Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe unaelewa economics vizuri kweli wewe? Eti unadanganya kwamba SGR ya Kenya haiwezi kuleta faida mpaka iunganishwe na Uganda. Unajua unachosema kweli au unaongea kufurahisha watu? Hivi wewe unajua kwamba hata SGR ya Kenya ikiunganishwa na Uganda bado zaidi ya 75% ya mizigo ya SGR itakuwa ni mizigo ya Kenya? Kati ya hio 75% karibu yote inakwenda Mombasa na Nairobi. In fact Kenya inaweza kupata hasara zaidi kwa kutumia mabilioni ya dollar kuconnect Naivasha hadi Malaba ukizingatia kwamba chini ya asilimia 20% ya mizigo ya Sgr itakuwa mizigo ya Uganda. Zingatia pia kwamba Waganda wengine watakataa kutumia treni na wataendelea kutumia lorry. Market ya Uganda ni ndogo sana ikiilinganisha na ya Kenya. Customers wengi wa SGR ni Wakenya sio Waganda. Mombasa port inapitisha 35 million tonnes of cargo na chini ya 25% ya hii inakwenda Uganda na around 75% inabaki Kenya, most of it inakwenda Nairobi. Tukiangalia hii kitu kiuchumi hakuna jinsi unaweza kuniconvince kwamba Kenya haitapata hasara zaidi ikiamua kujenga SGR kutoka Naivasha hadi Malaba ukizingatia kwamba Uganda ni market kadogo. Mimi sina ushabiki wa kijinga, mimi sioni jinsi Naivasha-Malaba itakuwa na faida kushinda Mombasa-Nairobi kwa hivyo uwache kudanganya watu. Najua hio ndio sababu kuu iliyowafanya Wachumi wa China Exim bank kukataa kutoa mkopo. Tukiangalia hii kitu kiuchumi na kiutaalam kabisa bila kuweka siasa au propaganda, ukweli ni kwamba route ya Naivasha- Kampala haitaleta faida ya kutosha kuoffset the cost of construction. SGR route ya Mombasa to Nairobi ina faida sana na itajilipa virahisi kwa sababu 70% ya mizigo ya Mombasa port inakwishia Nairobi na haipiti hapo. Nairobi- Malaba japo itagharimu Kenya $3 au $4 billion kwa ujenzi, najua haitajilipa virahisi ukizingatia kwamba mizigo inayokwenda Uganda ni kidogo sana. Tukifanya simple ROI (return on income) ni wazi kwamba kipande cha Naivasha Malaba hakitajilipa kwa urahisi. Kwa hivyo tukianalyse hili jambo kiutaalam bila ushabiki utaona kwamba hio route ya Kampala haina faida kwa Kenya kushinda route ya Mombasa-Nairobi ambayo ndio most profitable route in East and Central Africa. Mombasa-Nairobi ni route ambayo inaconsume zaidi ya 20 million tonnes of cargo per year wakati Uganda inaconsume 8 million tonnes of cargo per year. Mizigo nyingi za Kenya zinachezea Mombasa-Nairobi na hazipiti hapo. Mombasa-Nairobi route lazima itajilipa lakini huko kwingine sina imani nako.
Siamini Kama "argument" ya hovyo kiasi hiki inatoka kwako, kwahiyo GoK ilivyowekeza kujenga reli hadi Malaba na kubembeleza nchi za Uganda, DRC, Rwanda na South Sudan kutumia reli ya Kenya, hawakujua kwamba huko hakuna biashara?, hadi Leo serikali yenu inaendelea kuwekeza bandari ya Kisumu ili kukamata masoko ya hizo nchi.

Hivi nikuulize swali, Kama itategemea mizigo ya Mombasa Nairobi, Je hiyo reli kurudi toka Nairo hadi Mombasa itabeba mzigo gani?.

Hivi unatumia akili kweli wewe?, taja ni nchi gani hapa Afrika ambayo reli yake inategemea "domestic market" pekee na ikatengeneza faida?, Ili reli itengeneze faida, lazima kusafirisha mizigo mikubwa, ndio sababu reli itakayofanikiwa kufika DRC ndiyo itakayofanikiwa Sana, kutokana na madini mazito, mbao na bidhaa za mazao ya miti yanayopatikana kwa wingi DRC. Wacha kujidanganya, msikilize Dr. David Ndii anaeleza vizuri kuhusu hili.
 
FB_IMG_16477197620666014.jpeg

FB_IMG_16477197484028931.jpeg
 
Nitaandika tu gazeti na sio lazima usome. Project zenu za SGR ni even worse in terms of feasibility na return on income. Eti Burundi hadi nashangaa mnawaza nini.
Ninyi wakenya ni "zero brain" ndio sababu wachina wanawaliza kila siku, hivi unajua kiwango cha "deposit" ya madini ya bati yaliyoko Burundi, kwamba wawekezaji walikua wanashindwa kuchimba kwasababu hapakua na reli?, Vipi kwamba Burundi ni "gate way" kuifikia DRC?
 
Uganda kwa sasa ipo very interested na inatamani ujenzi ufanyike hadi kuna timu la Uganda lilikwenda China kufuatilia hili jambo lakini Kenya haipo interested kwa sababu ya madeni. So kwa maoni yangu sioni ikijengwa for the forseeable future. Lakini ujenzi bado unaweza kufanyika baada ya miaka kadhaa zijazo.


Hapa kwa hii article, China Exim bank ilideny loan request ya Uganda kwa sababu Kenya haikutoa guarantee kwamba itafikisha reli yak Malaba.
Kenya kwa sasa haina hamu na hii project.

It is already failed project
 
Siamini Kama "argument" ya hovyo kiasi hiki inatoka kwako, kwahiyo GoK ilivyowekeza kujenga reli hadi Malaba na kubembekeza nchi za Uganda, DRC, Rwanda na South Sudan kutumia reli ya Kenya, hawakujua kwamba huko hakuna biashara?, hadi Leo serikali yenu inaendelea kuwekeza bandari ya Kisumu ili kukamata masoko ya hizo nchi.

Hivi nikuulize swali, Kama itategemea mizigo ya Mombasa Nairobi, Je hiyo reli kurudi toka Nairo hadi Mombasa itabeba mzigo gani?.

Hivi unatumia akili kweli wewe?, taja ni nchi gani hapa Afrika ambayo reli yake inategemea "domestic market" pekee na ikatengeneza faida?, Ili reli itengeneze faida, lazima kusafirisha mizigo mikubwa, ndio sababu reli itakayofanikiwa kufika DRC ndiyo itakayofanikiwa Sana, kutokana na madini mazito, mbao na bidhaa za mazao ya miti yanayopatikana kwa wingi DRC. Wacha kujidanganya, msikilize Dr. David Ndii anaeleza vizuri kuhusu hili.
Mm pia alinishangaza sn eti wamejenga reli kwa mabilioni ya sh kwa ajili ya domestic purpose alafu kuna mpumbavu kamuunga mkono kabisa na kushauri eti Tz nayo ingelenga kujenga reli kwa ajili ya ku save domestic needs, akili za wapi hizi? Kwa uchumi gani tulionao waafrika tujenge reli kwa kusafirisha mizigo ya ndani tu!! Ukweli ni kwamba wakenya wamefeli vby kwenye hesabu za ujenzi wa SGR, na hii ndiyo tafsiri halisi ya elimu mbovu inayotolewa huko Kunyaland, wao wanaamini elimu ni kujua kingereza pekee na co kupata maarifa yatakayoisaidia nchi.

Kenya ni nchi ya kipumbavu sn na hovyo mno.
 
Mm pia alinishangaza sn eti wamejenga reli kwa mabilioni ya sh kwa ajili ya domestic purpose alafu kuna mpumbavu kamuunga mkono kabisa na kushauri eti Tz nayo ingelenga kujenga reli kwa ajili ya ku save domestic needs, akili za wapi hizi? Kwa uchumi gani tulionao waafrika tujenge reli kwa kusafirisha mizigo ya ndani tu!! Ukweli ni kwamba wakenya wamefeli vby kwenye hesabu za ujenzi wa SGR, na hii ndiyo tafsiri halisi ya elimu mbovu inayotolewa huko Kunyaland, wao wanaamini elimu ni kujua kingereza pekee na co kupata maarifa yatakayoisaidia nchi.

Kenya ni nchi ya kipumbavu sn na hovyo mno.
Huyo jamaa aliyemuunga mkono anajulikana, usipoteze muda wako
 
of top 100 university ranking in africa, 2021 edition

kenya has 7
(nbi, kenyatta, strathmore, usiu, jkuat, egerton & moi)

tanzania has 2
(dar & sokoine)

see for yourself 👇🏽👇🏽

Screenshot_20220320-004354_Chrome.jpg
Screenshot_20220320-004523_Chrome.jpg
Screenshot_20220320-004638_Chrome.jpg

Screenshot_20220320-004730_Chrome.jpg
Screenshot_20220320-004858_Chrome.jpg
Screenshot_20220320-004959_Chrome.jpg
 
I wish na Tzn tuwe na uchumi wa kama Kenya kwamba proportion kubwa iwe ni kwa ajili ya ndani.

Hii dhana ya kujenga reli kwa ajili ya jirani sio sawakwa hiyo nguvu kubwa tuiweke kukuza Uchumi wa ndani.

Kwa hapa Wakenya hongera kwa sababu reli inatumika ila mngejenga kwa ajiri ya Uganda ingewakata vibaya sana.
Najiuliza apa umeandika nini? Mana sijakuelewa kabisaa
 
of top 100 University Ranking in Africa,

Kenya has 7
(Nbi, Kenyatta, Strathmore, USIU, Egerton, Jkuat & Moi)

Tanzania has 2
(Dar & Sokoine)

see for yourself View attachment 2157382

View attachment 2157378View attachment 2157379View attachment 2157380View attachment 2157381

View attachment 2157376

vitu vya kijinga kama hiv mlivyonavyo wakenya ndo vinamfanya hata Uhunye awe na ujasiri wa kuwahutubia hata akiwa amelewa bwii.. maana anajua hakuna kitu mtamfanya... achanen na mambo ya links.. muwe mnaangalia/base on the ground.. yan pamoja na hio elimu yenu bora mnayotangaziwa mitandaoni na vilink vya ajabu ajabu bado kila mwezi maghorofa na madaraja kwenu yanabomoka.. nyie ndo mnaongoza kupost links za sijui barabara, sijui elimu sijui human development sijui nn.. wakat on the ground Tanzania tumewapita yote hayo kiuhalisia.

mfano mdogo tu, list kama hio ya ajabu ajabu.. mzumbe university inakosekanaje? muhimbili university je? huoni hata aibu
 
Hapa Mzee umeongea ukweli hata kama watu wanapinga.

Hakuna feasibility study ilifanyika na hata bila feasibility study Uchumi wa Tzn 70% uko Dar huko kwingine ni kujilisha upepo tuu.

Na mbaya zaidi ikikamilika wimbo utabadilika kwamba eti reli ni huduma haitakiwi kuwa gauged on economic terms..

Binafsi licha ya kujenga reli na kujisifia sijawahi kubaliana na huu mradi,badala yake pesa inayowekezwa huko japo kwa miaka 5 iliyopita ingewekezwa kwenye barabara za highway na Vijijini kwa lami ingekuwa na tija kubwa kwa sasa Ili tunapojenga reli tuwe na mzigo wa kupitisha...

Kichaka kingine kinachotumiwa ni hiki cha kusema sijui itadumu miaka 100 ijayo and such nonsense,kulikuwa hakuna haja ya kuwa na reli ya kiwango hicho kwa sasa badala yake tungeanza kuijenga 2025 tukiwa na uchumi wa kutosha.
yani umepost humu kwa mwaka huuu madini pekeyake yamechangia 3.5 billions usd, alafu unasema uchumi wa Tz ni Dar 70%
 
Justification ya hili iko wapi kwenye reli ya Tazara? Kwani Tazara ina underperform kwa sababu sio electric? Hiyo mizigo mingi ya DRC inaenda Lubumbashi na Zambia wala haiendi huko reli inakopelekwa.

Hiyo Kazi ya ku focus huko DRC etc ndio naikataa mimi,tungejenga ku focus kwenye uchumi wa ndani,hao wengine inakuwa ni ziada.

So timing sio nzuri,tutakaa nayo kama hasara Kwa miaka mingi Sana .
I highly recomend you to take a economic class...kisha rudi kapitie kwa nini tunaijenga hii rail, unaleta upuzi wa kujenga mahighway kweli, kama ulifika mbeya unaweza elewa nikwajinsi gani magari ya mizigo yanaribu barabara mnoo...tutakuw tunafany kz ya kucheka na nyani wakati maindi yanaisha shambani
 
of top 100 Secondary/High Schools in africa,

8 are in kenya,
(rift valley, int'l sch of ke, strathmore, alliance, starehe, lenana, nyeri, & hillcrest)

only 2.! are in tanzania,
(int'l sch of moshi & int'l sch of tanganyika)


see for yourself 👇🏽👇🏽

Screenshot_20220320-014438_Chrome.jpg
Screenshot_20220320-014715_Chrome.jpg
Screenshot_20220320-014850_Chrome.jpg
Screenshot_20220320-015017_Chrome.jpg
 
vitu vya kijinga kama hiv mlivyonavyo wakenya ndo vinamfanya hata Uhunye awe na ujasiri wa kuwahutubia hata akiwa amelewa bwii.. maana anajua hakuna kitu mtamfanya... achanen na mambo ya links.. muwe mnaangalia/base on the ground.. yan pamoja na hio elimu yenu bora mnayotangaziwa mitandaoni na vilink vya ajabu ajabu bado kila mwezi maghorofa na madaraja kwenu yanabomoka.. nyie ndo mnaongoza kupost links za sijui barabara, sijui elimu sijui human development sijui nn.. wakat on the ground Tanzania tumewapita yote hayo kiuhalisia.

mfano mdogo tu, list kama hio ya ajabu ajabu.. mzumbe university inakosekanaje? muhimbili university je? huoni hata aibu
ila ukweli unauma sana. hivi tanganyika iki rankiwa vibaya, kwa machungu unafyatua ngurumo na radi ⚡⚡💥, hivi iki rankiwa vizuri mnapata afueni, na kuuchangia mada kwa majivuno tele.
usiniulize mbona mzumbe na muhimbili hapo kwenye list... sisi hatujui, maana hatuku tengeneza hii list, pia nasi tumeshtukia kujipata hapa ndani sawa tu na nyinyi aisee..

(muamshe The best 007 sahivi, na umueleze kua vitu kama hivi, ndo maana nyingine ya nchi flani kua na gdp kubwa shinda mwenzio. enway, ataja tu nielewa sikumoja)
nb: the meaning of gdp size is so deep tangangikas will not understand this..
 
vyuo vyao vyote kila mara vina migomo ya wafanyakazi.. wanafunz wanafundishwa lini? ubora wao unatoka wap? afu anakuja kajamaa anasema eti vyote hivyo ni bora kuliko vya bongo..
View attachment 2157389
View attachment 2157390
View attachment 2157391
View attachment 2157392
ata university of cape town, na witswatersrand wana experience strike mara kwa mara. kumbuka ilesiku wanafunzi wa witswatersrands wali protest juu ya ku hike fees 👇🏽

Screenshot_20220320-025201_Google.jpg



pia kumbuka ilesiku students wa UCT, walivunja monuments zote za wazungu, mfano ile ya Cecil Rhodes mjini cape town.... 👇🏽

Screenshot_20220320-025413_Chrome.jpg



kumbuka? hio kwani haikua strike kwako.!? jibu
 
Back
Top Bottom