The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,537
Alafu wanajua mambo mengi ya Tz kuliko sisi.Wanaifuatilia Tanzania 24/7 ila wakiwa humu utasikia hawafuatilii.
Alafu wanajua mambo mengi ya Tz kuliko sisi.Wanaifuatilia Tanzania 24/7 ila wakiwa humu utasikia hawafuatilii.
Alafu wanajua mambo mengi ya Tz kuliko sisi.



listi ya mchongo mwanawane.....Kutosoma ng'ambo ni statistics. If you're informed, you'll know. Sio lazima nifuatilie Tanzania ndio nijue hilo. Kwa mfano, Nchi za Africa zilizo na wanafunzi wengi Marekani ni kama ifuatavyo:-
Nigeria 13762 Ghana 4222 Egypt 3859 Kenya 3710 Ethiopia 2356 South Africa 2224 Morocco 1499 Rwanda 1444 Zimbabwe 1377 Ivory Coast 1257 Democratic Rep. of the Congo 1198 Cameroon 1027
Unavyoona Tanzania haipo kwenye orodha - mmezidiwa na hata Rwanda - Kanchi ambako ni kadogo hata kushinda mkoa mmoja hapo Bongo. na sijajua hii information kwa kufuatilia nchi yoyote bali tu kuwa na interest ya kujua nchi gani Africa zina wanafunzi wengi Marekani.
This is what I find funny about the Tanzanians here. They usually post figures without referencing the source of their data 😂😂😂😂. Keep on cooking your numbers 😂😂Ukraine tu kulikua na wanafunzi wa kitanzania zaidi ya 900 huku kunyaland haikua hata na housemaid kama kawaida yenu
Mnatushinda kwa housemaids abroad sio students, hii battle nainunua
Kuna zwazwa moja linakuambia Tz wanaosoma ng'ambo hawafikii hata wa Rwanda alafu likatoa na takwimu zake za wanafunzi wanaosoma USA zisizokuwa na source, yani mtu na akili zake kabisa anasema Rwanda iko mbele ya TzKuna kile kiramani huwa wanakisambaza.![]()




Kwamba Watz wanaifuatilia sn KenyaKuna kile kiramani huwa wanakisambaza.![]()












basi 1😁😁😁😁😁😁😂😂😂
Hii lugha ya malkia ngumu sanajust can't answer you at the moment, let me pass it over to Tony254 to act upon the same. he is a fully flagged economist holding B.Com(Econ)(Hon(UoN). he is well vast with matters economics, therefore fit enough to handle such a case. chao..
Kuna zwazwa moja linakuambia Tz wanaosoma ng'ambo hawafikii hata wa Rwanda alafu likatoa na takwimu zake za wanafunzi wanaosoma USA zisizokuwa na source, yani mtu na akili zake kabisa anasema Rwanda iko mbele ya Tz
Alafu takwimu za USA anatumia ku generalize kwamba tunazidiwa mpk na Congo, tukisema jamaa elimu yao inawatengeneza kuwa misukule wanabisha.
Kwamba Watz wanaifuatilia sn Kenya
Mtanzania gn huyo apoteze mda wake kuifuatilia Kenya![]()



These are from just 1 universityThis is what I find funny about the Tanzanians here. They usually post figures without referencing the source of their data 😂😂😂😂. Keep on cooking your numbers 😂😂
kila mkunya anataka awatambie wakunya wenzie like asieijua tz n fala since ndoto yao kua watanzaniaAlafu wanajua mambo mengi ya Tz kuliko sisi.
Ina maana hawana reserves kubwa au logistical and administrative challenges tuuWako upande wa marekani na ulaya ona sasa mazarawanapata wannchi wa kawaida
Hapo administrators wa vyombo husika vya serikali watakuwa wanejitosa kwenye siasa na kusahau majukumu yao ya awali.failed state, naona magari yao mengi huku kumbe yanahemea fuel



Maana ya kwenda nje kusoma si kutafuta elimu bora au sio? Sasa kama elimu bora inapatikana kiurahisi hapa kwetu tuende nje kufanya nini? Kusoma nje sio kitu cha kujisifia ila inaonesha there is something wrong with your education system.Kutosoma ng'ambo ni statistics. If you're informed, you'll know. Sio lazima nifuatilie Tanzania ndio nijue hilo. Kwa mfano, Nchi za Africa zilizo na wanafunzi wengi Marekani ni kama ifuatavyo:-
Nigeria 13762 Ghana 4222 Egypt 3859 Kenya 3710 Ethiopia 2356 South Africa 2224 Morocco 1499 Rwanda 1444 Zimbabwe 1377 Ivory Coast 1257 Democratic Rep. of the Congo 1198 Cameroon 1027
Unavyoona Tanzania haipo kwenye orodha - mmezidiwa na hata Rwanda - Kanchi ambako ni kadogo hata kushinda mkoa mmoja hapo Bongo. na sijajua hii information kwa kufuatilia nchi yoyote bali tu kuwa na interest ya kujua nchi gani Africa zina wanafunzi wengi Marekani.
Wanakula vitasa hadi twitter
KTDA and Sacco's control more than 80%of Kenyan tea,hayo mashamba ya chai kenya nani ni owners?? si ndio wale wale wazungu wanaolima maua kwenda kuuza kwao wanawaacha wakenya maskini wanakufa njaa kila mwaka?? au nasema urongoo🤣🤣
After auctions Kila chai inauzwa abroad as per the country of OriginHiyo chai inayosemekana ni ya Kenya haitoki Kenya peke yake, chai ya Rwanda, Burundi, DRC, uganda, Malawi, Tanzania ipo hapo sababu ya international Mombasa tea auction.
Mwambie Tanzanian biggest Tea farm is owned by Kenyan.KTDA and Sacco's control more than 80%of Kenyan tea,
Izo zingine ndio za those foreign firms like Finlay's,Unilever, Brook which still ziko listed kwa Nairobi stock exchange na Kenyans have shares ndani yao...wacha ujinga
Foreign tea farms Ni za Brook, Finlay's, chamjii and Unilever pekee