Halafu una tabia mbaya ya kupuuza facts unayopewa. Sasa unasema kwamba ikiwa wataalam wangebaki Kenya wangefaidi Kenya zaidi kushinda kama wangeenda kufanya kazi ulaya na kutuma pesa nyumbani. Nimeandika hapo juu kwamba Kenya ina walimu 30,000 ambao wapo fully trained na hawana ajira hapa Kenya. Sasa sijui kwa nini umepuuza hilo jambo. Hapa sio jamvi la kupiga kusoga bila kushirikisha ubongo.
Ndio hii hapa kauli ya Teachers Service Commision inayosema kwamba walimu 30,000 wamefuzu ila hawana ajira. Usiwe unakimbia kuongea jambo usilolifahamu. Wewe ndio unajidhalilisha. Kwa hivyo ni kheri wabaki Kenya wakufe njaa kushinda wao kufanya kazi ughaibuni na kutuma pesa nyumbani? Sijui hata napoteza muda na wewe kwa nini.
State hires 5,000 tutors yearly when thousands graduate from colleges annually
www.the-star.co.ke