Mwl Nyerere alimaanisha mkoloni mwingereza alipendelea kenya akaijenga Vizuri wakati kwa Tanzania baada ya Kumpora mjerumani hakuiendeleza , mjerumani ameacha legacy ndogo Tanzania kuna Mitaa kadhaa alijenga , majengo kadhaa na makanisa Na kama mjerumani angekaa muda mrefu angeijenga kama Namibia .
Nilienda Nairobi 1987 niliona tofauti na Daressalaam.
Sasahivi stori ni nyingine mageuzi ya kimaendeleo yaliyofanyika Tanzania ni ajabu kila sekta miundombinu, afya, elimu,biashara,kilimo , teknolojia nk