Tony254, wacha kujidhalilisha, "remmitances" sio capital flow kwenye nchi, sehemu kubwa ya remittance zinatumika kununua bidhaa na huduma kuliko kuwekeza katika uzalishaji, kwa uhalisia "remittance zinasababisha *inflation" katika nchi kwasababu kiwango cha pesa kinachoingia nchini hakirokani na uzalishaji wa huduma na bidhaa nchini, pesa lazima ilingane na uzalishaji.
Hiyo jamaa amekuelewesha vizuri na kisomi Sana, Wala hajadharau remittances", lakini Kama kawaida yenu ya kupenda kujitetea Kama nlivyojitete wakati wa kupiga kura kuunga mkono vikwazo dhidi ya Ukraine na kuzikaahifu nchi zilizoamua kutokupiga kura, na baadae mnatetea harua yenu ya Jana ya kutokupiga kura dhidi ya Urusi
Kubali ukweli kwamba, remittances za Kenya zinatokana na kuuza "wataalanu" ambao Kama wangebaki Kenya wangesaidia zaidi Kenya kuliko hiyo $3B, serikali yenu inawekeza pesa nyingi katika Elimu ili kupata wataalanu wazuri, matokeo yake wale wakenya walioelimika vizuri wanaenda nje, wanaobaki ni pumba tupu, maghorofa yanaporomoka kila siku