Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ichoboy01 najua unafurahia sana kuona video kama hii ya huyu msichana wa miaka miwili. Unahisi utamu sana sio?

mashambulizi mengi yanafanywa na jeshi la ukraine ila ww hushangai, nato walishafeli baada ya russia kuingia sasa hvi wanapiga ile miji yenye wana support russia alaf wanasema russia wamepiga wakat ni wao
 
Kenya kwa sasa haina haja na huu mradi. Hawa watangoja sana kupokea fidia hio.
Kwahiyo wakati mlipoamua kujenga huu mradi hamkufanya utafiti wa kutosha?.

Tony254, ninakuomba uweke kumbukumbu yako vizuri, nilikuambia kwamba SGR, Lamu Port na Mafuta ya Turkana ni miradi ambayo haina faida za kibiashara zaidi ya kutafuta "political milage",
 
👆🏽najua mkitengeza zana za ki nuclear hapa, target yenu pekee ya ku hit💥 haitakua nchi ingine bali kenya na kenya🇰🇪 tu..!. kisa, kenya ni nchi inawapa ulcers, bloodpressure, na heartattack kilauchao since independence tukirejelea swala la kiuchumi, jambo ambalo mmshindwa kuelewa na kufafanua mbona, ilhali mna kila kitu, sio madini maradufu, sio nchi kubwa zaidi iliyo na 95% arable land, sio coast line ndefu zaidi.. yani imekua kama fumbo flani ngumu sana 😆😆
angalieni huyo mbwinga anaongea nn 🤣🤣
 
Kwahiyo wakati mlipoamua kujenga huu mradi hamkufanya utafiti wa kutosha?.

Tony254, ninakuomba uweke kumbukumbu yako vizuri, nilikuambia kwamba SGR, Lamu Port na Mafuta ya Turkana ni miradi ambayo haina faida za kibiashara zaidi ya kutafuta "political milage",
Wewe ndio jana ulisema kwamba SGR ya Kenya ikifika Uganda basi italeta faida halafu leo unasema kwamba SGR ya Kenya haina faida. Unajichanganya.
 
Huyo jamaa anajulikana huku kwa kupenda sifa. Anajua vizuri Kdf is more professional, better trained and better armed. Usipoteze muda, wachana na yeye.
Hahahaha, better trained?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilisema Saudi Arabia awache majivuno kwa marekani kwa maana bado anamtegemea Marekani ampatie ulinzi. Sasa ona ameanza kupigwa na Houthis wa Yemen tena.

na hapa marekani anakwenda kuanguka kwa mara nyingine tena kumbe sasa umeamini kua marekani ndio mchochezi wa vita vyote duniani yani ukikataa matakwa yake anakuletea vita ?? kumbe ushaanza kuelewa taratibu
 
mashambulizi mengi yanafanywa na jeshi la ukraine ila ww hushangai, nato walishafeli baada ya russia kuingia sasa hvi wanapiga ile miji yenye wana support russia alaf wanasema russia wamepiga wakat ni wao
Hahaha. Wewe ni kichaa wewe. Eti NATO ndio inashambulia hizi miji za Ukraine? 😂🤣😅
 
source by who?? mama ngina 😂😂😂
it was compiled in south africa by experts there 👇🏽

Screenshot_20220320-103228_Google.jpg
 
kwann munawapa silaha ikiwa wao hawataki vita?? kwann nato inatoa silaha kwa ukraine ikiwa wao hawataki vita ??🤣🤣 jiulize kwa umakini bila hasira
Kwa hivyo Nato iwache watu wa Ukraine wanyongwe kama mbuzi bila kuwasaidia?
 
Back
Top Bottom