Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kumbuka China ni ya Kwanza kwenye kuzalisha black tea. India ni ya pili na Kenya ni ya tatu. Lakini India na China zinaconsume black tea yao almost yote internally. Kenya chai yetu nyingi tunaexport hatukitumii nyumbani sana. Kwa hivyo Kenya ndio the biggest exporter of black tea in the world (japo sie ni 3rd biggest producer)
hayo mashamba ya chai kenya nani ni owners?? si ndio wale wale wazungu wanaolima maua kwenda kuuza kwao wanawaacha wakenya maskini wanakufa njaa kila mwaka?? au nasema urongoo🤣🤣
 
Kumbuka China ni ya Kwanza kwenye kuzalisha black tea. India ni ya pili na Kenya ni ya tatu. Lakini India na China zinaconsume black tea yao almost yote internally. Kenya chai yetu nyingi tunaexport hatukitumii nyumbani sana. Kwa hivyo Kenya ndio the biggest exporter of black tea in the world (japo sie ni 3rd biggest producer)
Hiyo chai inayosemekana ni ya Kenya haitoki Kenya peke yake, chai ya Rwanda, Burundi, DRC, uganda, Malawi, Tanzania ipo hapo sababu ya international Mombasa tea auction.
 
Ila kuwa na international companies haimaanishi prospects take example London ina all major global Banks, ila Germany is the largest economy in the whole of Europe followed by France! Hizo kampuni zote hazifiki kiasi mafuta ya EACOP yataleta Tanzania per day!
Why are you comparing London City to Germany as a country? Hiyo ni kama kufananisha Nairobi na Tanzania ama Dar na Kenya. As a City, London is way richer than the richest city in Germany (Frankfurt) and by far the richest Metropolis in Europe and the Fourth richest in the World both in terms of number of billionaires and 5th richest in terms of GDP.
 
Nairobi Express Highway haioni kitu kwa Kampala Flyover!
FO6vXk2XsAU-FMV



Proper 3 levels interchange
FO6vXk3WUAc8tnn



Proper MSE Wall matofali MSE Wall achia Wakunya!
FO6vc2UXEAQKckn



State of the art construction
FO6vc3tWUAABILB








Kuna Mkunya anabisha? Tony254

Kali, Ubungo haiwezi fikia hii in 100 years.
 
What I have realized with joto la jiwe is that amegundua most Tanzanians in this thread are uninformed so anawadanganya tu venye amewish. These are some of the lies he has been peddling.

1. Tanzania producing more cement than Kenya
2. Tanzania exporting more to EAC than Kenya.
3. Tanzania having more millionaires than Kenya.
4. Tanzania growing faster economically than Kenya.

joto la jiwe please find somewhere else to lie

AFR-REO-Table-SM21.jpg
 
We umekuja kugawa watu huku sio? maswala ya sukuma gang yanakujaje kwenye hili jukwaa au unafikiri humu wote tuna mihemuko ya kisiasa sasa unataka tuanze kubishana wenyewe ili iweje kwani kenya hakuna siasa au wakenya wa hili jukwaa wote wako upande mmoja wa kisiasa? mbona wao hawaendekezi mambo hayo ingawa kwao yanawasumbua. Dogo jaribu kujitambua
Hao ndo wale wapuuzi huvulugaga vikao vya kifamilia..
 
Kutosoma ng'ambo ni statistics. If you're informed, you'll know. Sio lazima nifuatilie Tanzania ndio nijue hilo. Kwa mfano, Nchi za Africa zilizo na wanafunzi wengi Marekani ni kama ifuatavyo:-

Nigeria13762
Ghana4222
Egypt3859
Kenya3710
Ethiopia2356
South Africa2224
Morocco1499
Rwanda1444
Zimbabwe1377
Ivory Coast1257
Democratic Rep. of the Congo1198
Cameroon1027

Unavyoona Tanzania haipo kwenye orodha - mmezidiwa na hata Rwanda - Kanchi ambako ni kadogo hata kushinda mkoa mmoja hapo Bongo. na sijajua hii information kwa kufuatilia nchi yoyote bali tu kuwa na interest ya kujua nchi gani Africa zina wanafunzi wengi Marekani.
Kwahiyo ng'ambo ni Marekani pekee, huyu ataacha lini kufikiri kwa kutumia matako?
 
Why are you comparing London City to Germany as a country? Hiyo ni kama kufananisha Nairobi na Tanzania ama Dar na Kenya. As a City, London is way richer than the richest city in Germany (Frankfurt) and by far the richest Metropolis in Europe and the Fourth richest in the World both in terms of number of billionaires and 5th richest in terms of GDP.
But the UK (including London) is the third largest economy in Europe GDP wise!
 
Back
Top Bottom