dopchinski
JF-Expert Member
- Mar 11, 2021
- 3,387
- 3,683
huyu kaka amekwisha tueleza maneno mwafaka, ila wenzake humu watazidi kumponda na kumkashif kilasiku kwa ajili ya ueledi wake wa kufichua ukweli wa mambo jinsi yalivyoHapa Mzee umeongea ukweli hata kama watu wanapinga.
Hakuna feasibility study ilifanyika na hata bila feasibility study Uchumi wa Tzn 70% uko Dar huko kwingine ni kujilisha upepo tuu.
Na mbaya zaidi ikikamilika wimbo utabadilika kwamba eti reli ni huduma haitakiwi kuwa gauged on economic terms..
Binafsi licha ya kujenga reli na kujisifia sijawahi kubaliana na huu mradi,badala yake pesa inayowekezwa huko japo kwa miaka 5 iliyopita ingewekezwa kwenye barabara za highway na Vijijini kwa lami ingekuwa na tija kubwa kwa sasa Ili tunapojenga reli tuwe na mzigo wa kupitisha...
Kichaka kingine kinachotumiwa ni hiki cha kusema sijui itadumu miaka 100 ijayo and such nonsense,kulikuwa hakuna haja ya kuwa na reli ya kiwango hicho kwa sasa badala yake tungeanza kuijenga 2025 tukiwa na uchumi wa kutosha.
najua mkitengeza zana za ki nuclear hapa, target yenu pekee ya ku hit
haitakua nchi nyingine bali kenya na ke
pekee. kisa, kenya ni nchi inawapa ulcers, bloodpressure, na heartattack kilauchao since independence tukirejekea swala la kiuchumi, jambo ambalo mmshindwa kuelewa na kufafanua mbona, ilhali mna kila kitu, sio madini maradufu, sio nchi kubwa zaidi iliyo 95% arable land, sio coast line ndefu zaidi.. yani imekua kama fumbo flani ngumu sana 

