Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Tanzania mnazo bungallows tu. Apartment mnazo gani kwa mfano? Weka ka picha tuone.tatizo lako umejifungia hapo kariobangi na kibera. Tanzania ni zaidi ya unachowaza
Tanzania mnazo bungallows tu. Apartment mnazo gani kwa mfano? Weka ka picha tuone.tatizo lako umejifungia hapo kariobangi na kibera. Tanzania ni zaidi ya unachowaza
Why bungalows while Kenyans are starving to deathhttps://youtu.be/a5gq8ukg0t4Tanzania mnazo bungallows tu. Apartment mnazo gani kwa mfano? Weka ka picha tuone.
Tanzania mnazo bungallows tu. Apartment mnazo gani kwa mfano? Weka ka picha tuone.![]()
Kweli kabisa mkuuwakenya siyo, ukitaka kuwa salama ukiwa nje ya nchi kaa mbali na hawa hayawani
Your level of foolishness is beyond explanation 😂😂😂
Yaani hawa viumbe wanachekesha sana, majuu limetumika sana Tanzania miaka ya nyuma wao saivi ndio peak slang ya 21st century 😅😅😅Poa, ila mengine yote Tanroads wamekuwa wakifanya usanifu wenyewe, mfano daraja la Nyerere, Mkapa, Kikwete na hata hizo flyover kama ya Mfugale na kijazi zote ni kazi za Tanroads.
Haha, majuu ni neno lililotumika Tanzania miaka ya 80's - 90's.
Mkenya mgani mwenye kichaa anaenda kusoma hizo nchi za kishambaa communist!!! sijui Russia,poland China!!!Duh! Jamaa una nyundo nzito kwa hawa jamaa, housemaids, nimecheka sana unajua kuwaweka mahala pake hawa jamaa. Nimekuwa nikiwafuatilia nikiwa nje ila nimejifunza kitu kwamba mmeamua kuwasemea watanzania walio wengi ambao hawawezi kuwa jukwaani hapa. Mmetufunza mengi ambayo hatukuwa tukiyajua kuhusu Kenya na Wakenya na yale waliyokuwa wakisema juu ya nchi yetu. Kazi njema sana wazalendo wa nchi yetu (Tanzania).
wewe najua upo us unaliwa kiboga waulize wenzako wakuambie wanavyotaabika kwa kukosa soko la hortucultural products, kukosa ngano na mafuta ya kula na petroli kutoka russia na ukraine, tatizo wakunya ni upumbavu unawasumbua na kujipendekeza kwa westernerMkenya mgani mwenye kichaa anaenda kusoma hizo nchi za kishambaa communist!!! sijui Russia,poland China!!!
Underdeveloped
Kila top cream Kenyan anakimbilia western Europe north America and Australasia
Tukiwaita ninyi hamna akili ni watu wa kuzungumza Mambo ili kujisifu mnasema tunawaonea, zaidi ya wakenya 200 wanasoma Ukraine pekeeMkenya mgani mwenye kichaa anaenda kusoma hizo nchi za kishambaa communist!!! sijui Russia,poland China!!!
Underdeveloped
Kila top cream Kenyan anakimbilia western Europe north America and Australasia
hahhahahahahahahahaha, nyangau bwana, jitu linalala kibera, likijitahidi sana south c hafu linasifia barabara ambayo hapiti na hata akipita analipishwaasante kwa kunionesha mali ya mchina amabayo ataimiliki kwa miaka 30 na hakuna mkenya atapita bila fee kwenda kwa mchina imegine
tuktuk hazitaruhusiwa
baiskeli hazitaruhusiwa
boda boda hazitaruhusiwa
wheelbarrow hazitatuhusiwa
na mkenya mtembea kwa miguu hataruhusiwa
😂😂😂😂 ni mlevi pekee
Hao ni madalali tuu mzee hakuna uchumi hapo na ofisi za international companies wanazosema wao zimefunguliwa through udalali tuu hakuna jipya.wakenya siyo, ukitaka kuwa salama ukiwa nje ya nchi kaa mbali na hawa hayawani
hao madereva waliobambiana sijui nao walikuwa wanaenda wapi ni ajali ya kijinga sana,,ona barabara ilivochakaa ndio thika hiitushukuru filter zinasaidia
ulio nao ni ushamba,tembea ujifunzekabisa Mombasa hadi imekosa tu skycrappers tatu refu tufunge chapter,Dar ipitwe,Mombasa mpaka port yake haishikiki,najiulizaga dar imeipita nini walai![]()
Tulianza na mtoni au mamtoni ikaja majuu ikafuata unyamwezini sasa hivi mbeleYaani hawa viumbe wanachekesha sana, majuu limetumika sana Tanzania miaka ya nyuma wao saivi ndio peak slang ya 21st century
Saivi majuu tunaita 'mbele' japo na lenyewe linaenda kupotea!
Ukiwaambia kiswahili ni mali ya Tanzania hawataki.
kwa ufupi wakenya nao waseme kuwa hawatonunua gas ya russia kama walivyoongea USA na wengine,Kenya haina umuhimu wowote kwa uchumi wa Russia, Sasa hiyo saction watawekaje, ni sawa na ombaomba barabarani kumuwekea vikwazo vya uchumi Dangote![]()
Lorry limeangukaje hapo wakati kuna foleni hivyo?hao madereva waliobambiana sijui nao walikuwa wanaenda wapi ni ajali ya kijinga sana,,
stupid kenya
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
haya oneni huyu sikuhzi nae kawa kilaza😂Mimi huwa naona Watanzania wengi humu wakijipiga vifua kwamba Tanzania inaweza kushindana na Kenya. Huwa nashindwa wamevuta bangi gani? Tangu lini Tanzania ikacheza ligi moja na Kenya. Tanzania itoe wapi apartments kama hizi?
View attachment 2167777
View attachment 2167773View attachment 2167774View attachment 2167775
Cc joto la jiwe Geza Ulole ichoboy01 The best 007 tuusan. Asiyekubali kushindwa sio mshindani.