Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Sukuma gang na Chadomo watakwambia vitu vimepanda Bei 🤣🤣🤣.

Kwa mara ya kwanza serikali inakwenda kutekeleza bajeti yake kwa zaidi ya 90%

Wahamie Nchi yeyote ambako Bei za vitu zimeshuka, wengine huwa wanatupostia kabisa humu inflation rates za Nchi mbalimbali.

Twende Kazi TRA👇

1648974173282.jpeg
 
If you want to check how poor/good kenyan roads are, follow this guy's posts.. you'll get your answer..
 
aisee.. kiswahili kidogo ndo imekaribia lugha ya japanese zaidi duniani, hivi majina flani ya kiswahili, iko synonymous na japanese.
majina kama haya:-

-Tutako Takashika.

-Tutoto Takahara.

-Shiro Kawakuro. (Shiro is a girl's name in kenya. and Kuro is 'a prostitute' in kenya)

-Takashika Inamoto.

-Nitahama Nikitaka.

-Nitakuja Nikitaka.....

.
yani japanese huaga inanibamba ile mbaya aisee..
asa kwani we hujui kuwa japaniz na wabongo yaani sisi TZ ni one blood...... one language .... one colour.......ebu muangalie pm majaliwa rangi yake na ya mjapani zinang'aa......na ...sema wao tumewagawia ardhi kule rooftop far east ....
 
nchi ulizozitaja zimeathirika moja kwa moja na vita ya ukraine vs Russia kwa kujiunga na vikwazo vya anga, mafuta, gas, vikwazo vya fedha nk, kunyaland mmehusikaje hapa zaidi ya kucheza ngoma isiyo wahusu?

nchi ulizozitaja zimeathirika moja kwa moja na vita ya ukraine vs Russia kwa kujiunga na vikwazo vya anga, mafuta, gas, vikwazo vya fedha nk, kunyaland mmehusikaje hapa zaidi ya kucheza ngoma isiyo wahusu?
kama haujui kenya ni Nato Member, wazazi wakiwa Uingereza na Marekani
 
yani kila mtu acheze kwa lane yake, sisi ni Nato,tanzania nyinyi na wa Russi, ujamaa kawafanya vile
Tanzania hatufuati wala kutegemea nchi nyingine katika mambo yetu muhimu kama kunyaland. Tanzania tunafuata sera yetu ya taifa ya UJAMAA NA KUJITEGEMEA "NATIONAL SOCIALISM AND SELF RELIANCE" Hii ndiyo maana watanzania hawaombi chakula kwa majirani wala ulaya. poor kenyans
 
Back
Top Bottom