Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

'Nikufe' ni kiswahili cha kikenya, jua kenya ni nchi nyingine tofauti na haiwezi kua tanzania hata tone.! stop correcting us here u pipo.... kenya is a sovereign country, na haina minyororo na nchi ingine yoyote ile
Mimi saa zingine huwa nachoka kuandika hicho kiswahili chao kibaya. Inabaki nimeandika "venye kenye zenye" coz hio ndio kiswahili chetu. In fact I should have said "Kiswahili yetu". Hahaha
 
Mimi saa zingine huwa nachoka kuandika hicho kiswahili chao kibaya. Inabaki nimeandika "venye kenye zenye" coz hio ndio kiswahili chetu. In fact I should have said "Kiswahili yetu". Hahaha
dyfre kama tukule vile? Mtu wa Mombasa haongei hivyo sema Kiswahili kibovu cha bara! Si Kenya nzima inaongea hivyo huwezi mkuta Balala au Joho anasema ukufe au nikufe au tukule! pitia clip zao zoote online uniletee evidence!
 
kama tukule vile? Mtu wa Mombasa haongei hivyo sema Kiswahili kibovu cha bara! Si Kenya nzima inaongea hivyo huwezi kuta balala au Joho anasema ukufe au tukule! pitia clip zao zoote online uniletee evidence!
Kiswahili kilianzia Mombasa. Wao wanajua kiswahili hata kuwashinda nyie Watanzania wote kasoro watu wa Zanzibar na Pemba. Lamu, Mombasa, Zanzibar na Pemba ndio walioanzisha Kiswahili. Watu wa bara wa Tanzania na Kenya wameiga tu kiswahili ila sio wenyeji. Wewe kwa vile unatokea hayo maeneo ya pwani itakuwa wewe ni mwenyeji kamili. Sio hawa wengine humu wanaoiga tu.
 
Kiswahili kilianzia Mombasa. Wao wanajua kiswahili hata kuwashinda nyie Watanzania wote kasoro watu wa Zanzibar na Pemba. Lamu, Mombasa, Zanzibar na Pemba ndio walioanzisha Kiswahili. Watu wa bara wa Tanzania na Kenya wameiga tu kiswahili ila sio wenyeji. Wewe kwa vile unatokea hayo maeneo ya pwani itakuwa wewe ni mwenyeji kamili. Sio hawa wengine humu wanaoiga tu.
Nani kakuongopea? Alafu huyu Gezaulole kumbe ni mpemba?
 
Nairobi inamilikiwa na nani? Majengo yote Nairobi ni Mali ya wageni, apartments zenu 90% Muhindi na muarabu, retail business yote msomali 🤣🤣🤣
Hehehee........Equity ni ya wageni, KCB ni ya wageni, Keroche ni ya wageni, Britam tower ni ya wageni, UAP ni ya wageni, KICC na Times tower ni ya wageni, Suraya, Centum et al wenye wanajenga apartments Nairobi ni wageni. 🤣🤣🤣🤣 Boss usilazimishe tufanane.
 
dyfre kama tukule vile? Mtu wa Mombasa haongei hivyo sema Kiswahili kibovu cha bara! Si Kenya nzima inaongea hivyo huwezi mkuta Balala au Joho anasema ukufe au nikufe au tukule! pitia clip zao zoote online uniletee evidence!
pia nami huchoka sana kuandika hichi kiswahili mufti, mimi mwisho nikiandika kiswahili sanifu, ilikua ni wakati nikifanya, Insha na Riwaya katika mtihani wa KCSE.! humu jf ndo imenirudisha pale. otherwise mi ninge wish sana niende free style, yani ile sheng halisi ya kikenya, ila humu mandugu zetu wa kusini hawatoielewa. so inanibidi tu nicheze chini
 
Kiswahili kilianzia Mombasa. Wao wanajua kiswahili hata kuwashinda nyie Watanzania wote kasoro watu wa Zanzibar na Pemba. Lamu, Mombasa, Zanzibar na Pemba ndio walioanzisha Kiswahili. Watu wa bara wa Tanzania na Kenya wameiga tu kiswahili ila sio wenyeji. Wewe kwa vile unatokea hayo maeneo ya pwani itakuwa wewe ni mwenyeji kamili. Sio hawa wengine humu wanaoiga tu.
Kwenye kabila langu karibu 30% ya maneno kutoka kwenye kiswahili yanatamkwa hivyo hivyo kwenye lugha ya kabila langu

Maneno kama fisi, mbwa, mkono, maji, macho, mlango, nyumba, uji, mke, mama, mjomba, jua, mwezi, nyota, damu, nywele, moto, majani, mbuzi, kuku etc

Ni hivyo hivyo, na mimi ni mtu wa Bara, sasa utasemaje Kiswahili hakijatoka Bara wakati zaidi ya 80% ya vocabulary ya kiswahili ni kutoka makabila ya Bara?
 
Hehehee........Equity ni ya wageni, KCB ni ya wageni, Keroche ni ya wageni, Britam tower ni ya wageni, UAP ni ya wageni, KICC na Times tower ni ya wageni, Suraya, Centum et al wenye wanajenga apartments Nairobi ni wageni. 🤣🤣🤣🤣 Boss usilazimishe tufanane.
98% ya majengo ya Nairobi ni Mali ya wageni wala huna la kufanya

 
mbona naona upper hill na westland ndani 😂😂😂😂
kwayo, upperhill na westlands iko hapa karibu ama iko hukooo mbali............
nairobi is so expansive my brother, na hakuna siku dar itainusia, jua bado kuna eastleigh on the other end, na bado tuja taja parklands, kilimani, ngara, parkroad, pangani etc.
hiyo hoja yako ya kilasiku, eti dar ina gorofa nyingi zaidi shida nairobi ni porojo tu
 
onesha vitu kama hvi mzee acha kuruka ruka kama mkojo wa mlevi 🤣🤣🤣👇👇
C4607BD3-B7C0-4CC0-9331-A8EB44A0FFB5.jpeg
AF21B66D-1EF5-49CE-9A35-C7190F0003A2.jpeg
3E8A0D04-92D0-40A9-B96C-3D5A6605CD3C.jpeg
 
Back
Top Bottom