Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe unaelewa economics vizuri kweli wewe? Eti unadanganya kwamba SGR ya Kenya haiwezi kuleta faida mpaka iunganishwe na Uganda. Unajua unachosema kweli au unaongea kufurahisha watu? Hivi wewe unajua kwamba hata SGR ya Kenya ikiunganishwa na Uganda bado zaidi ya 75% ya mizigo ya SGR itakuwa ni mizigo ya Kenya? Kati ya hio 75% karibu yote inakwenda Mombasa na Nairobi. In fact Kenya inaweza kupata hasara zaidi kwa kutumia mabilioni ya dollar kuconnect Naivasha hadi Malaba ukizingatia kwamba chini ya asilimia 20% ya mizigo ya Sgr itakuwa mizigo ya Uganda. Zingatia pia kwamba Waganda wengine watakataa kutumia treni na wataendelea kutumia lorry. Market ya Uganda ni ndogo sana ikiilinganisha na ya Kenya. Customers wengi wa SGR ni Wakenya sio Waganda. Mombasa port inapitisha 35 million tonnes of cargo na chini ya 25% ya hii inakwenda Uganda na around 75% inabaki Kenya, most of it inakwenda Nairobi. Tukiangalia hii kitu kiuchumi hakuna jinsi unaweza kuniconvince kwamba Kenya haitapata hasara zaidi ikiamua kujenga SGR kutoka Naivasha hadi Malaba ukizingatia kwamba Uganda ni market kadogo. Mimi sina ushabiki wa kijinga, mimi sioni jinsi Naivasha-Malaba itakuwa na faida kushinda Mombasa-Nairobi kwa hivyo uwache kudanganya watu. Najua hio ndio sababu kuu iliyowafanya Wachumi wa China Exim bank kukataa kutoa mkopo. Tukiangalia hii kitu kiuchumi na kiutaalam kabisa bila kuweka siasa au propaganda, ukweli ni kwamba route ya Naivasha- Kampala haitaleta faida ya kutosha kuoffset the cost of construction. SGR route ya Mombasa to Nairobi ina faida sana na itajilipa virahisi kwa sababu 70% ya mizigo ya Mombasa port inakwishia Nairobi na haipiti hapo. Nairobi- Malaba japo itagharimu Kenya $3 au $4 billion kwa ujenzi, najua haitajilipa virahisi ukizingatia kwamba mizigo inayokwenda Uganda ni kidogo sana. Tukifanya simple ROI (return on income) ni wazi kwamba kipande cha Naivasha Malaba hakitajilipa kwa urahisi. Kwa hivyo tukianalyse hili jambo kiutaalam bila ushabiki utaona kwamba hio route ya Kampala haina faida kwa Kenya kushinda route ya Mombasa-Nairobi ambayo ndio most profitable route in East and Central Africa. Mombasa-Nairobi ni route ambayo inaconsume zaidi ya 20 million tonnes of cargo per year wakati Uganda inaconsume 8 million tonnes of cargo per year. Mizigo nyingi za Kenya zinachezea Mombasa-Nairobi na hazipiti hapo. Mombasa-Nairobi route lazima itajilipa lakini huko kwingine sina imani nako.
I wish na Tzn tuwe na uchumi wa kama Kenya kwamba proportion kubwa iwe ni kwa ajili ya ndani.

Hii dhana ya kujenga reli kwa ajili ya jirani sio sawakwa hiyo nguvu kubwa tuiweke kukuza Uchumi wa ndani.

Kwa hapa Wakenya hongera kwa sababu reli inatumika ila mngejenga kwa ajiri ya Uganda ingewakata vibaya sana.
 
Nitaandika tu gazeti na sio lazima usome. Project zenu za SGR ni even worse in terms of feasibility na return on income. Eti Burundi hadi nashangaa mnawaza nini.
Hapa Mzee umeongea ukweli hata kama watu wanapinga.

Hakuna feasibility study ilifanyika na hata bila feasibility study Uchumi wa Tzn 70% uko Dar huko kwingine ni kujilisha upepo tuu.

Na mbaya zaidi ikikamilika wimbo utabadilika kwamba eti reli ni huduma haitakiwi kuwa gauged on economic terms..

Binafsi licha ya kujenga reli na kujisifia sijawahi kubaliana na huu mradi,badala yake pesa inayowekezwa huko japo kwa miaka 5 iliyopita ingewekezwa kwenye barabara za highway na Vijijini kwa lami ingekuwa na tija kubwa kwa sasa Ili tunapojenga reli tuwe na mzigo wa kupitisha...

Kichaka kingine kinachotumiwa ni hiki cha kusema sijui itadumu miaka 100 ijayo and such nonsense,kulikuwa hakuna haja ya kuwa na reli ya kiwango hicho kwa sasa badala yake tungeanza kuijenga 2025 tukiwa na uchumi wa kutosha.
 
Sisi siyo wajinga na hatukurupuki kama nyie. Lengo la hiyo reli ni kucapture soko la eastern DRC + soko la Burundi, Rwanda na hata Uganda (kupitia meli za mizigo from Mwanza port to Uganda). Kumbuka asilimia kubwa ya mzigo wa hizi nchi (DRC+Rwanda+Burundi) unapitia bandari ya Dar. Nakutokana na hii route kuwa ndefu SGR ikikamilika it is obvious kwamba mzigo mwingi utapelekwa katika nchi hizo kwa reli kutokana na unafuu wa gharama lakini pia muda wa kusafirisha bidhaa utapungua kutokana na speed ya tren na pia reli inaweza safirisha mzigo mwingi kwa wakati mmoja tofauti na malori. Labda kama gharama za kusafirisha mzigo kwa SGR zitakuwa kubwa kuliko za malori kitu ambacho sitarajii kutokea. NIMEKUHESHIMU NDIO MAANA SIJATANGULIZA TUSI KAMA ILIVYO ADA YANGU KWA MBURUKENGE WENGINE WA HUKO KENYA.
Justification ya hili iko wapi kwenye reli ya Tazara? Kwani Tazara ina underperform kwa sababu sio electric? Hiyo mizigo mingi ya DRC inaenda Lubumbashi na Zambia wala haiendi huko reli inakopelekwa.

Hiyo Kazi ya ku focus huko DRC etc ndio naikataa mimi,tungejenga ku focus kwenye uchumi wa ndani,hao wengine inakuwa ni ziada.

So timing sio nzuri,tutakaa nayo kama hasara Kwa miaka mingi Sana .
 
Hakuna reli duniani iliwahi kurudisha investment capital bila kubeba mzigo we taahira, reli bila mzigo wa maana ni hasara tupu, wakunya ni wapumbavu sababu wametumia zaidi ya 3.7 billion dollars kujenga kilometers 480 umbali ambao hata kwa miguu mtu siku mbili anafika na hakuna mzigo wowote wa maana wanaoubeba zaidi ya vyakula vya misaada.
I wish na Tzn tuwe na uchumi wa kama Kenya kwamba proportion kubwa iwe ni kwa ajili ya ndani.

Hii dhana ya kujenga reli kwa ajili ya jirani sio sawakwa hiyo nguvu kubwa tuiweke kukuza Uchumi wa ndani.

Kwa hapa Wakenya hongera kwa sababu reli inatumika ila mngejenga kwa ajiri ya Uganda ingewakata vibaya sana.
 
Hakuna reli duniani iliwahi kurudisha investment capital bila kubeba mzigo we taahira, reli bila mzigo wa maana ni hasara tupu, wakunya ni wapumbavu sababu wametumia zaidi ya 3.7 billion dollars kujenga kilometers 480 umbali ambao hata kwa miguu mtu siku mbili anafika na hakuna mzigo wowote wa maana wanaoubeba zaidi ya vyakula vya misaada.
Nani anaezungumzia kwamba reli isibebe mzigo? Una mtindio wa ubongo we mavi ya nguruwe.

Kasome upya hoja yangu afu urudi ku comment sio kukurupuka kama una nyege mshindo.
 
More flyovers for Dar.

Screenshot_20220319-180415.png
 
It is a bad move. Tayari tuko vibaya. Halafu kinachonishangaza ni kuwa kila wanapoongeza debt ceiling inachukua hii serikali miaka miwili tu kujaza madeni hadi kufikia ceiling. Nadhani last ceiling ilipandishwa 2019, sasa hivi wanataka kupandisha tena. Kibaki aliwacha Kenya ikiwa na deni kidogo sana na Uhuru ameborrow more than double ya hio deni in 9 years. Hio debt ceiling ikipandishwa tena italeta madhara mabaya coz tax nyingi itakuwa inakwenda kulipa madeni badala ya kujenga miundombinu. So serikali itafika mahali itabidi ianze kupunguza expenditure on infrastructure. Yaani itapunguza investments kwenye mambo kama barabara n.k. Pia itafika mahali wafanyakazi waanze kupigwa kalamu au kupelekwa on early retirement ili kupunguza matumizi ya serikali. Budget expenditure ya $32 billion kwa nchi yenye inakusanya mapato ya $18 au $19 billion kwa mwaka ni mchezo. Hio budget deficit ya Kenya ni kubwa sana. Lazima serikali ipunguze matumizi. (Au iongeze ukusanyaji wa ushuru).
Hapo hakuna jinsi zaidi ya ku implement austerity measures in order to avoid total economic collapse
 
Hakuna reli duniani iliwahi kurudisha investment capital bila kubeba mzigo we taahira, reli bila mzigo wa maana ni hasara tupu, wakunya ni wapumbavu sababu wametumia zaidi ya 3.7 billion dollars kujenga kilometers 480 umbali ambao hata kwa miguu mtu siku mbili anafika na hakuna mzigo wowote wa maana wanaoubeba zaidi ya vyakula vya misaada.
Huyo hana akili muwe mnamu ignore.
 
Mkuu, wakiunganisha maana yake ni kwamba trains zao zote ambazo ni diesel engine haziwezi kutumika Tena, kwasababu haziwezi kushindana na hizi za umeme kwa kila eneo, Kasi, unafuu wa Bei na "modernity, pia train zetu za umeme haziwezi kufika kwao, "these two lines are almost incompatible"
Ile treni ya kifahari ya Rovos (cape gauge) huwa inatumia vichwa vya umeme baadhi ya sehemu kule bondeni kabla ya kufika kwetu.

Ila nimekuelewa, unaongelea kiuhalisia, hawa jamaa kwa roho mbaya zao hawawezi kubali kivyovyote vile treni zetu ziende kwao hata kama tutatumia vichwa vya diesel (ambavyo Kadogosa aliwahi dokeza tutakuwanavyo kama backup).
Labda waunganishe mgr kupitia arusha
😂
😂

Reli yetu ya MGR ilikuwa inaungana na yao pale Voi kupitia Taveta ila baada ya kuvunjika kwa jumuiya wakaing'oa.
 
Back
Top Bottom