Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa kama wewe sio mchumi nani alikuambia kwamba watu wanaokwenda kufanya kazi abroad faida yao kwa uchumi ni mdogo kushinda wale waliobaki nyumbani. Sio lazima uwe mchumi ili ujuwe kwamba watu wanaokwenda abroad wanafanya contribution kubwa sana kwenye uchumi za nyumbani. Ila sikulaumu kwa maana nyie hamna hio diaspora kubwa sasa unaona kama remittance ni utopolo mtupu. Kwa habari yako Kenya ina zaidi ya 20,000 trained but unemployed teachers, zaidi ya 10,000 trained but unemployed nurses. Sasa wakati mwingine ni vizuri kutulia na kuelewa kwamba ajira ni tatizo hapa Afrika. Hata nchi yenye emmigrants wengi zaidi ni India na Wahindi wanakwenda kufanya kazi, USA, Canada na UK kwa sababu hakuna ajira nyumbani India. Lakini wakifika ulaya wanaanza kutuma nyumbani hela ndefu kwanza in dollars na wanatuma dollars nyingi kushinda hata ile inayoingia kupitia tourism. Kenya sasa hivi tunapokea dollars nyingi kupitia remittance hata kushinda tourism au uuzaji wa chai au maua. Economist yeyote atakuambia kwamba remittance ni muhimu hata tu kwa kupunguza umasikini. Ni watoto wangapi wanasomeshwa na mama au baba zao wanaofanya kazi ulaya? Ni familia ngapi zimejengewa majumba na relatives wao wanaofanya kazi ulaya? Economist gani atasema kwamba remittance ni upuuzi kama wewe unavyosema?
Hakuna "economist" yoyote makini atakayesema kwamba "remittances" ni Bora kuliko "brain drain". remittance/money vs job creation within the country.

Hao wasomi walikosa ajira huko Kenya, ufumbuzi sio kwenda kutafuta ajira huko nje, ufumbuzi ni kutumia Elimu Yao kutengeneza ajira.

Ukweli ni kwamba 70% ya waafrika wasomi wanaofanya kazi huko nje ni "cream and most intelligent" wengi walikuwa wameajiriwa, tena serikalini, hao unaosema waalimu na nurses ambao hawajapata ajira, wengi ni daraja la chini ukilinganisha na waliotoroka, Sasa Kama hata Kenya ameshindwa "competition"ataweza huko nje?
 
Halafu una tabia mbaya ya kupuuza facts unayopewa. Sasa unasema kwamba ikiwa wataalam wangebaki Kenya wangefaidi Kenya zaidi kushinda kama wangeenda kufanya kazi ulaya na kutuma pesa nyumbani. Nimeandika hapo juu kwamba Kenya ina walimu 30,000 ambao wapo fully trained na hawana ajira hapa Kenya. Sasa sijui kwa nini umepuuza hilo jambo. Hapa sio jamvi la kupiga kusoga bila kushirikisha ubongo.
Ndio hii hapa kauli ya Teachers Service Commision inayosema kwamba walimu 30,000 wamefuzu ila hawana ajira. Usiwe unakimbia kuongea jambo usilolifahamu. Wewe ndio unajidhalilisha. Kwa hivyo ni kheri wabaki Kenya wakufe njaa kushinda wao kufanya kazi ughaibuni na kutuma pesa nyumbani? Sijui hata napoteza muda na wewe kwa nini.

Nimekujibu kuhusu Hilo la waalimu na nurses wasiokua na ajira hapo juu, soma vizuri utaelewa, hakuna mchumi wowote atakayeunga mkono "remittances vs brain drain, kumbuka hao wakenya walioko nje ya nchi, Kama wangebaki Kenya 95% wangeajiriwa, kwasababu wengi wao ni "First class"
 
Mkumbwa gani huyo aliyefanikiwa mpaka kuifumba macho Serikali ya JPM wakampa Msalato Airport na Phase 2??[emoji848][emoji28]
Heheheheeee, huyu contractor kama Magufuli angelikuwepo amini nakwambia asingepewa tender nyingine, tayari amesha prove failure. Inawezekana kweli kuna watu wana hisa zao wakamzuga mkulu lkn wameshashindwa so haiwezekani kuvumiliwa tena.
 
Hakuna "economist" yoyote makini atakayesema kwamba "remittances" ni Bora kuliko "brain drain". remittance/money vs job creation within the country.

Hao wasomi walikosa hajira huko Kenya, ufumbuzi sio kwenda kutafuta ajira huko nje, ufumbuzi ni kutumia Elimu Yao kutengeneza ajira.

Ukweli ni kwamba 70% ya waafrika wasomi wanaofanya kazi huko nje ni "cream and most intelligent" wengi walikuwa wameajiriwa, tena serikalini, hao unaosema waalimu na nurses ambao hawajapata ajira, wengi ni daraja la chini ukilinganisha na waliotoroka, Sasa Kama hata Kenya ameshindwa "competition"ataweza huko nje?
Nimekujibu kuhusu Hilo la waalimu na nurses wasiojua na ajira hapo juu, soma vizuri utaelewa, hakuna mchumi wowote atakayeunga mkono "remittances vs brain drain, kumbuka hao wakenya walioko nje ya nchi, Kama wangebaki Kenya 95% wangeajiriwa, kwasababu wengi wao ni "First class"
Fanya hivi wewe endelea kuamini unachoamini. Mimi nakupinga 100% kwa kila ulichosema. Nakupinga kabisa kwa kila ulichosema. Sasa wacha mjadala uishie hapo.
 
A reason why inspection is done at the the country of origin!


CC: Simon
Hii nchi ya kinafki kweli kweli, kwasababu aliyeasisi ukarabati huo co Rais kwa ss basi wanaogopa hata kumtaja wkt anatokea chama chao hicho hicho, hii nchi tunahitaji kuipiga chini CCM kwa gharama yoyote ile, ni chama cha kinafki sana.
 
This surgery is the first to be done in East and Central Africa, Kenya can't even dream, I am not talking about government Hospitals, even your private Hospitals can't perform this type of surgery, please prove me wrong,,,[emoji23][emoji23][emoji23]
Tony254
I know these things are new to you😂😂🤣🤣👇👇

Screenshot_20220408-195227.png
 
Ati Russia Ni superpower!!!
Two months imewashinda kuiteka Ukraine with 200b GDP!!!
Ebu imagine US kama wanaweza shindwa kufika Mexico city with 1trillion economy!!!
Russia Ni bure sana
Kwani nchi kuwa na GDP ndogo ndio nn, nyie kila siku mnashikishwa ukuta na Somalia je hao Somalia wana GDP ya kiasi gani? Wakenya hamna akili.
 
Back
Top Bottom