Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

the kind of country and leadership we are currently experiencing with.
Hii nchi inaweza kuongozwa hata na paka na ikaenda fresh tu japo hakutakuwa na maendeleo kwa kipindi ambacho inaongozwa na paka lkn hutosikia watu wakifa kwa njaa wala vita, but inapopata kiongozi kama the late, the giant, the elite, the extra ordinary leader kama Magu wala huitaji miaka 10 kufanya zaidi ya kile kitu vinchi vidogo vidogo kama Kenya inafanya.
 
Mdanganyika anihesabie
FOc4-aqXwAAMYgZ.jpg
 
Hii nchi inaweza kuongozwa hata na paka na ikaenda fresh tu japo hakutakuwa na maendeleo kwa kipindi ambacho inaongozwa na paka lkn hutosikia watu wakifa kwa njaa wala vita, but inapopata kiongozi kama the late, the giant, the elite, the extra ordinary leader kama Magu wala huitaji miaka 10 kufanya zaidi ya kile kitu vinchi vidogo vidogo kama Kenya inafanya.
Nimejiuliza sana, hiv huyo ndo alikuwa VP wakat wa Magu? Kwa kweli nimekosa jibu.. ule uchungu/moyo wa uafrica huko wap? Utanzania uko wap? Serikal inashindwa kutafuta hizo bil69 kwengine hadi uruhusu huo upuuzi? Wanasema simba wanapungua lakn wanaruhusu kuwinda na kuua? Wanasema wamasai wanaharibu maisha ya wanyama lkn wanaruhusu wenye hela kuwinda na kuua? Ase aibu sana!

Hiv zile mbaga za madini, sijui dar port zisiendelezwe kisa bagamoyo port huyu angeziweza kwel?

Hili suala angefanya aliepita tungesikia watu wakubwa hata wastaafu akina kagasheki wanalipinga, lkn cha ajabu watu wapo kimyaa 🙆
 
List inaanzia hapa

1. The Pinnacle Tower The KSh 20 billion Pinnacle Tower under construction in Nairobi's Upper Hill area would be the tallest building in Kenya once complete. It has two adjacent towers, one with 46 floors (200.8 meters) and the other with 70 floors (300 meters).

It is being developed jointly by Hass Petroleum and the White Lotus Group managed by Indian tycoon Vijaykumar Naidu.
Pinnacle is not an existing tower. Wacha kuongelea mambo huelewi. Hehehe, unapigwa bare hadi unachanganyikiwa. 🤣🤣🤣
 
Kisha hapa

2. Britam Tower Standing at 200 meters, the Britam Tower is currently the tallest complete building in Kenya. The commercial building completed in 2017 is owned by the British-American Investments Company (Britam).
Heeeeheeee. Umeskia British American ukachanganyikiwa. Usidhani Wakenya tumelalia maskio kama nyinyi. 😂😂😂
Britam Kenya ownership

1.png
 
Hii nayo mali ya Mzungu

4. UAP Tower UAP Old Mutual Group owns the 33-storey 163 meters office complex. It temporarily became the tallest building upon its completion in 2015, surpassing the Times Tower, which held the record then
Heeeheeee.....tena hii imekuchanganya boss. Kenya sii mchezo wako. 😂😂😂

1.png
 
Back
Top Bottom