Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pato la taifa lilishuka mkuu kwanza mi naona muhimu sio hizo mambo muhimu ni quality ya maisha ya wananchi.Kuna nchi zina GDP ndogo kuliko sisi lakini zinauwezo wa kuipa msaada nchi yetu kutokana Percapita income kuwa kubwa.Imagine Nigeria yenye GDP ya 400+ plus lakini haina uwezo wa kutoa msaada hata kwa burundi au Sierra Leone kwa kua serikali haina huo uwezo labda ikaombe kwa matajiri.Anyway pato la taifa lilipungua kwa kutizama per capital ya 1050 sijui inategemea GDP basi ni uwazi unaweza kupanda na kushuka
kwa hiyi ilishuka kwetu tu

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
huyo chizi ,kashazoea kujifurahisha

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Kweli nyinyi wote ni wajinga, ama unareply tu for the sake of replying? Please show the 3M tonnes that baboon is talking about.[emoji116][emoji116]



JamiiForums-1689688978.jpg
 
I'm waiting for you to list three then I mention for the million tanzanians running to Kenya for treatment.
Hii utakubali lini we chizi.? Mpo nyuma yetu likija suala la Afya.. hata uluie, huwezi badilisha huo ukweli manzee
 
Tz ndiyo the most urbanized country in the region utake usitake, weka hapa miji yako 10 iliyoendelea na mm niweke 10 alafu tuone kama utatoboa.
heb toa angalau skyline ka hii ya jiji lenu la tano(nadhan dodoma, mbeya ama iringa) tuone atleast ka tuko levels..

eldoret, kenya's 5th largest city
Screenshot_20220227-043834_Gallery.jpg
Screenshot_20220405-231035_Gallery.jpg
Screenshot_20220226-202816_Gallery.jpg
 
Ikulu haina kazi????
Kazi Gani? Eti makazi ya rais ilhali Afrika watoto wa Marais wanaishi Marekani ama Ulaya - Rais wenyewe wana majumba yao wanayoishi. Alafu majumba yenyewe makubwa hayatumiki. Hapa Kenya Kuna state house Mombasa, Nairobi, Nakuru na state lodges, Kisumu, Kakamega, Sagana, Eldoret, Rumuruti, Kisii na Chereng'any. Marais humaliza term zao kama hawajakanyaga most of hizo residences. Hapa Kenya hakuna Rais ambaye aliishi state house. The main use of state house ni kukaribisha na kuhost foreign visiting heads of state. Kama Samia alipokuja Kenya, aliamkuliwa State House ya Nairobi. Yet hizi state houses na lodges zote zinatumia pesa nyingi kumaintain. This is the same thing in Tanzania and other countries. Kuna haja gani ya kujenga state house nyingine na zile ambazi zipo hazina kazi?
 
Back
Top Bottom