NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,395
- 17,977
Shida ya Watanzania na facts hawapatani kabisa.The UK is the third largest economy behind Germany and France!
UK GDP - $3.108T
France GDP - $2.940T
Shida ya Watanzania na facts hawapatani kabisa.The UK is the third largest economy behind Germany and France!
The UK is the third largest economy behind Germany and France!But we are not talking about the UK, we are talking about London.........
PS..........the UK is the second largest economy in Europe. Get your facts right.
Huyu c muajiriwa wa GoT.Kipi kinatafutwa hapa, hii ni trip ya 4 in a row!
Huyo ndivyo alivyo, anapenda sana shari.KENGE WEWE .....peleka huu ujinga wako kule kwenye jukwaa la siasa ....usituharibie uzi hapa.......yaani we ni dog ...kule kwenye dr & nairobi umeharibu ule uzinkwa ujingaa huu huu ...na hapa tena waja kutuharibia....stupid
alinunua ipi na inaitwaje nipe jina nasubiria
barabara inajengwa na mchina itamilikiwa na mchina kwa miaka 30 na bado mutalipa fee kupta service kwa tanzania haiwezi kufanya ujinga huo ni mlevi pekee anaweza kufanya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tanzania mkijapata barabara kama hii utakua mzoga kama magu
Matusi yao haitazuia wakenya kumiliki uchumi waoUsifanye utusiwe bure.![]()


nimekuuuliza swali amenunua inaitwa jina gani na ukijibu nitag 😂😂😂
uchumi amabao hauwezi lisha wakenya wanaokufa na njaa?? uchumi hauwezi kujenga 5km railway bila loan 🧐🧐🧐Matusi yao haitazuia wakenya kumiliki uchumi wao![]()
Hawa jamaa ni wachafu sn, pia co wastaarabu, ni watu wa kale na huwa hawaendi na wakati kabisa.ona barabara ilivochakaa ndio thika hiitushukuru filter zinasaidia
wanapiga filter kila kitu ila kiuhalisia ni uozo mtupu 😂😂😂Hawa jamaa ni wachafu sn, pia co wastaarabu, ni watu wa kale na huwa hawaendi na wakati kabisa.
Duh! Jamaa una nyundo nzito kwa hawa jamaa, housemaids, nimecheka sana unajua kuwaweka mahala pake hawa jamaa. Nimekuwa nikiwafuatilia nikiwa nje ila nimejifunza kitu kwamba mmeamua kuwasemea watanzania walio wengi ambao hawawezi kuwa jukwaani hapa. Mmetufunza mengi ambayo hatukuwa tukiyajua kuhusu Kenya na Wakenya na yale waliyokuwa wakisema juu ya nchi yetu. Kazi njema sana wazalendo wa nchi yetu (Tanzania).Ukraine tu kulikua na wanafunzi wa kitanzania zaidi ya 900 huku kunyaland haikua hata na housemaid kama kawaida yenu
Mnatushinda kwa housemaids abroad sio students, hii battle nainunua
Kweli kabisa me ni mmojawapo sikuwa ninajua upuuzi wa hawa jamaa, wanatutengenezea mazingira ya kuonekana wabaya huko nje. Kila kitu kizuri cha Tanzania walikuwa wanakiita chao.baadhi ya watanzania wengi hawapo well informed, kenya ni zaidi ya adui wa maendeleo ya watanzania, watanzania inabidi tujifunze kutokana na makosa ya kuiamini kenya. Kenya hawana ubinadamu inapokuja issue ya maendeleo ya wengine. wakunya wana wivu mnoo