Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Dreamland.asee tukijenga hizi, majiran lazima watupe heshima
View attachment 2153219
View attachment 2153220
View attachment 2153221
View attachment 2153222
Dreamland.asee tukijenga hizi, majiran lazima watupe heshima
View attachment 2153219
View attachment 2153220
View attachment 2153221
View attachment 2153222
nipe mfano wa Olympic village ina arena, aquahouse na stadium apart! Hawa wana infrastructure bora kuliko sisi! huwezi ku-host games na ku-operate events ukiwa na facilities ziko apart, it will be damn costly!
![]()
Naona pesa za ujenzi umeisha, where are you waiting to receive another grant and loan from?Teargas ww sindio ulisema huu mradi haujengwi tena 🤣🤣🤣🤣
View attachment 2153254View attachment 2153255View attachment 2153256View attachment 2153257
haipendezi kwako wewe usiye na exposure ! Huwezi ukatoa project mahali prime land penye sports cultural roots ukapeleka say Mwenge! kwani wewe ni genius kuliko city planners walio-designate pale pawe na sport complexes? Nimekuuliza Mwenge wapi wajenge? Hujajijbu! BTW nimetaja games nyingi si olympic tu, kuna hata All African games Kenya wali-host kipindi cha nyuma na ukienda Kasarani stadium utaona sehemu yao kwa ukubwa ni kama Taifa!kubali kuwa inaweza kujengwa sehem nyingine, sio lazima hapo na wala haipendezi.. kama lengo ni olympics games, kwanza hio sehem haitoshi.. watakuwa wanaforce tu.. wanaweza kujenga hata dodoma, dodoma land is still largely empty, they can plan and design it for olympics games, yan wanaweza kuweka hata swimming pool dodoma , hapo kwa Dar ishu ya olympics hapatoshi .. najua unadefend kwa upeo wa kuweka olympics lkn hapatoshi
America inazidi kuipatia Ukraine silaha mpya. Leo imetangaza kwamba inapeleka silaha worth $800 million huko Ukraine. Ikiwemo 2,000 Javelin ATM. Hizi javelin ndio zimeangamiza tanks nyingi za Russia, pamoja na NLAW ya Britain. Hii vita sioni ikiisha hivi karibuni.
Nilitaka kusema icho icho wawewke tanganyika peckers uko kawe kuna mueneo mkubwa tuuhapa ndo wanapokosea kuweka sehem moja.. waweke hata maeneo ya kinondoni, mwenge , kawe sijui wap huko .. kuziweka sehem moja haipendezi
Teargas ww sindio ulisema huu mradi haujengwi tena
View attachment 2153254View attachment 2153255View attachment 2153256View attachment 2153257



Mm nashangaa mtu anasema tunawaitaji wazungu kwa lipi kwa africa Mchina akitudindia kidogo ndio tutaumia lakini sio westerners hajui zama zimebadlikaachana na chizi hiyo,japo mda mwingine huwa yupo correct ila kwa sasa yupo kwenye mapungufu tu hana balance ,ni chizi huyo tiyar
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Tony. 🖐🏽 a point of correction... kenya ni $2,296, na sio $1,900Ni kweli idadi ya watu kuwa kubwa sio tatizo ikiwa mna uchumi mkubwa. Angalia China ambayo ina watu 1.3 billion ila ina gni per capita ya $10,000. Huku Tanzania na watu wake 60 million ina gni per capita ya $1,100. Yaani hio ina maana kuwa China pamoja na kuwa na watu wengi kushinda bara nzima la Africa, kila mchina anapokea kwa mwaka income (mapato) mara kumi ya kila mtanzania. Kenya ina gni per capita ya $1,900 kwa hivyo mchina mmoja anapokea kwa mwaka income (mapato) mara tano ya kila mkenya. Afrika sijui tulifeli wapi. Sijui tulimkosea Mungu wapi. Wachina ni wengi sana kama siafu ila pia kimapato wametushinda kwa mbali. Hata nchi tajiri tajiri za Afrika kama South Afrika na Egypt haziwafikii wachina kwenye per capita income. Unakuta nchi mbili ndogo za Afrika ndio zinaweza kukimbizana na China kwenye gni per capita yaani Mauritius na Seychelles.
Yeah i tuought of that to..bado hatujui the exact capacities za Dodoma Football Stadium na Arena pia ?design imebadilika stadium nadhani itakuwa kama hii nyuma ya arena ya Dodoma!
It's not fear I'm talking about. It's ethics. For example, cloning is a perfect example of a scientific breakthrough. However, it is illegal in most countries because it's unethical.We cannot refuse to develop immense power systems due to fear of wiping ourselves out
Unaishi wapKwa wenyeji wa morogoro kutoka hapo station hadi Msamvu panaurefu gani
Au we unatumiaga ndege kusafir
Hyo arena ingejengwa hta morroco hku ingekua poa Sana.. Mtazamo wangu tu.wacha complications mzee, kama nafasi ipo Taifa mbona waende sehemu nyingine na pale accessibility ipo vizuri? Sehemu nyingine ina maana new roads, new water n power connections n compensation too! Budget yenyewe ya manati! Yaani waache sehemu BRT itapita na overpasses za kurahisisha connectivity waende Mabwepande sio? Kwani huangaliagi olympic kuona facilities zinawekwa sehemu moja? Au unafikiri sisi ni Dubai tuna pesa za mafuta kujenga sehemu yeyeote ile hata baharini?
Kiongozi unaua inzi kwa runguBongo View attachment 2153400View attachment 2153401SGRView attachment 2153402View attachment 2153403View attachment 2153404EA's big bro
.. Teargas. Vipi kenya Ina chochote cha kufanana na hapa.?
![]()



Kujaza kila kitu sehem moja ni ujinga tu badala ya kutanua mji, Yan mtu akifika hpo taifa kashaona uwanja kashaona na arena! sio kweliafadhar umeuliza, mana mwanzo nilitaka niseme ila nikakausha... afu sijasema mabwepande..
- ishu ya security: events zikifanyika sehem zote mbili wakat mmoja afu vurugu ikitokea huoni kuna hatari? mabomu je? watu watakaa kwa aman hapo?
-ishu ya umeme: hapo zipo eneo moja so the line ya umeme is same, umeme ukikatika wote watakosa umeme. utasema majenera yapo
-ishu ya folen: utaleta folen zisizo na sababu ya msingi kwa kukusanya watu/magar mengi sehem moja.. wakat huohuo serikali eti inataka kupunguza folen jijin Dar
-kueneza mji: kuweka hizo big infrastructures sehem moja unakosesha kuuneza maji, inabid hata watu wengine mfano mwenge, au hata pale ubungo maji wafarijike mtaan kwao kuna indoor arena
-unakosesha watu wengine kwenye ishu za biashara.. wafanyabiashara wa eneo hilo tu ndo watafaidika.. what if ukajenga mfano mbezi au ubungo maji au mwenge, kuna namna wafanyabiashara watawekeza huko na kulipa kodi (unaongeza kodi).. etc
- umeongea ishu ya brt au barabara, mwenge brt itakuwepo, ubungo morogoro rd yote ina brt, hata huko tegeta brt itakuwepo.. sio lazima huku tu.. hata huko mbagala au sijui gongolamboto kunafaa ambapo brt itakuwepo pia, lkn sio kuweka sehem moja hapo Taifa
- na mengine mengi tu wengine wanaweza kuongeza
na hapo taifa pemben ningeona ni jema kama wangejenga viwanja vidogo vidogo .. training pitches

Huwa ni kawaida sometimes kwa complex kukaa sehemu moja...sijajua kwann lakini nmeona nchi nying zimefanya hivyohapa ndo wanapokosea kuweka sehem moja.. waweke hata maeneo ya kinondoni, mwenge , kawe sijui wap huko .. kuziweka sehem moja haipendezi
kaka morroco hawajengi kitu tena ni Gov Of Tz inaenda kujenga hio stadium ya mpira na arena..ndo maana unaona design mpya na kuchelewa kwa projecthii lazma ziende kwa pamoja na morocco alishajitolea uwanja sasa serekali imalizie hio arena