Walker255
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,884
- 12,949
Serikali ya JPM Ndio iliyofanya Tanzania kuwa outcast kwenye international stage na unasema kuwa tuko mstari wa mbele? Samia anafanya safari za nje kuboresha mahusiano yetu na dunia Kwa ujumla na hapa ninamsifu.Hatupo kwenye mstari wa mbele kivipi mzee ebu jaribu kuback point yako na facts na kumbuka miradi ya kimkakati iliyoanzishwa awamu ya tano hajakamilika ila tumefanikiwa kuvutia uwekezaji mkubwa kuwashinda kutoka njee ofcoz wakenya walikua wameetuacha mbali miaka ya nyuma ila gia imebadlika tangu awamu ya tano pamoja na sera kali za jpm
Ume-admit kuwa wakenya walikuwa wametuacha mbali miaka ya nyuma na hapa Ndio Siri ya mafanikio itapatikana. Kenya ni Sawa na kusema tayari wana advantage ya kuvutia foreign firms Maana Nairobi tayari ina offices nyingi za makampuni ya kimataifa.
Hizi kampuni zinaleta manufaa Mengi tu Kenya na sio tu in terms of corporate taxes Bali pia Kwa kutoa huduma ambazo huwezi kuzipata mahali pengine Afrika Mashariki na Kati.