Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pato la taifa lilishuka mkuu kwanza mi naona muhimu sio hizo mambo muhimu ni quality ya maisha ya wananchi.Kuna nchi zina GDP ndogo kuliko sisi lakini zinauwezo wa kuipa msaada nchi yetu kutokana Percapita income kuwa kubwa.Imagine Nigeria yenye GDP ya 400+ plus lakini haina uwezo wa kutoa msaada hata kwa burundi au Sierra Leone kwa kua serikali haina huo uwezo labda ikaombe kwa matajiri.Anyway pato la taifa lilipungua kwa kutizama per capital ya 1050 sijui inategemea GDP basi ni uwazi unaweza kupanda na kushuka
Kumbe ndio maana sisi tuna maisha mazuri kuliko majirani fulani wanaotamba na GDP yao ya mchongo. Nilikuwa ninajiuliza maswali mengi sana mbona hawa wanasema wana GDP kubwa lakini ukiangalia maisha yao asilimia kubwa wananchi wao wanaishi maisha duni sana tofauti na siye.
Njaa inaikumba nchi mpka vifo vinatokea. Wanapokea msaada wa chakula tena kwa nchi zenye jangwa. Sasa nimeelewa. (Sijaitaja nchi yenyewe lakini).

GDP kubwa kama hairelfect kwenye maisha ya mwananchi wa chini kumbe ni upuuzi mtupu halina maana, ni sawa na mtu uvae suti halafu utembee kwa mikogo barabarani kumbe hujala njaa ndio inakukula halafu useme nimependeza. Wakati huo huo kuna mtu kavaa kawaida lakini amekula milo yote 3 kwa usahihi.

Sychelles ni nchi ambayo haipo kwenye GDP kubwa lakini watu wake wanaishi vizuri nadhani hapa mkuu nitakuwa nimetoa mfano mzuri.

Kama ndio hivyo basi li GDP halifai tena kutumika kwenye hii battle. Sisi tunakula chakula mpaka tunasaza halafu wengine vyenye wanakukufa na njaa halafu wanasema eti wako juu yetu. Ahsanteni kwa kunifungua macho kwa hili. Yaani hadi nimewaonea huruma (sijawataja lakini)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
wazungu walipoona jamaa anaenez ukweli na ukatili ukraine wameamua kumfungia 🤣🤣
B84AD3A7-DA78-460E-AAD6-00BB351D132C.png
 
Sasa kwa akili yako unaamini hizo reports?, Lazima ziwe zinatokea katika "sources" tofauti, biashara Kati ya Tanzania na DRC inazidi kuongezeka kila mwaka, labda Corona iwe ndio sababu.
Ebu leta hiyo report yenye unaamini[emoji23][emoji23][emoji23]
 
mambo yanavyoendelea huko dunia.. kuhusu hii vita RussiaVsUkraine.. Russia ni bingwa.. kajipanga kila eneo.. sidhan kama imemuadhiri kama wengine dunian walivyoathiriwa
jamaa yupo full,vyote vinavyofanyika kuhusu vikwazo alishajua kuwa vitatokea kilichonisikitisha na kuyadharau haya mataifa makubwa wakina USA na vikanjanja wenzake yaani wamepiga mahesabu ya kitoto sana pamoja yakuwa na intelgensia kubwa ya kijasusi yaani walishindwa kabisa kujiuliza kuwa Russia kwanini imeamua kuivamia ukraine,

in reality USA na vinyago wenzake wamefeli pakubwa Puttin alikuwa ndani ya vichwa vyao ila wao wameshindwa kukielewa kichwa cha Russia wao wanategemea ushirika na kulazimisha mambo kwa kupitia ushawishi kwa nguvu matokeo yake ndiyo haya

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom