Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

heri ata ingekua ethiopia.. sasa dr congo ni nchi gani tena.!? lol.!.. kamavile tulivyo mpokea tu ssudan, soon utasskia pia somalia.!...... sasa eac inaenda kua chwarachwara ata zaidi.. damn.!

View attachment 2168082
nb: mwanzo drcongo iko afrika ya kati na sio mashariki pér se. iweje hasa, less jina litabadilishwa sasa frm 'eac' to 'ecac'
Hii yote ni roho mbaya inayotokana na ugumu wa maisha.
 
Westlands

1648546197029%20.jpg
1648546205544%20.jpg
 
“wachezaji wa ligi kuu.. wageni na wenyeji” hamna hii kitu huko

ndo mana nimekuambia “tumia akili usiwe mjinga”
usikurupuke
In Kenya everybody employed by either private or government entity has a medical cover. So hiyo ndoto yako umekubaliwa kuiota zaidi.
 
this is special health insurance to football players!
The idea of health insurance imeingia Tanzania mara ya kwanza mnadhani you are the first to have the services . I'm sorry to break it to you that you are late to the party witch.
 
Mimi huwa naona Watanzania wengi humu wakijipiga vifua kwamba Tanzania inaweza kushindana na Kenya. Huwa nashindwa wamevuta bangi gani? Tangu lini Tanzania ikacheza ligi moja na Kenya. Tanzania itoe wapi apartments kama hizi?
View attachment 2167777
View attachment 2167773View attachment 2167774View attachment 2167775




Cc joto la jiwe Geza Ulole ichoboy01 The best 007 tuusan. Asiyekubali kushindwa sio mshindani.
Kwani wewe umeshahama apartment za pale Kibera. Angalia wenzako wanalia
IMG_20220329_141630.jpg
 
Back
Top Bottom