Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Huyu ameongea kama mjinga sana. Eti Ukraine wasitumiwe weapons. EU itazame tu raia wa Ukraine wakichinjwa kama kuku. Mwanamke mjinga sana huyo. Anastahili kuenda Ukraine na kuona jinsi raia wa kawaida wanauwawa kama kuku au kondoo na jeshi la Urusi kisha aje aongee utumbo anaoongea hapa.

download (6).jpeg

images (1).jpeg

images (2).jpeg
 


Napost hii hapa kukuumbua Tony254 , you are either dumb to see that Ukraine is winning the war or you are one of the paid CIA propaganda agents pushing an agenda. Let me tell you! We are not stupid. You stupid sellout!

Mimi ni sellout kwa sababu siwezi taka kuwa upande moja na wajinga kama nyinyi mnaosupport Russia wakati wanauwa raia wa kawaida kama hawa 👇👇👇
download (6).jpeg

images (1).jpeg

images (2).jpeg
 
Kama unakumbuka hapo mwanzo nilikuamvia GOK ingekuja na deliberate policies za kuinua watu kiuchumi na kuongeza production systems for instance strengthening of SMEs uchumi ungekuwa mkubwa wa kuweza kuabsorb hiyo workforce yote ambayo iko jobless. Pili i did not know the state of joblessness in Kenya kumbe iko kubwa hivyo. Good economic prospects in africa is possible but our only problem is maladministration na kuiga economic systems and models za developed countries.
Mzee kwa sababu naona uko a bit rational, wewe at least naweza debate na wewe on this issue tofauti na jamaa fulani ambaye nimeshindwa hata kudebate na yeye. Sasa twende taratibu na tujulishane facts and information ili tuelimishane. Sasa nikuulize unadhani SME ya Kenya itamuajiri mtu aliyesomea degree ya education na kuspecialize na History na religious studies? Au tuseme ame-specialize na geography? Au hio SME itaajiri mtu aliyesomea business and economics kama mimi? So mambo ya SME kuwaajiri hawa walimu 30,000 ambao wamefuzu ila hawana kazi haiwezi kufanyika. SME inataka accountant au manager ambaye amesomea biashara, sio mtu ambaye amesomea history au religious studies au geography. Huyu atasaidia SME kwa jambo lipi? Natumai ninaweza kudebate na wewe point by point hadi tuelewane kwamba hawa watu wote 30,000 ambao wamefuzu na hawana kazi, hawawezi kuwa absorbed katika uchumi wa Kenya kwa sasa.

Vile vile India na Nigeria pia zinaproduce hundreds of thousands of new graduates kila mwaka kutoka kwa universities zao ila chini ya 40% ndio watakaopata ajira. Hili sio tatizo la Afrika pekee. India inaproduce engineers wengi ajabu na wachache tu ndio wanaweza kupata ajira ndani ya India. Sasa kwa sababu USA inataka engineers na software programmers kwa wingi, kwa nini wahindi au Nigerians au kenyans waliosomea computer science au engineering wasiende USA mahali ambapo watapata ajira kwa urahisi na kulipwa salary 10 times better than nyumbani? Halafu akituma nusu ya hio pesa nyumbani watu wa nyumbani pia wanafaidika. Nataka kusikia mawazo yako kuhusu haya ninayoyasema. In short, it is not possible for all our graduates to be absorbed in our small, underdeveloped economies, uchumi zetu bado ndogo sana. Kenya kuna watu wana masters na hawana ajira, unasema nini wewe. Sasa huyu mtu akipata ajira ya kwenda kufundisha college au university South Sudan utamkataza kwenda eti kwa sababu unataka abaki Kenya aendelee kuwa jobless? Tuwe na utu, huruma na empathy kwa watu ambao wamesoma ila hawana kazi, akipata kazi Somalia basi wacha aende afanye kazi huko jameni, tatizo liko wapi hapo?
 
Mzee kwa sababu naona uko a bit rational, wewe at least naweza debate na wewe on this issue tofauti na jamaa fulani ambaye nimeshindwa hata kudebate na yeye. Sasa twende taratibu na tujulishane facts and information ili tuelimishane. Sasa nikuulize unadhani SME ya Kenya itamuajiri mtu aliyesomea degree ya education na kuspecialize na History na religious studies? Au tuseme ame-specialize na geography? Au hio SME itaajiri mtu aliyesomea business and economics kama mimi? So mambo ya SME kuwaajiri hawa walimu 30,000 ambao wamefuzu ila hawana kazi haiwezi kufanyika. SME inataka accountant au manager ambaye amesomea biashara, sio mtu ambaye amesomea history au religious studies au geography. Huyu atasaidia SME kwa jambo lipi? Natumai ninaweza kudebate na wewe point by point hadi tuelewane kwamba hawa watu wote 30,000 ambao wamefuzu na hawana kazi, hawawezi kuwa absorbed katika uchumi wa Kenya kwa sasa.

Vile vile India na Nigeria pia zinaproduce hundreds of thousands of new graduates kila mwaka kutoka kwa universities zao ila chini ya 40% ndio watakaopata ajira. Hili sio tatizo la Afrika pekee. India inaproduce engineers wengi ajabu na wachache tu ndio wanaweza kupata ajira ndani ya India. Sasa kwa sababu USA inataka engineers na software programmers kwa wingi, kwa nini wahindi au Nigerians au kenyans waliosomea computer science au engineering wasiende USA mahali ambapo watapata ajira kwa urahisi na kulipwa salary 10 times better than nyumbani? Halafu akituma nusu ya hio pesa nyumbani watu wa nyumbani pia wanafaidika. Nataka kusikia mawazo yako kuhusu haya ninayoyasema. In short, it is not possible for all our graduates to be absorbed in our small, underdeveloped economies, uchumi zetu bado ndogo sana. Kenya kuna watu wana masters na hawana ajira, unasema nini wewe. Sasa huyu mtu akipata ajira ya kwenda kufundisha college au university South Sudan utamkataza kwenda eti kwa sababu unataka abaki Kenya aendelee kuwa jobless? Tuwe na utu, huruma na empathy kwa watu ambao wamesoma ila hawana kazi, akipata kazi Somalia basi wacha aende afanye kazi huko jameni, tatizo liko wapi hapo?
Point yako nzuri Tony..Tatizo la Ajira ni kubwa nchi nying Africa...hata Tz ..na hii inatokana na oudated style of teaching...we still teach things which are not so applicable..in our schools..

Imefika wakati sasa..tuwe na courses ambazo ni employable

Mfano..Digital skills
.....Market Analysis
.Software develeopment
.Media Content Creation
.Coding

Pia still most goverments hazijatilia maanani sector ya Entertainment industry...

At least nimeona Tanzania tumeongeza speed tunataka kuanza kujenga Sports Academies Mashuleni, Na ku develop Arena mbili tatu....but still we need better schools for Acting and production.

Mfano..movies, music na sports vimeajili wamarekani wengi na vinawapatia hela ya kutosha

I know kuna a point kwamba development goes kwa stages na sisi Africa bado tunahitaji basic jobs ie ..teachers , docs ,engineers , lawyers ..

Lakini its a good time vikafanyika kwa mpigo

Pili africa haitilii maanani sector kama Agriculture .
Screenshot_20220409-074223_Google.jpg
 
ok. nakuru is larger. thts in terms of built-up area and population.. but still parliament consider kisumu the 3rd largest. sawa.....

pia vile tz, arusha is the 2nd largest, but mwanza is considered the 2nd city by constitution... nadhani tunaelewana
Not true in case of Tz,
Mwanza is bigger than Arusha in terms of population and build up area.
 
Point yako nzuri Tony..Tatizo la Ajira ni kubwa nchi nying Africa...hata Tz ..na hii inatokana na oudated style of teaching...we still teach things which are not so applicable..in our schools..

Imefika wakati sasa..tuwe na courses ambazo ni employable

Mfano..Digital skills
.....Market Analysis
.Software develeopment
.Media Content Creation
.Coding

Pia still most goverments hazijatilia maanani sector ya Entertainment industry...

At least nimeona Tanzania tumeongeza speed tunataka kuanza kujenga Sports Academies Mashuleni, Na ku develop Arena mbili tatu....but still we need better schools for Acting and production.

Mfano..movies, music na sports vimeajili wamarekani wengi na vinawapatia hela ya kutosha

I know kuna a point kwamba development goes kwa stages na sisi Africa bado tunahitaji basic jobs ie ..teachers , docs ,engineers , lawyers ..

Lakini its a good time vikafanyika kwa mpigo

Pili africa haitilii maanani sector kama Agriculture .View attachment 2181180
Hili ni wazo nzuri sana. Serikali na universities zetu zinastahili kufocuss kwa hizi careers mpya zinazochipuza ikiwemo hizo ulizotaja ikiwemo sports, acting, animation, coding, artificial intelligence, data science na kadhalika.
 
Kisumu ni largest city?
nimesema one of the major cities..
sijasema the largest..

kenye kinacho kufanya uone kisumu ni ndogo sijui ni mazingaumwe gani.. aliyekuroga kwisha kufa ana alizika irizi ndani ya bahari..

the greater ksm
Screenshot_20220409-054921_Gallery.jpg
2459937_IMG_20200718_141437 (2).jpg
33080079648_ee3d6eee9d_h.jpg
 
Nmekuelewa mzee ..
Dual citizenship ina faida kubwa sana kwa Tanzania. Usisikilize watu wajinga wanaokudanganya. Kenya ilijipatia katiba mpya mwaka wa 2010. Kabla ya hapo tulikuwa na katiba nzee ambayo haikuruhusu dual citizenship. Sasa Wakenya waliokwenda Marekani na Britain kusoma na kuishi huko na kupata skills muhimu walipoamua kuchukua citizenship ya US na kubaki na uraia wa Kenya, katiba ya Kenya ilikataa hilo na kuwalazimisha kuchagua kati ya uraia wa Marekani na uraia wa Kenya. Sasa ni nani kichwa chake kibovu atachagua uraia wa Kenya ilhali ameishi Marekani kwa miaka ishirini? Sasa kwa sababu ya katiba mbovu ya Kenya Wakenya wengi walilazimika kuchagua uraia wa Marekani na kususia uraia wa Kenya. Ikabidi wararue passport zao za Kenya na kubaki na passport ya Marekani. Sasa wanapokuja Kenya kutembelea familia zao wanakuja kama raia wa marekani. Unaona kama hilo ni sawa kweli? Wakenya wenyewe walikuwa wanalia kwamba hawakuwa wanataka kususia uraia wa Kenya ila katiba ya Kenya iliwalazimu kufanya hivyo. Sasa katiba mpya ya Kenya iliyopitishwa mwaka wa 2010 inawaruhusu hawa Wakenya kurudi na kuchukua uraia wao walioupoteza hapo awali. Sasa Wakenya walioishi marekani kwa zaidi ya miaka ishirini wanarudi nyumbani na kuchukua uraia wao kama akina professor Makau Mutua. Yeye bado ni Mmarekani lakini pia ni Mkenya na ni msemaji mkuu wa campaign za uchaguzi ya Raila Odinga.
 
ok. nakuru is larger. thts in terms of built-up area and population.. but still parliament consider kisumu the 3rd largest. sawa.....

pia vile tz, arusha is the 2nd largest, but mwanza is considered the 2nd city by constitution... nadhani tunaelewana
Dodoma miaka miwili nyuma haikua hata moja kati ya majiji 5 Tanzania ya kudiscuss lakini kwa sasa sioni city yoyote Kenya ukitoa Nairobi ya ku challenge Dodoma, Mombasa haiwezi challenge Dodoma in terms of settlement,

Wakenya kubalini maendeleo ya nchi yenu mmeyaelekeza mno Nairobi kuliko eneo lolote Kenya nzima kitu ambacho sio sustainable kwa maendeleo ya ujumla ya nchi

Njedengwa na Mkonze ni maeneo miaka mi3 nyuma yalikua vichaka lakini saivi ni maeneo bora kabisa na yote wanaishi wananchi wa kipato cha kawaida kabisa wauza nyanya ndio wengi

 
New faces in the Kenya Sevens team at Singapore:

1649481557492.png


And the inexperience shows

1649481609622.png


With a miss between the sticks:

 
Michezo ya kisenge senge kama hii hatuna mpango nayo.

Mko na mpango na mchezo upi?

Nyinyi hamna mpango na Mchezo wowote ule.....

And please don't say football coz TZ is the lowest ranked country in East Africa according to FIFA.
 
Mko na mpango na mchezo upi?

Nyinyi hamna mpango na Mchezo wowote ule.....

And please don't say football coz TZ is the lowest ranked country in East Africa according to FIFA.

We love and play soccer brother. a reason our league is one of the best in the Continent
 
We love and play soccer brother. a reason our league is one of the best in the Continent
Loving is one thing being good at it is another.....TZ is horrible at soccer the whole world knows that
 
Back
Top Bottom