Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ngoja niendelee kujifunza maana kila mtu amebobea katika eneo lake, nilidhani labda mama anadanganywa ili kuja kumuhujumu baadaye. Hivi WB,IMF nao wameshasema kitu mkuu.?
Wala hadanganywi ila shida yake kubwa anashindwa kujua kipi cha kukitoa hadharani na kipi cha kukaa kimya.

Hapa anaongea cencerely na akijua anaongea kwa Nia njema lakini hajui kwamba yuko kwenye Nchi ya wajinga na pia kwa maadui zake wa kisiasa watatumia kauli zake kumbomoa na kuwapa shida watetezi wake.

Kauli hii ya Leo na ile ya kusema vitu vyote vitapanda anaongea kwa Nia njema ila tafsiri za watu sasa ni shida,the same to kauli ya kujipimia,ni kauli nzuri kwamba watu wawe na kiasi lakini wapinzani wake walivyokuja kuitafsiri ni vingine kabisaa.

So lazima uwasome watu ulio nao na uwe selective kwa cha kuongea..

Mwendazake aliwahi mtukana na kumdharirisha hadharani injinia baada ya kusema hatukupokea fedha za barabara 🤣🤣🤣
 
Hehehe 1% of your is now at work[emoji23][emoji23][emoji1787].

How is $1.2 fuel price in Kenya is three times $1.09 fuel price in Tanzania? Who bewitched you people?[emoji23][emoji23]
Turkana mafuta ni 3.6$ 🤣
 
Kama hamna magari ya kutumia fuel mtasaidiwa aje? Si heri tuwasaidie kuzimaliza.
Tukutane 2030 kwenye mjadala wa magari 🤣🤣🤣🤣


Screenshot_20220117-134516.png
 
.
inaumaa ee😂😂😂😂😂 sema mtazoea tu si mkubali tuu kanairo bado sana kwa dar (ujenzi)
wewe pumpum ona...... hivi kwa hiyo nchi yote kubwa ya tz 970,000km²..... (No. 5 in africa). ni hili sehemu la posta pekee (1.5×1.5km) pekee.! ilio develop, kwingine kote ni tuu

93209493.jpg
 
Maybe a few wenye wamefanya biashara kubwa or have done economics proper or commerce, sio hizi za Universities uchwara hapa East Africa where u find a lecturer giving a pamphlet to students without teaching, idiots cram and pass exams without proper knowledge, no exposure to contemporary trends as far as economics/commerce is concerned, nor relevant hands-on experience alafu mtu ana ringa eti ako na degree ya economics/commerce., #Clueless Tanzanians[emoji23][emoji23][emoji28]
Most of the Tanzanians active in this thread are just ignorant about everything.
 
Kuanzisha ligi ta the highest office in the land ni upuuzi ila ya fire engine sio upuuzi!!! Sometimes i fail to understand how these Kenyans think.
Presidential residential place has no effect on the common mwananchi while fire stations and engines has big effects to all the citizens be it rich or poor.
 
Ajiuzulu tuu,Kanda ya Ziwa inaongoza kwa sumu za kutoka kwenye migodi ndio maana huko Kanda haziwaishi..

Hapo serikali inakwepa tuu kusema ukweli.Mwisho wao watafute independent organ ifanye uchunguzi maana maprofesa wa Tzn ndio kama wala wa Barrick wa Magufuli,yule professor wa jalalani former foreign minister na upuuzi mwingine waliokuwa wanaufanya kama kwenda Madagascar kuleta nyungu na eti kuweka kibanda cha nyungu mhimbili hospital [emoji1][emoji1][emoji1]
haueleweki mzee bado unaongea pumba,

hebu rudia tena mi nitafanya kazi ya kukupa like tu

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Wala hadanganywi ila shida yake kubwa anashindwa kujua kipi cha kukitoa hadharani na kipi cha kukaa kimya.

Hapa anaongea cencerely na akijua anaongea kwa Nia njema lakini hajui kwamba yuko kwenye Nchi ya wajinga na pia kwa maadui zake wa kisiasa watatumia kauli zake kumbomoa na kuwapa shida watetezi wake.

Kauli hii ya Leo na ile ya kusema vitu vyote vitapanda anaongea kwa Nia njema ila tafsiri za watu sasa ni shida,the same to kauli ya kujipimia,ni kauli nzuri kwamba watu wawe na kiasi lakini wapinzani wake walivyokuja kuitafsiri ni vingine kabisaa.

So lazima uwasome watu ulio nao na uwe selective kwa cha kuongea..

Mwendazake aliwahi mtukana na kumdharirisha hadharani injinia baada ya kusema hatukupokea fedha za barabara [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ahsante kwa maelezo yako.
Nimependa tulivyoongea hivi, hii inajenga sana.Anahitaji kweli kuchunga kauli zake kwa kuwa bado ni mapema awe anasoma hotuba anayoandaliwa mpaka hapo atakapousoma mchezo mzima.
 
ha haaa Geza umenifurahisha sana,msukuma akikusikia atakuchapa makofi mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

inshot bunge limeshaikataa report

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Kwa kawaida tu magugu maji hayawezi kuua samaki kwasababu hayazuii samaki kukosa hewa. Ziwa Victoria lina magugu maji kibao samaki wangeshakufa wengi na hata kuisha kabisa. Mafuta ndio chanzo cha samaki kufa, watafute chanzo chake na kama ni kumlinda mwekezaji itafutwe namna ya kumsemea, kwani hakuna kifungu cha adhabu ya fine au yoyote yule anapokosea? Hapa kuna shida!!
 
yenyu ya mwingereza ipo wapi? ndo maana miaka 60 ya Uhuru bado Ikulu nyumba ya Mwingereza! hata Bunge bado la Mwingereza!
Mpaka leo wameshindwa kujenga ikulu, yani miaka zaidi ya 60 serikali yao iko wazi kabisa mkoloni anajua kila kitu cha Rais na siri zao zote, Rais wa Kenya bado anaishi kwenye choo cha mkoloni, ni ujinga wa hali ya juu miaka 60 ya uhuru hawawezi kujenga nyumba ya Rais, aibu sana aiseee.
 
Do not demonize fuel dealers it is high time now the truth be told the GOK is broke and failed to pay fuel sibsidy dues to the fuel firms.
Now tune imechange from GOK haina pesa ya kuigiza mafuta to GOK can't pay fuel subsidies to fuel firm? Please choose one ground where you are going to stand firm and resist any sways by the wind, kazi yako ni kubadilika badilika kama kinyonga[emoji23][emoji23]
 
Mpaka leo wameshindwa kujenga ikulu, yani miaka zaidi ya 60 serikali yao iko wazi kabisa mkoloni anajua kila kitu cha Rais na siri zao zote, Rais wa Kenya bado anaishi kwenye choo cha mkoloni, ni ujinga wa hali ya juu miaka 60 ya uhuru hawawezi kujenga nyumba ya Rais, aibu sana aiseee.
Mambo ya kujenga ikulu tuliachia county governments, try to imagine your main government is competing with our county governments kujenga ikulu[emoji1787][emoji1787][emoji23]
 
Back
Top Bottom