Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hakuna kuongea sana hakuna propaganda ni kazi tu 😂😂😂 propaganda achilia wazungu wanaosema uongo kila kukicha na kipigo juu
 
kumekucha ndio unatafuta shuka Tony254 🤣🤣🤣🤣 vita sio maneno maneno mzee

sasa mazungumzo baada ya watu wake kuuwawa, miji kuharibiwa, muundo msingi kuhadhiriwa, huyu jamaa angekua proactive mapema na hangeingia vita ambayo anajua vizuri hangeshinda. tena hii ni vita ambayo imeamsha kinonda ama cold blood btwn nato and russia, ama coldwar btwn USA and USSR, vita ambayo tulikua tumesahau na ambayo inayo kisiwa kutishia uwepo ama existence ya ulimwengu kwa ujumla
 
Ardhi yote yenye rutuba Kenya imechukuliwa na wanasiasa na wazungu wachache wanalima maua na chai, majority of Kenyans wanakufa kwa njaa.

By the way, hatuhitaji silaha za nuclear kuishambulia Kenya, hata Leo hii tukitaka tunaichukua Kenya ndani ya wiki Moja, udhahifu wa KDF ulivyodhihirika huko Somalia, hamuwezi kudumu hata wiki Moja kwa JWTZ
Jeshi la nini mkuu hapo ukikata supplies za food watawezaje pigana na njaa ni kuua tembo kwa ubua tuu.
 
sasa mazungumzo baada ya watu wake kuuwawa, miji kuharibiwa, muundo msingi kuhadhiriwa, huyu jamaa angekua proactive mapema na hangeingia vita ambayo anajua vizuri hangeshinda. tena hii ni vita ambayo imeamsha kinonda ama cold blood btwn nato and russia, ama coldwar btwn USA and USSR, vita ambayo tulikua tumesahau na ambayo inayo kisiwa kutishia uwepo ama existence ya ulimwengu kwa ujumla
kwani mwanzo hakujua hvo?? 😂 yani ww uone vita alaf hujui kama nchi itaharibika au nato walimdanganya ajaribu
 
B551245B-F692-4DAB-AE3D-22BA98574C95.jpeg
 
Back
Top Bottom