuwa TPA nngefikiria kujenga Berth nyingne ya Roro ..anyways statistics zinaonesha toka hii roro berth mpya imefunguliwa Meli za Magari zimezidi kuongezeka
Pale TPA inahitajika berth Kwa ajili ya containers tupu na machines za kutosha offloading and loading. Pia a large area for loose cargo na mitambo.

RoRo berth inatosha kabisa na uzuri magari ni self drive hivyo pakijaa wanaweza kuhamishia kwenye ICD tu. Na ni ngumu gari kujaa maana utaratibu wa magari uko fasta kidogo. Gari inaweza kutoka kwenye meli Leo na kesho ukaingia nayo barabarani clearance cycle iko fast than containers.
 
Angalieni baada ya miaka mi5 hamtawaona kama muwaonavyo leo

View attachment 2181287
Hahaha wewe unataka battle ya Dar es Salaam port versus Mombasa port? Hahaha. Muulize Geza Ulole atakueleza jinsi Watanzania huwa mumeshindwa kwenye hiyo battle. Wacha nikupe advice, tafuta battle mahali pengine wachana na mambo ya ports kwa maana hio battle huwa hatufanyi huku. Malazy walishakubali kwamba wameshindwa kwenye hio battle. Lakini kama unataka kulianzisha dude wewe sema tu, mimi niko tayari.
 
Pale TPA inahitajika berth Kwa ajili ya containers tupu na machines za kutosha offloading and loading. Pia a large area for loose cargo na mitambo.

RoRo berth inatosha kabisa na uzuri magari ni self drive hivyo pakijaa wanaweza kuhamishia kwenye ICD tu. Na ni ngumu gari kujaa maana utaratibu wa magari uko fasta kidogo. Gari inaweza kutoka kwenye meli Leo na kesho ukaingia nayo barabarani clearance cycle iko fast than containers.
Watu hawana ufahamu wa nn bandari inahitaji haswa na nn cha kuifanya iwe na ufanisi! Kingine SGR ikianza, hata magari yatabebwa pia!
 
Hahaha wewe unataka battle ya Dar es Salaam port versus Mombasa port? Hahaha. Muulize Geza Ulole atakueleza jinsi Watanzania huwa mumeshindwa kwenye hiyo battle. Wacha nikupe advice, tafuta battle mahali pengine wachana na mambo ya ports kwa maana hio battle huwa hatufanyi huku. Malazy walishakubali kwamba wameshindwa kwenye hio battle. Lakini kama unataka kulianzisha dude wewe sema tu, mimi niko tayari.
Hakuna battle ya Dar na Mombasa kwenye mafuta mganda anayorefine mwenyewe tilenga na kingfisher wapo kwenye ujenzi wa Refinery as we talk na usitegemee mganda kuingiza mafuta kutoka nje wakati anazalisha mwenyewe mafuta yake kwa miaka zaidi ya 40

Miaka 40 Mombasa bila shehena ya mganda ni pigo kwenu wala usilete ushabiki.
 
Hahaha wewe unataka battle ya Dar es Salaam port versus Mombasa port? Hahaha. Muulize Geza Ulole atakueleza jinsi Watanzania huwa mumeshindwa kwenye hiyo battle. Wacha nikupe advice, tafuta battle mahali pengine wachana na mambo ya ports kwa maana hio battle huwa hatufanyi huku. Malazy walishakubali kwamba wameshindwa kwenye hio battle. Lakini kama unataka kulianzisha dude wewe sema tu, mimi niko tayari.
Mambo ipo huku
Mombasa port na kipevu oil terminal yake sikitiko 🤣

Uganda itazalisha mara 2 almost ya consumption yake

Screenshot_20220409-095208.png


Screenshot_20220409-095230.png
 
Hakuna battle ya Dar na Mombasa kwenye mafuta mganda anayorefine mwenyewe tilenga na kingfisher wapo kwenye ujenzi wa Refinery as we talk na usitegemee mganda kuingiza mafuta kutoka nje wakati anazalisha mwenyewe mafuta yake kwa miaka zaidi ya 40

Miaka 40 Mombasa bila shehena ya mganda ni pigo kwenu wala usilete ushabiki.
Mafuta haizidi 10% ya imports ya Mganda. Kwa hivyo hata tukiondoa shehena ya mafuta bado 90% ya imports ya Mganda itaendelea kupitia Mombasa port.
 
Back
Top Bottom