Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Turudi studio 😅😅😅

View attachment 2181289
Tz no. 179 out of 191 countries
Screenshot_20220409-101728.png
Screenshot_20220409-101618_1.jpg
 
Hii ndiyo bandari inayo receive gari nyingi kuliko bandari yoyote East and Central Africa, R.I.P JPM, SIMBA WA YUDA.
Chunguza kwanza, yaani hamjijui, wacha nikucheke tu, ni weekend😂😂😂😂😂🤣🤣
 
Dodoma miaka miwili nyuma haikua hata moja kati ya majiji 5 Tanzania ya kudiscuss lakini kwa sasa sioni city yoyote Kenya ukitoa Nairobi ya ku challenge Dodoma, Mombasa haiwezi challenge Dodoma in terms of settlement,

Wakenya kubalini maendeleo ya nchi yenu mmeyaelekeza mno Nairobi kuliko eneo lolote Kenya nzima kitu ambacho sio sustainable kwa maendeleo ya ujumla ya nchi

Njedengwa na Mkonze ni maeneo miaka mi3 nyuma yalikua vichaka lakini saivi ni maeneo bora kabisa na yote wanaishi wananchi wa kipato cha kawaida kabisa wauza nyanya ndio wengi
View attachment 2181201
View attachment 2181204
Nje ya Dar nothing can be compared to the 5th town ya Kenya on average, hiyo nimefanya utafiti nemeona, ata google earth itakupa majibu mwafaka, Mwanza ya pili ndio hovyo sasa hii kijiji inaitwa Dodoma itaweza?., hizi kelele ata vi town vidogo vidogo hapa Kenya has residentials far better zinaweza toa dar kamasi., mnajitekenyaga tu.., clueless Tanzanians, yaani aka ka estate ka kwanza ka maana in Tz nje ya dar inakupea kiwewe😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣
 
Na lazima SGR itapata mzgo tu kwa namna hii...

Nngekuwa TPA nngefikiria kujenga Berth nyingne ya Roro ..anyways statistics zinaonesha toka hii roro berth mpya imefunguliwa Meli za Magari zimezidi kuongezeka
Tunaendelea na upanuzi wa bandari Ziwa Tanganyika na mzigo umeanza kuongezeka 👇

Screenshot_20220409-101419.png


Screenshot_20220409-101531.png
 
Wanasema katika hizi siku 5 gari 8000 zimeshuka na bado kuna meli mbili zipo on queue zote zinaoffload 4000 cars yote hii ni scope ya siku 10 tu wakati kabla ya ro-ro berth mwezi mzima walikua wanaoffload gari 10k tu

Nyingi kati ya behewa TRC wameagiza ni za kubeba gari

View attachment 2181258
Magari yanayo baki Tanzania ni 1105 pekee.., kelelee mingi na mnanunua gari chache.., na sio mara ya kwanza, kuna siku pia a ship docked na magari mia saba pekee yalibaki Tanzania, mengine yote was on transit, ukitaka evidence sema🤣🤣😂😂😅.., soma hizi taarifa vizuri.., 😂😂😂🤣🤣😅 so it will only benefit your sgr ku transport them., wengine mtabaki pale vijiweni kwa zile nyumba zenu za ovyo mkiota ndoto ya kumiliki gari..., dreams are valid, don't give up.

  1. The Citizen
  2. News
  3. National

‘Frontier Ace’ docks at Dar Port carrying 4,041 vehicles​



FRIDAY APRIL 08 2022​

Meli pic

Summary

  • Frontier Ace a vehicles carrier that was built in 2000 and is sailing under the flag of Panama with a carrying capacity of 17693t DWT and her len
ADVERTISEMENT

The citizen pic

By The Citizen Reporter
More by this Author

Dar es Salaam. Tanzania’s principal port of Dar es Salaam has on Friday, April 8 received cargo vessel Frontier Ace carrying 4,041 vehicles becoming the first consignment of its kind.
The ship according to details has arrived at Dar Port from Singapore after a journey of 10 days.
Frontier Ace a vehicles carrier that was built in 2000 and is sailing under the flag of Panama with a carrying capacity of 17693t DWT and her length overall is 189.45 meters and her width is 32.2 meters.
Of the vehicles on board 1105 are set to remain in Tanzania whereas 2,936 are on Transit to other neighboring countries such as DRC, Uganda, Zambia, Zimbabwe, Malawi and South Sudan.
Speaking at the port Minister of Works Prof Makame Mbarawa, called on TPA to improve their efficiency in offloading goods.
In August 2021, the port made history when it received the first vehicle carrier Tranquil Ace which was 199.95 metres long with a width of 32.2 metres.
The ship was carrying 3,743 vehicles, of which 2,945 vehicles (65 percent) were in transit to other countries and the remaining 798 vehicles were for Tanzania.
 
Nje ya Dar nothing can be compared to the 5th town ya Kenya on average, hiyo nimefanya utafiti nemeona, ata google earth itakupa majibu mwafaka, Mwanza ya pili ndio hovyo sasa hii kijiji inaitwa Dodoma itaweza?., hizi kelele ata vi town vidogo vidogo hapa Kenya has residentials far better zinaweza toa dar kamasi., mnajitekenyaga tu.., clueless Tanzanians, yaani aka ka estate kwa kwanzan ka maana in Tz nje ya dar inakupea kiwewe
Mbona kama Google earth inakukataa hv

Arusha vs Kisumu #Zingatia hzo km²
Screenshot_20220409-111024.jpg
Screenshot_20220409-110457.jpg


Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_20220409-110457.jpg
    Screenshot_20220409-110457.jpg
    59.6 KB · Views: 15
Point yako nzuri Tony..Tatizo la Ajira ni kubwa nchi nying Africa...hata Tz ..na hii inatokana na oudated style of teaching...we still teach things which are not so applicable..in our schools..

Imefika wakati sasa..tuwe na courses ambazo ni employable

Mfano..Digital skills
.....Market Analysis
.Software develeopment
.Media Content Creation
.Coding

Pia still most goverments hazijatilia maanani sector ya Entertainment industry...

At least nimeona Tanzania tumeongeza speed tunataka kuanza kujenga Sports Academies Mashuleni, Na ku develop Arena mbili tatu....but still we need better schools for Acting and production.

Mfano..movies, music na sports vimeajili wamarekani wengi na vinawapatia hela ya kutosha

I know kuna a point kwamba development goes kwa stages na sisi Africa bado tunahitaji basic jobs ie ..teachers , docs ,engineers , lawyers ..

Lakini its a good time vikafanyika kwa mpigo

Pili africa haitilii maanani sector kama Agriculture .View attachment 2181180
Mkuu, usimkubalie Tony254 kirahisi rahisi ili kumridhisha, Kuna kila dalili kwamba hajui analolisema, au anajitetea kuficha udhaifu wa nchi yake.

Mkuu, Moja ya tatizo kubwa Sana linaloikabili Africa ni kukosekana wataalamu na wasomi wabobezi, sababu kubwa zinazosababisha Hilo tatizo ni
1)Uzalishaji mdogo wa wataalamu
2)Wasomi na wataalamu kutoroka na kufanya kazi Ulaya na Marekani(brain drain)

Nchi za Ulaya na Marekani ziliamua kwa pamoja kusaidia kuwasomesha wataalamu kwa kutoa "scholarships" kwenda kusoma katika nchi zao, lakini wameweka masharti kwamba, kila atakayepewa hiyo "scholarship" lazima arudi na kufanya kazi nchini kwake alikotoka.

Ni jambo la kushangaza kusikia muafrika anayesema kwamba, eti nchi za Afrika zipo na wasomi/wataalamu wengi zaidi kiasi cha kuwaachia kwenda kufanyakazi Ulaya na Amerika.

Mfano mzuri Kuna "article" Moja niliisoma ilisema kwamba, Idadi ya "Neurosurgeons kutoka Afrika waliopo UK, ni kubwa kuliko Neurosurgeons wote waliobaki Afrika

Hao waalimu na nurses hapo Kenya na Africa ambao hawajapata ajira, ni kwasababu ya upuuzi wa nchi za Africa(Africa produces what it doesn't consume, and consumes what it doesn't produce).

Muulize Tony254 akujibu, ni wataalamu gani wanaotoroka Kenya kwa wingi?, Utagundua kwamba ni Doctors, Engineers, Pilots, IT specialists, na zile hot areas of specialization, hapo Kenya bado wanawahitaji dearly.

Ni kichekesho kusikia mkenya akishabikia wataalamu wao kwenda kufanyakazi nje ilihali Kenya iliomba Cuba iwasaidie madaktari kuja kuziba pengo la uhaba wa madaktari nchini Kenya. Muulize Tony254 Kama Kenya Kuna tatizo la"brain drain au hakuna?"
 
Dual citizenship ina faida kubwa sana kwa Tanzania. Usisikilize watu wajinga wanaokudanganya. Kenya ilijipatia katiba mpya mwaka wa 2010. Kabla ya hapo tulikuwa na katiba nzee ambayo haikuruhusu dual citizenship. Sasa Wakenya waliokwenda Marekani na Britain kusoma na kuishi huko na kupata skills muhimu walipoamua kuchukua citizenship ya US na kubaki na uraia wa Kenya, katiba ya Kenya ilikataa hilo na kuwalazimisha kuchagua kati ya uraia wa Marekani na uraia wa Kenya. Sasa ni nani kichwa chake kibovu atachagua uraia wa Kenya ilhali ameishi Marekani kwa miaka ishirini? Sasa kwa sababu ya katiba mbovu ya Kenya Wakenya wengi walilazimika kuchagua uraia wa Marekani na kususia uraia wa Kenya. Ikabidi wararue passport zao za Kenya na kubaki na passport ya Marekani. Sasa wanapokuja Kenya kutembelea familia zao wanakuja kama raia wa marekani. Unaona kama hilo ni sawa kweli? Wakenya wenyewe walikuwa wanalia kwamba hawakuwa wanataka kususia uraia wa Kenya ila katiba ya Kenya iliwalazimu kufanya hivyo. Sasa katiba mpya ya Kenya iliyopitishwa mwaka wa 2010 inawaruhusu hawa Wakenya kurudi na kuchukua uraia wao walioupoteza hapo awali. Sasa Wakenya walioishi marekani kwa zaidi ya miaka ishirini wanarudi nyumbani na kuchukua uraia wao kama akina professor Makau Mutua. Yeye bado ni Mmarekani lakini pia ni Mkenya na ni msemaji mkuu wa campaign za uchaguzi ya Raila Odinga.
Kawaida ninyi wakenya hamna akili na mara nyingi tunawaambia mtuige sisi watanzania, ila baadhi ya viongozi wenu wameanza kupata akili na kuiga Tanzania katika maaumuzi yenu UN

Wewe unapaswa kueleza faida ambazo Kama nchi itapata vs hasara. Sasa wewe unazungumzia wakenya wachache walioko nje ya nchi kurudi na kupewa uraia.

Kama kweli wewe unajielewa, weka faida za "dual citizenship" na Mimi nikuwekee hasara zake kwa nchi na wananchi walio wengi Kama utachomoka
 
Kwanza, hio ship imebeba 4000 cars haimaanishi zote ziko destined Dar

plus really, Kenya still imoports more than double the number of cars imported in TZ per annum
Ninyi mpo na matatizo ya kutokubaliana na ukweli kwamba, Tanzania now is unstoppable", muda sio mrefu mtakubaliana na huo ukweli, "we understand what you are going through"
 
Back
Top Bottom