chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,688
- 45,951
Pesa ipo tayari, ujenzi unaanza time yoyote
Pesa ipo tayari, ujenzi unaanza time yoyote
Zaidi ya Tones million 3 za DRC zinapita kwenye ports zetu currently
We sell more to you than you sell to us[emoji23][emoji23][emoji23]But we sell more to them than what Tz sell to them[emoji1787][emoji1787][emoji23]
But your exports to DRC is only $14M, while Tanzania exports to DRC is $74M, isn't?[emoji23][emoji23][emoji23]Soma hiyo screenshot utajua ni nini tunauza huko. Ama unadhani tunauza nyasi huko venye mnafanya?
View attachment 2177125
Why do you use different sources to compare the same thing?, Hivyo ndivyo ulivyofundishwa shuleni kwenu?Pole ndugu, the truth lies here[emoji116][emoji116][emoji23][emoji23]
View attachment 2177127
View attachment 2177128
Sasa kwa akili yako unaamini hizo reports?, Lazima ziwe zinatokea katika "sources" tofauti, biashara Kati ya Tanzania na DRC inazidi kuongezeka kila mwaka, labda Corona iwe ndio sababu.Wewe huoni your export to DRC is reducing at an alarming rate?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] In 2018 Tz exported $312M to DRC but in 2020 Tz only exported $74M[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2177106
Pato la taifa lilishuka mkuu kwanza mi naona muhimu sio hizo mambo muhimu ni quality ya maisha ya wananchi.Kuna nchi zina GDP ndogo kuliko sisi lakini zinauwezo wa kuipa msaada nchi yetu kutokana Percapita income kuwa kubwa.Imagine Nigeria yenye GDP ya 400+ plus lakini haina uwezo wa kutoa msaada hata kwa burundi au Sierra Leone kwa kua serikali haina huo uwezo labda ikaombe kwa matajiri.Anyway pato la taifa lilipungua kwa kutizama per capital ya 1050 sijui inategemea GDP basi ni uwazi unaweza kupanda na kushukaKama kwenye utalii tulidouble, madini tumeuza sana,miradi ya uwekezeji kila ziara inatangazwa, TRA wamekusanya sana zaidi ya 2020, miradi mikubwa mikubwa ya kimkakati inaendelezwa, budget ya ujenzi hasa uchukuzi imeongezwa zaidi sana tu
Kilimo tunafanya vizuri sana .Sasa najiuliza iweje tena kwamba tumeshuka kiuchumi??
Mimi siyo mchumi ninawaza kama mwananchi wa kawaida ambaye ni mkulima huku kijijini kwetu.Wataalamu naomba mnisaidie hapa.
Kuwaza kwangu nahisi labda uko mbeleni ije isemekane kwamba tuliingia uchumi wa kati lakini tukashuka ghafla kwasababu kuna kiongozi mmoja aliua uchumi wetu, lakini sasa kwa juhudi za uongozi huu tumeupandisha uchumi na kurudi tena mahali tulipokuwa.
Kama nimewaza kwa ujinga mwenye elimu katika hili ninaomba anieleweshe, nimewaza kwa wema tu.
Jibu swali kijana, who started University of Dar is slum if not Brits?
pamoja na filter ila uchafu uko pale pale😂😂😂😂😂😂 huu udongo ndio munaita concrete jungleconcrete jungle ndo hio taira 👇🏼👇🏼
uswahilin....View attachment 2176943View attachment 2176939View attachment 2176930View attachment 2176928
Hebu leta tuione! halafu compare...Hii si ni size ya hile Machakos?
unaona filter wapi wee ngederepamoja na filter ila uchafu uko pale pale😂😂😂😂😂😂
hii vita russia alivisuka miaka 4 bila nato kua nataarifa na sasa wanatapatapa hata hawajui vikwazo gani waeke badala yake vinawatandika wao wenyewe sasa hvi nato itavurugika 🤣🤣🤣 wataanza kuonana wao kwa wao wabayamambo yanavyoendelea huko dunia.. kuhusu hii vita RussiaVsUkraine.. Russia ni bingwa.. kajipanga kila eneo.. sidhan kama imemuadhiri kama wengine dunian walivyoathiriwa
huna macho?? kwan ww ni kilaza 😂😂😂unaona filter wapi wee ngedere
Weka úshahidi Kama huuPlease mention at least three Kenyans who have gone to Tanzania for treatment Andi will mention million tanzanians coming to Kenya daily to look for better treatment [emoji1787][emoji23]
Ahsante mkuu ninaendelea kupata kitu maana mimi siyo mtaalam wa mambo ya uchumi kama nilivyosema hapo awali.Pato la taifa lilishuka mkuu kwanza mi naona muhimu sio hizo mambo muhimu ni quality ya maisha ya wananchi.Kuna nchi zina GDP ndogo kuliko sisi lakini zinauwezo wa kuipa msaada nchi yetu kutokana Percapita income kuwa kubwa.Imagine Nigeria yenye GDP ya 400+ plus lakini haina uwezo wa kutoa msaada hata kwa burundi au Sierra Leone kwa kua serikali haina huo uwezo labda ikaombe kwa matajiri.Anyway pato la taifa lilipungua kwa kutizama per capital ya 1050 sijui inategemea GDP basi ni uwazi unaweza kupanda na kushuka
Hebu leta tuione! halafu compare...