TEMLO DA VINCA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 3,087
- 3,392
Pesa za wenyeweHizi pesa huwa mnazipeleka wapi mana roads mnajengewa, majengo mnajengewa na sisi pia soon tunakuja kuwajengea ghorofa kubwa tu hapo pembeni mwa ka Nairobi, ss hizi pesa huwa mnapeleka wapi mana mnakusanya hivi vipesa lkn bado mnanuka njaa na umaskini wa kutisha, mishahara pia hamuwezi kulipa, hivi vipesa huwa mnavipeleka wapi?