Umeshawai kuona wapi vipofu wawili wakiongozana njiani?
MY TAKE
partneship ya SAA na KQ imeishia wapi?
Umeshawai kuona wapi vipofu wawili wakiongozana njiani?
MY TAKE
partneship ya SAA na KQ imeishia wapi?
Kisumu kuna airport au landing strip tuuA reason why aircraft diversion from JKIA go to KIA and not Moi Airport
NOTE:
Kisumu airport capacity is 250,000 PAX per annum!



Sisi tunajenga kitajiri bungalows nyie mmezoea apartments wapi na wapi mkuu sisi tuna ardhi na isitoshe tunapata fresh air na ample surroundings around the house sasa nyie kisamvu mtatwangia ghorofani au?Hizi Ni takataka Gani Sasa, nyumba za wachuna chai kericho![]()
ngoja nibadilishe title yaani hawa wapuuzi wanaita Kisumu airstrip na Isiolo airstrip international airports!Kisumu kuna airport au landing strip tuu![]()
mbona ujenzi wa kijuakali bado hapa si ndo wall ya flyover lilianguka na kuua!
![]()
kenya. 83rd ranked military, globaly. don't forget tz is 118th
Hivi hizi tetenus bado zinaingia mjini huku ni Bamako nini?
Haya ndio mambo tunayasema kila siku umu ila wanapinga, huwezi kuta nchi kama moroko watu wanakufa kwa njaa ilhali wana gdp sawa na nyinyi na wao nchi nzima ni jangwa sasa hapa mnajiteteaje
Hahahaha wakati wabongo wanataka kufanya kufuru huku 😂😂😂😂Hivi hizi tetenus bado zinaingia mjini huku ni Bamako nini?
Hahahaha wakati wabongo wanataka kufanya kufuru huku 😂😂😂😂
Wengine wamekomaa na makokoro yao mpaka mikono iote sugu kwa kugonga hizo sufuria
Simmers died kitambo thoMji tunaumaliza kwa miguu ndani ya 3 hours tuu halafu nakaa Simmers na sip lager yangu taratibu.
Whats so impressive about these basic bungalows?
Privacy and fresh air. Kwenye apartments zenu sasa na jinsi mnavyopenda kupigana miti hadi jirani upande wa pili wa ukuta anasikia.Whats so impressive about these basic bungalows?
They should’ve at least built apartment buildings to save space for more impressive housing developments.Whats so impressive about these basic bungalows?