Mbassa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 278
- 165
Hayo maeneo yana mchanga mwingi wa bahari. So hiyo si kuparara ni mchanga wa bahari!Barabara ishaanza kuparara with less than a month![]()
Hayo maeneo yana mchanga mwingi wa bahari. So hiyo si kuparara ni mchanga wa bahari!Barabara ishaanza kuparara with less than a month![]()
Watanzania hawaombi wakati kila mara mnakopa WB and other lending bodies?Tanzania hatufuati wala kutegemea nchi nyingine katika mambo yetu muhimu kama kunyaland. Tanzania tunafuata sera yetu ya taifa ya UJAMAA NA KUJITEGEMEA "NATIONAL SOCIALISM AND SELF RELIANCE" Hii ndiyo maana watanzania hawaombi chakula kwa majirani wala ulaya. poor kenyans
acha upumbavu jiongeze wewe, Tanzania tunakopa fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo, hatuendi ulaya kuomba chakula! ombaomba wa Tanzania katika barabara za kenya? haupo serious, warudisheni nyumbani kama ni watanzania! Ninachofahamu hao ni ombaomba wa kenya. kama unapinga njoo Tanzania bila vibali uuone moto wake. lakini nafurahi mnazidi kuthibitisha mlivyo FAILED STATEWatanzania hawaombi wakati kila mara mnakopa WB and other lending bodies?
Hamuombi wakati ombaomba wenu wamejazaa barabara na mitaa zetu na bakuli mikononi? Listen to yourself
Wewe so wa kwanza wala hautakuwa wa mwisho kuwakanaacha upumbavu jiongeze wewe, Tanzania tunakopa fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo, hatuendi ulaya kuomba chakula! ombaomba wa Tanzania katika barabara za kenya? haupo serious, warudisheni nyumbani kama ni watanzania! Ninachofahamu hao ni ombaomba wa kenya. kama unapinga njoo Tanzania bila vibali uuone moto wake. lakini nafurahi mnazidi kuthibitisha mlivyo FAILED STATE
Sheria za Tanzania haziruhusu ombaomba, wameamua kukimbilia katika nchi inayoruhusu ombaomba na mnawakubali, Sasa kelele za nini?, Mbona majambazi toka Kenya walipojaribu kuja Tanzania tuliwadhibiti hatukupiga kelele?, Your government is very weak, that is a factWewe so wa kwanza wala hautakuwa wa mwisho kuwakana
Nangoja kuwasili treni mpya za umeme! Zinaingia mwezi huu!
Wewe umelewa au ni akili ndogo?, Serikali lazima iwe na uwezo wa kuwaamuru watu wenye mafuta kwenye "storages" zao kuyatoa ili kupunguza upungufu, Sasa Kama kweli mafuta yapo iweje wananchi na uchumi unatatizika?, GoK is very very weak"What's the reason for China? For Kenya, it's purely hoarding of the product by the suppliers/marketers. Our reserves are full as I type this
😂😂😂 Sasa hiki ni nini.? Utalinganisha na nini yani.? Kwa markets kubwa za DSM.? Chagua market yoyote tufanye comparison, uone kama utatoboaTiny buildings in the name of markets. Ulitaka za Gorofa pia tuko nazo, two times taller than the tallest market building in Tz
View attachment 2175081View attachment 2175082
TRA imekusanya $8B, KRS $7 B
Tz inafanya powa sana
ila hizi ngazi dah, si wajaribu na underpasses pia? hazita-discourage watu kuzitumia kweli?Tz inafanya powa sana