Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mimi naongea jambo ambalo waziri wenu mwenyewe ananukuliwa akiliongea mbele ya bunge lenu. Sasa kati ya Waziri wenu na wewe nimuamini nani? Afadhali niamini waziri wenu.
Atakuambia huyo ni fake Mp
 
Jengeni barabara bana
JamiiForums1493289614.jpg
 
View attachment 2180015
Tells the story of a country that is not blessed with natural resources....Education remains the only way out. Everyone is on his own. The only thing the government can do is make sure you gain some skills to help yourself. If you don't, you simply perish
"Kweli everyone is on his own" ndio maana mko disorganized hamna priorities when it comes to development. Leaders on their own citizens on their own also. Hata maghorofa mnayojenga kila engineer on his own na vipimo vyake ndio maana yanaanguka kila uchao.
 
Tulijichanganya kuwapa madalali Tea estate mashamba yetu yamekua Ovyo kabisa.Kuna Tea estate ya Luponde Tea estate ilikua super lakini wakampa dalali mkenya anafanya kazi ya kukata miti ya asili na kuuza mbao wakati tulimpa awekeze kwenye chai.Moja ya vitu serikali ya JPM nailaumu ni kuruhusu ile biashara

View attachment 2180109

View attachment 2180110

View attachment 2180111

View attachment 2180112
Hiyo ni mali yake na anaruhusiwa kukata miti na kupanda anachotaka yeye. Hajavunja sheria yoyote. Halafu amenunua hio tea estate kwa pesa ndeeeefu. Yaani Tzshs 133 sio pesa kidogo. Wacha akate miti hio ni mali yake.
 
Back
Top Bottom